Sunday, January 13, 2013

MAWAZIRI NA MAKATIBU WAJADILI CHANGAMOTO ZA MUUNGANO ZANZIBAR LEO

 Waziri wa nchi ofisi ya Rais fedha uchumi na maendeleo Zanzibar Mhe.  Omary Yusuph Mzee akizungumza na Waziri wa fedha uchumi na mipango wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt William Mgimwa wakati wa mkutano huo. 
 Baadhi ya Mawaziri katika mkutano wa kujadili changamoto za muungano mjini zanzibar leo
Mwenyekiti wa mkutano kujajidili changamoto za muungano Mhe. Mohamed Aboud Mohamed ambaye ni Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais serikali ya Mapinduzi Zanzibar, na mwenyekiti mwenza Mhe.  Samia Suluhu Hassan Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais ya muungano wakijadili jambo wakati kwa mkutano huo.
Picha zote na Ali Meja ofisi ya Makamu wa Rais

No comments: