Monday, December 10, 2012

SHEREHE YA MIAKA 7 YA THT FUNIKA BOVU NDANI YA DAR LIVE


Familia ya THT ikiwa jukwaani wakati wa kusherehekea miaka 7 toka kuanzishwa.
Shilole na kundi lake wakilishambulia jukwaa la Dar Live.
Vijana wa THT wakiwasha moto wakati wa sherehe yao ya kutimiza miaka 7 ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Msanii Ben Pol akiwajibika stejini.
Shilole akimdatisha shabiki aliyepanda stejini.
Shetta akiwapa raha mashabiki.
Dogo Aslay akiwadatisha mashabiki.
Ommy Dimpoz akiimba na mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.
Mwanadada Sundi Gaga kutoka THT akionyesha swagga zake jukwaani.
Dancer wa THT akionyesha machejo jukwaani.
Nyomi iliyohudhuria sherehe hizo.
Wapenzi wa burudani wakifurahia shangwe wakati wa sherehe hizo.
Mzee Yusuf na vijana wake wakipagawisha stejini.
DJ Bulla kutoka Clouds FM akifanya vitu vyake.
Queen Darleen akiwarusha mashabiki.
Msanii Godzilla akiwapa raha mashabiki wake.
Dogo Aslay na Bi. Cheka wakikamua.
Diva Loveness wa Clouds FM akiwasabahi mashabiki.
...Burudani zikiwa zimepamba moto.
Rachel akiwapagawisha mashabiki wake.
Juma Mataluma akifanya mambo.
...Mpaka chini.
Shangwe zikizidi kukolea ndani ya Dar Live.
Ben Pol akicheza na mashabiki wake.
Msanii Ditto akiwapa tano mashabiki.
Linah akiwa stejini.
WASANII wa nyumba ya vipaji, Tanzania House of Tallent ‘THT’ usiku wa kuamkia leo waliangusha bonge la pati ndani ya Ukumbi wa Dar live uliopo Mabagala jijini Dar kusherehekea miaka 7 ya kuanzishwa kundi hilo la kukuza vipaji. Katika pati hiyo wasanii mbalimbali wa muziki walitoa burudani hasa wasanii wenyewe wa THT. Pichani juu ni baadhi ya matukio yaliyojili ukumbini hapo.
(PICHA : RICHARD BUKOS NA MUSA MATEJA / GPL )

No comments: