Friday, December 7, 2012

Onesho la Wenge BCBG lafana Arusha

 Wacheza shoo wa bendi ya wenge bcbg wakifanya vitu
 wadau wakubwa waliuthuria shoo hiyo akiwemo papa mwandago pamoja na dada viola
 Jb aliyevaa nyeusi tupu akiwa amapumzika kusubiri kupanda jukwaani

 Picha ya juu na chini Jb mpiana aliyevaa nyeusi akiwa anacheza mziki na wanenguaji wa wenge bcbg katika shoo yao iliyofanyika katika ukumbi wa viwanja vya Triple A



 Mcheza shoo wa bendi ya jb mpiana akiwapa vitu washabiki waliouthuria unyesho lao
 Apa papa nyoshi el sadat wa bendi ya FM Academia wa kwanza kushoto akiwa na mtangazaji maarufu wa kipindi cha afro dance Onesmole kinachorushwa na Triple A radio wa kwanza kulia wakibadilishana mawazo leo hii nyoshi pamoja na kundi zima la Fm Academia watatumbuiza  washabiki wa mkoa wa huu  katika ukumbi wa blue flame uliopo ndani ya jengo la Triple A kiingilio kitakuwa ni shilingi 10000 tu usikose mdau njoo uone vitu vipya vya FM Academia
 Katika usiku huo pia ndanda kosovo kichaa alikuja kumuunga mkono Jp mpiana alipata fursa ya kuimba wimbo mmoja pamoja
 wacheza shoo wakiwa wamepumzika wakiendelea kupata kinywaji cha K-Vant Gin kinachotengenezwa na kampuni ya Megatreade iliyopo hapa hapa jijini Arusha
 Waandishi wa habari nao hawakukosekana picha ya juu ni mwandishi wa mwananchi kushoto moses mashala akipata kinywaji huku akiendelea kuburudika  chini ni wapiga picha wa Stax tv wakiwa bize kikazi zaidi

 washabiki wakiendelea kuserebuka

Meneja masoko wa kinywaji cha K-vant gin Godluck kway akielekeza kitu.
Picha zote na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii, Arusha

No comments: