Saturday, November 3, 2012

JK azindua Chuo Kikuu cha Nelson Mandela cha Sayansi na Teknolojia jijini Arusha

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kuaindua rasmi Chuo Kikuu cha Nelson Mandela cha  Sayansi na Teknolojia  jijini Arusha akiongozana Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali ambaye ndiye Mkuu wa Chuo  hicho
 Rais Kikwete akipata maelezo juu ya utafiti mbalimbali unaofanywa na wanafunzi Chuo Kikuu cha Nelson Mandela cha  Sayansi na Teknolojia  jijini Arusha

Maelezo ya utafiti
Mdau akielezea utafiti wake






Meza ya Serikali ya Chuo


Maua kwa mgeni rasmi
Kukata utepe
Rais Kikwete akifunua pazia kuzindua sanamu ya Mzee Nelson Mandela
Sanamu ya Mwalimu Nyerere ikizinduliwa
Mgeni rasmi akisindikizwa kuelekea meza kuu
Ni siku ya furaha na fahari kwa mdau Pallangyo
Uzinduzi wa plaque ya Taasisi
Maelezo ya utafiti wa vyakula na madawa asilia
Wageni Mashuhuri wakiwa jukwaa kuu
Wakuu wa Mifuko ya Taifa ya Jamii
Viongozi mbalimbali
Wageni mashuhuri jukwaa kuu
Kwaya ya Chuo ikiwa kazini
Burudani toka bendi ya Polisi
Ngoma ya wasanii wa JKT Oljoro
Kwaya ya JKT Oljoro ikitumbuiza
Dr Frannie Leautier, ACBF Executive Secretary  speaks
Rais Kikwete akipokea zawadi toka kwa Makamu Mkuu wa Chuo Profesa Burton Mwamila huku Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali na Mkuu wa Chuo akishuhudia
Maelezo ya utafiti wa DNA
Rais Kikwete akiongea na waalikwa
Rais Kikwete akikabidhi hati ya kiwanja cha chuo

Wageni wakishangilia
Sauti na muziki toka Clouds FM Arusha
Rais Kikwete akisalimiana na Mzee Edwin Mtei
Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Joshua Nassari
Ni wakati wa picha za pamoja na wadau







Picha ya mgeni rasmi na wanafunzi waliokuwa ushers wa siku hiyo




No comments: