Sunday, June 17, 2012

Lisa Jensen ndie Redd's Miss World Tanzania 2112

 Redd's Miss World Tanzania,Lisa Jensen (katikati) akiwa na mshindi wa pili,Hamisa Hassan na Mshini wa Tatu,Pendo Laizer muda mfupi baada ya kumalizika kwa shindano hilo kwenye kiota kipya cha maraha cha 327,Mikocheni Jijini Dar.
 Miss Tanzania 2011,Salha Israel akimpa neno Redd's Miss World Tanzania,Lisa Jensen muda mfupi baada ya kunyakua taji hilo.
 Tano Bora.
 Jaji Mkuu wa Miss akitangaza tano bora.
 Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania,Fimbo Butallah akizungumza katika hafla hiyo.
Muongozaji wa Shughuli hiyo,Taji Liundi "Mastar T" akiwajibika.
 Majaji Kazini
 Burudani toka kwa madansa wa Wanne Star
 Vijawa wa THT
 Wanne Star akitoa burudani.
 Warembo
 Kikazi zaidi.
 Wadau

No comments: