Saturday, February 25, 2012

Dkt Shein Rais awaalika chakula cha Mchana askari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama visiwani Zanzibar leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akiwapungia mkono Maaskari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama, walioshiriki katika maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar,wakati alipowaalika chakula cha mchana katika kambi ya Bavuai huko Migombani nje ya Mji wa Zanzibar leo,(kulia) Waziri Nchi Ofisi ya Rais Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Makame.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi .Ali Shein,akisalimiana na Makamo wa Pili wa Rais wa Balozi Seif Ali Iddi,wakati alipowasili katika kambi ya Bavuai huko Migombani nje ya Mji wa Zanzibar leo,wakati alipowaalika Maaskari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama,walioshiriki katika maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar,katika chakula cha Mchana.
Makamo wa Pili wa Rais wa Balozi Seif Ali Iddi,akisalimiana na Brigedia Jenerali wa JWTZ Farah Abdi Mohamed,wakati alipowasili katika kambi ya Bavuai huko Migombani nje ya Mji wa Zanzibar leo,wakati hafla ya chakula cha mchana walichoandaliwa Maaskari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama,walioshiriki katika maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Brigedia Jenerali wa JWTZ Farah Abdi Mohamed,wakati alipowasili katika kambi ya Bavuai huko Migombani nje ya Mji wa Zanzibar jana,wakati alipowaalika Maaskari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama,walioshiriki katika maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar,katika chakula cha Mchana leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, aakisalimiana na Mkuu wa JKU Kanali Sudi Haji Khatibu,wakati alipowasili katika kambi ya Bavuai huko Migombani nje ya Mji wa Zanzibar leo,wakati alipowaalika Maaskari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama,walioshiriki katika maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar,katika chakula cha Mchana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ali Shein,(katikati) pamoja na Makamo wa Pili wa Rais wa Balozi Seif Ali Iddi,na Viongozi wengine wakiwa wamesimama Wimbo wa Taifa Ukipigwa na Vikundi vya Brassband vya Vikosi vya Ulinzi wakati wa Sherehe za Kuwapongeza wanajeshi hao kwa kuwaalika chakula cha Mchana,kwa kushiriki kwao katika maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar,huko katika Kambi ya Bavuai,Iliyopo Migombani Nje ya Mji wa Zanzibar leo.
Baadhi ya Makamanda wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama,wakiwa katika hafla ya chakula cha mchana walichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduziu Dk.Ali Mohamed Shein,leo katika Kambi ya Bavuai,Migombani Nje ya Mji wa Zanzibar,kwa ushirikiwao katika maadhimisho ya sherehe za miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akifuatiwa na Kamanda wa Brigedia ya Nyuki 101KV Brigedia Jenerali Farah Abdi Mohamed,Makamo wa Pili wa Rais wa Balozi Seif Ali Iddi,na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Mwinyihaji Makame,wakichukua chakula cha mchana, walichoandaliwa Vikosi vya Ulinzi na Usalama,kwa ushirikiwao katika maadhimisho ya sherehe za miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar,huko katika Kambi ya Bavuai,Migombani Nje ya Mji wa Unguja
leo.
Baadhi ya maaskari walioshiriki katika maadhimisho ya sherehe za miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar,wakichukua chakula walichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ali Mohamed Shein,katika Kambi ya Bavuai,Migombani Nje ya Mji wa Unguja leo.
Baadhi ya maaskari walioshiriki katika maadhimisho ya sherehe za miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika uwanja wa Amaan Studium Zanzibar,wakiwa katika hafla ya chakula cha mchana walichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ali Mohamed Shein,katika Kambi ya Bavuai,Migombani Nje ya Mji wa Unguja leo.
Baadhi ya Makamanda wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama,wakiwa katika hafla ya chakula cha mchana walichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduziu Dk.Ali Mohamed Shein,leo katika Kambi ya Bavuai,Migombani Nje ya Mji wa Zanzibar,kwa ushirikiwao katika maadhimisho ya sherehe za miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar.

No comments: