Tuesday, February 14, 2012

airtel yashoo love kwa wateja wake leo siku ya valentine

Baadhi ya Wafanyakazi wa kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel  wakiwa katika picha ya pamoja na wateja waliotembea Maduka ya Airtel na kuzawadiwa  ua ikiwa ni katika kuonyesha upendo kwa wateja katika siku hii maalumu ya valentine 
Meneja huduma kwa wateja Godfrey Kavishe (kulia) akikabidhi zawadi ya ua kwa mteja aliyetembelea duka la Airtel lililopo Mlima City Dar es Saalam  ikiwa ni katika kuonyesha upendo kwa wateja katika siku hii maalumu ya valentine  akishuhudia ( wapili kulia) ni Edina Mlay Afisa Msimamizi huduma kwa wateja Airtel akifatiwa na Mkurugenzi  wa huduma kwa wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba
 Mwakilishi wa  huduma kwa wateja akikabidhi zawadi ya ua kwa mteja aliyetembelea duka la Airtel lililopo Makao Makuu ya Airtel Morocco  ikiwa ni katika kuonyesha upendo kwa wateja katika siku hii maalumu ya valentine  akishuhudia ni Edna Mlay Afisa Msimamizi huduma kwa wateja Airtel Tanzania.
Pichani kushoto ni Mteja wa Airtel akifurahi baada ya kukabidhiwa ua  na maafisa wakuu wa huduma kwa wateja pale alipotembea duka la Airtel lililopo Mlima City Dar es Saalam, (kulia) ni Mkurugenzi  wa huduma kwa wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba

Mkurugenzi  wa huduma kwa wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba (Kulia) akikabidhi zawadi ya ua kwa mteja aliyetembelea duka la Airtel lililopo Mlima City Dar es Saalam  ikiwa ni katika kuonyesha upendo kwa wateja katika siku hii maalumu ya valentine  akishuhudia ni Edina Mlay Afisa Msimamizi huduma kwa wateja Airtel Tanzania.

No comments: