Wednesday, June 1, 2011

Picha za uzinduzi wa Flaviana Matata Foundation

Mwamvita Makamba akimpongeza Flaviana kwa kuzindua Flaviana Matata Foundation
Flaviana akiwa na co-founders wa Flaviana Matata Foundation,
Mwamvita Makamba na Ruge Mutahaba

 Hasheem Thabeet naye alikuwepo. Flaviana akiongea na Jokate Mwegelo
MC Baby Kabaya akifanya vitu vyake

 Maria Sarungi-Tsehai akiwa na wadau wa Vodacom
Flaviana akiongea na Mkurugenzi wa Utamaduni Profesa Mwansoko na Hashim Lundenga wa Miss Tanzania
Flaviana Matata akiwa na baadhi ya marafiki waliofika kumuunga mkono

Mbunge wa Singida Mjini Mh. Mo Dewji akiongea na Teddy Mapunda wa Serengeti Breweries na Da' Furaha wa Multi Choice. Kulia ni mdau Inno

 Toka shoto ni Fide Ilanga, Seven, Jeff Msangi, Mama Msangi na Khadija Mwanamboka
 Ankal akiwa na wanalibeneke Jeff Msangi, Haki Ngowi na Baraka Shelukindo
Mdau Ben Mulokozi akiwa na Baraka Shelukindo
Flaviana akipozi na toka shoto Luca wa Bongo5, Haki Ngowi, Jeff Msangi wa Bongo Celebrity, Ruge Mutahaba wa Clouds FM na Ankal


No comments: