BUNGE LA TANZANIA
RATIBA YA JINSI WIZARA ZITAKAVYOWASILISHA BAJETI ZAO KWENYE MKUTANO WA NNE WA BUNGE LA BAJETI
YA MWAKA WA FEDHA 2011/2012
07 JUNI 2011
| NA. | TAREHE NA SIKU | SHUGHULI HUSIKA NA WIZARA | IDADI YA SIKU | KAMATI HUSIKA |
| 1. | JUMATATU–JUMAMOSI 23/5/2011 – 4/6/2011 | Kamati za Sekta kupitia Bajeti | Siku 14 | IDARA YA KAMATI ZA BUNGE/ SHUGHULI ZA BUNGE |
| 2. | JUMATATU 6/6/2011 | · Kamati ya Uongozi (Maalum) | Siku 1 | SHUGHULI ZA BUNGE |
| 3 | JUMANNE 07/6/2011 | Mkutano wa Bunge kuanza kwa shughuli zifuatazo: · Maswali. · Briefing. · Shughuli za Serikali | Siku 1 | IDARA YA SHUGHULI ZA BUNGE |
| 4. | JUMATANO 08/6/2011 | · Maswali ya Kawaida. · Waziri wa Fedha kusoma Taarifa ya Hali ya Uchumi. · Saa 10 Jioni. Waziri wa Fedha atasoma Hotuba ya Bajeti ya Serikali. | Siku 1 | KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI |
| 5. | ALHAMISI 09/6/2011 | · Maswali kwa Waziri Mkuu · Maswali ya Kawaida. · Shughuli za Serikali | Siku 1 | IDARA YA SHUGHULI ZA BUNGE |
| 6. | IJUMAA 10/6/2011 | Siku hii imetengwa kwa ajili ya Wabunge kupitia vitabu vya Bajeti | Siku 1 | IDARA YA SHUGHULI ZA BUNGE |
| 7. | JUMATATU-JUMANNE 13/6/2011-14/6/2011 | Mjadala kuhusu Mpango wa Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano(2011/2012-2015/2016) | Siku 2 | KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI |
| 8. | JUMATANO– JUMANNE 15/6/2011 – 21/6/2011 | MAJADILIANO YA BAJETI YA SERIKALI | Siku 5 | KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI |
| 9. | JUMATANO 22/6/2011 | Muswada wa Sheria ya Fedha (Finance Bill, 2011) | Siku 1 | KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI |
| 10. | ALHAMISI - JUMATANO 23/6/2011 – 29/6/2011 | · Hotuba ya Waziri Mkuu · Majumuisho ya Waziri Mkuu | Siku 5 | KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA |
| 11. | ALHAMISI - IJUMAA 30/6/2011 - 1/7/2011 | · Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora) · Mahusiano na Uratibu | Siku 2 | KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA |
| 12. | JUMATATU-JUMANNE 4/7/2011-5/7/2011 | OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO na MAZINGIRA) | Siku 2 | KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA |
| 13. | JUMATANO NA IJUMAA 6/7/2011 NA 8/7/2011 | WIZARA YA MAJI | Siku 2 | KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI |
| 14. | JUMATATU 11/7/2011 | WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA | Siku 1 | KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA |
| 15. | JUMANNE 12/7/2011 | WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA. | Siku 1 | KAMATI YA MIUNDOMBINU |
| 16. | JUMATANO - ALHAMISI 13/7/2011 - 14/7/2011 | WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII. | Siku 2 | KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII |
| 17. | IJUMAA NA JUMATATU 15/7/2011 NA 18/7/2011 | WIZARA YA NISHATI NA MADINI | Siku 2 | KAMATI YA NISHATI NA MADINI |
| 18. | JUMANNE - JUMATANO 19/7/2011-20/7/2011 | WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI | Siku 2 | KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII |
| 19. | ALHAMISI 21/7/2011 | WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO. | Siku 1 | KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII |
| 20. | IJUMAA 22/7/2011 | WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA | Siku 1 | KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA |
| 21. | JUMATATU – JUMANNE 25/7/2011 - 26/7/2011 | WIZARA YA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA. | Siku 2 | KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI |
| 22. | JUMATANO 27/7/2011 | WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI. | Siku 1 | KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI |
| 23. | ALHAMISI - IJUMAA 28/7/2011 - 29/7/2011 | WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI. | Siku 2 | KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA |
| 24. | JUMATATU - JUMANNE 1/8/2011 - 2/8/2011 | WIZARA YA UJENZI | Siku 2 | KAMATI YA MIUNDOMBINU |
| 25. | JUMATANO- ALHAMISI 3/8/2011 - 4/8/2011 | WIZARA YA UCHUKUZI | Siku 2 | KAMATI YA MIUNDOMBINU |
| 26. | IJUMAA 5/8/2011 | WIZARA YA KAZI NA AJIRA | Siku 1 | KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII |
| 27. | JUMANNE - JUMATANO 9/8/2011 - 10/8/2011 | WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. | Siku 2 | KAMATI YA VIWANDA NA BIASHARA |
| 28. | ALHAMISI - IJUMAA 11/8/2011 - 12/8/2011 | WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO. | Siku 2 | KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII |
| 29. | JUMATATU - JUMANNE 15/8/2011 - 16/8/2011 | WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI | Siku 2 | KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA |
| 30. | JUMATANO – ALHAMISI 17/8/2011 - 18/8/2011 | WIZARA YA MALIASILI NA UTALII | Siku 2 | KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA |
| 31. | IJUMAA 19/8/2011 | WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI | Siku 1 | KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA |
| 32. | JUMATATU 22/8/2011 | WIZARA YA KATIBA NA SHERIA | Siku 1 | KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA | ||
| 33. | JUMANNE 23/8/2011 | WIZARA YA FEDHA | Siku 1 | KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI | ||
| 34. | JUMATANO 24/8/2011 | (i) Miswada ya Sheria ya Serikali Appropriation Bill, 2011; (ii) Statements of Reallocation Warrants ( (iii) Majibu ya Serikali (Treasury Notes) kuhusu Taarifa za Kamati za Kudumu za Bunge za PAC, LAAC na POAC ; (iv) Hoja za Kamati; (v) Maazimio | Siku 1 | KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI | ||
| 35. | ALHAMISI 25/8/2011 | Semina ya Wabunge kuhusu Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba. | Siku 1 | KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA | ||
| 36. | IJUMAA 26/8/2011 | Shughuli za Serikali. | Siku 1 | KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA | ||
| 37. | JUMATATU-JUMANNE 29/8/2011 - 30/8/2011 | · Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba. | Siku 2 | KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA | ||
| 38. | JUMATANO 31/8/2011 | · HOJA YA KUAHIRISHA BUNGE | Siku 1 | WAZIRI MKUU | ||
| MWISHO | | |||||
No comments:
Post a Comment