Monday, September 12, 2016

WAZIRI NAPE NNAUYE AFUNGA MASHINDANO YA AIRTEL RISING STAR MSIMU WA SITA

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo mhe. Nape Moses Nnauye (wa pili kulia) akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano kutoka Airtel Tanzania Bi. Beatrice Singano (wa pili kushoto) wakati akiwasili katika Uwanja wa Karume kuhitimisha mashindano ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Star Septemba 11, 2016 kushoto ni Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania Bw. Jamali Malinzi.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (wa pili kulia) akijadiliana jambo na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania Bw. Jamali Malinzi wakati wa hitimisho la mashindano ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Star Septemba 11, 2016.
Mkurugenzi wa Airtel Tanzania Bw. Sunil Colaso akizungumza kuhusu maendeleo ya mashindano ya Airtel Rising Star wakati wa hitimisho la mashindano hayo ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 katika Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akipita katika moja ya geti linalotumia mfumo wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na wanamichezo, wadau wa michezo na wanahabari kabla ya kushuhudia fainali ya mashindano hayo yiliyohitimisha mashindano hayo kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 Airtel Rising Star katika Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akikagua wachezaji wa timu ya Morogoro Boys kabla ya kuanza kwa fainali kati yao na timu ya Ilala iliyofanyika katika Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akikabidhi kikombe kwa nahodha wa Timu ya wasichana ya Temeke walioibuka washindi wa mashindano ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Star kwa upande wa wasichana katika Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akikabidhi kikombe kwa nahodha wa Timu ya wavulana ya Morogoro walioibuka washindi wa mashindano ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Star kwa upande wa wavulana katika Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.
Timu ya wasichana ya Temeke wakishangilia ushindi wao wakishangilia ushindi wao walioupata katika mashindano ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Star kwa upande wa wasichana kwa kuwafunga Timu ya temeke kwa mikwaju ya penati katika Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.
Timu ya wavulana ya Morogoro wakishangilia ushindi wao wakishangilia ushindi wao walioupata katika mashindano ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Star kwa upande wa wavulana kwa kuwafunga Timu ya Ilala kwa goli moja kwa bila katika Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na Timu ya wavulana ya Morogoro mara baada ya kumalizika kwa mshindano ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Star yaliyofanyika katika Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na Timu ya wavulana ya Ilala mara baada ya kumalizika kwa mshindano ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Star yaliyofanyika katika Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016. Picha zote na Raymond Mushumbusi WHUSM

No comments: