Saturday, September 17, 2016

MREMBO LAURA KWAI ATWAA TAJI LA TTCL MISS HIGHER LEARNING INSTITUTIONS 2016.

 Mshindi wa Taji la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016, Laura Kwai akipunga mkono kwa mashabiki wa ulimbwende mara baada ya kutangazwa kutwaa taji hilo jana katika Ukumbi wa King Solomoni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mshindi wa pili wa taji la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016, Evelyn Andrew pamoja na mshindi wa tatu wa taji la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016, Clara Nyaki (kulia). Shindano hilo lilidhaminiwa na Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL). Mshindi wa Taji la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016, Laura Kwai akipunga mkono kwa mashabiki wa ulimbwende mara baada ya kutangazwa kutwaa taji hilo jana katika Ukumbi wa King Solomoni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mshindi wa pili wa taji la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016, Evelyn Andrew pamoja na mshindi wa tatu wa taji la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016, Clara Nyaki (kulia). Shindano hilo lilidhaminiwa na Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL). Mshindi wa taji la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2015 (kushoto) akimvisha Mshindi mpya wa Taji la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016, Laura Kwai (aliyeketi) mara baada ya kutangazwa kutwaa taji hilo. Hellen George a.k.a 'Ruby' akitumbuiza kwenye shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 jana katika Ukumbi wa King Solomoni jijini Dar es Salaam. Shindano hilo lilidhaminiwa na Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL). Meneja Masoko wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Beda Kinunda (kushoto) akimtangaza mshiriki Glory Gidion kuwa balozi wa TTCL kutoka katika shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016. Mshiriki huyo atasaini mkataba wa kufanya kazi na TTCL kutangaza huduma na bidhaa za kampuni hiyo. Baadhi ya maofisa wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL) na wadhamini wakuu wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakifuatilia matukio anuai katika mchuano huo wa walimbwende wasomi kutoka vyuo mbalimbali nchini jana jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wafanyakazi wa TTCL (kulia) ambao ni wadhamini wakuu wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakiwasajili kupata laini baadhi ya wapenzi wa ulimbwende waliovutiwa na huduma za kampuni hiyo katika mchuano huo wa walimbwende wasomi kutoka vyuo mbalimbali nchini jana. Baadhi ya maofisa wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL) na wadhamini wakuu wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakifuatilia matukio anuai katika mchuano huo wa walimbwende wasomi kutoka vyuo mbalimbali nchini jana jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa TTCL (kulia) ambao ni wadhamini wakuu wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakiwasajili kupata laini baadhi ya wapenzi wa ulimbwende waliovutiwa na huduma za kampuni hiyo katika mchuano huo wa walimbwende wasomi kutoka vyuo mbalimbali nchini jana. Baadhi ya wafanyakazi wa TTCL (kulia) ambao ni wadhamini wakuu wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakiwasajili kupata laini baadhi ya wapenzi wa ulimbwende waliovutiwa na huduma za kampuni hiyo katika mchuano huo wa walimbwende wasomi kutoka vyuo mbalimbali nchini jana. Sehemu ya wadau na wapenzi wa masuala ya urembo wakiwa katika mapozi ya picha kwenye Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 jana.
 Sehemu ya Jopo la Majaji wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakijadiliana jambo kabla ya kutoa matokeo kwenye shindano hilo jana.
 Baadhi ya wafanyakazi wa TTCL ambao ni wadhamini wakuu wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakiwa katika mchuano huo wa walimbwende wasomi kutoka vyuo mbalimbali nchini jana. Sehemu ya wadau na wapenzi wa masuala ya urembo wakifuatilia michuano ya Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 ukumbini.
 Baadhi ya Washiriki wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakichuana katika miondoko mbalimbali ya mavazi. Baadhi ya Washiriki wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakichuana katika miondoko mbalimbali ya mavazi. Sehemu ya wadau na wapenzi wa masuala ya urembo wakifuatilia michuano ya Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 ukumbini.
 Sehemu ya Washiriki wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakichuana katika miondoko mbalimbali ya mavazi.
 Sehemu ya Washiriki wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakichuana katika miondoko mbalimbali ya mavazi. Washiriki wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 walioingia tano bora wakichuana katika kujibu maswali ya uelewa na kijamii. Msanii Navy Kenzo akifanya vitu vyake kwenye shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 jana katika Ukumbi wa King Solomoni jijini Dar es Salaam. Shindano hilo lilidhaminiwa na Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL). Meneja Masoko wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Beda Kinunda (kushoto) akimtangaza mshiriki Glory Gidion kuwa balozi wa TTCL kutoka katika shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016. Mshiriki huyo atasaini mkataba wa kufanya kazi na TTCL kutangaza huduma na bidhaa za kampuni hiyo.
 Mratibu wa shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016, Bi. Maya Nkiru (kushoto) akitangaza zawadi kwa washindi na washiriki wa shindano hilo. Mshindi wa taji hilo amepata udhamini wa masomo katika chuo chochote nchini pamoja na fedha taslimu milioni moja.
 Baadhi ya maofisa na wafanyakazi wa TTCL ambao ni wadhamini wakuu wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakipiga picha na Balozi wa TTCL, Glory Gidion mara baada ya kumaliziki kwa shindano hilo. 
Baadhi ya maofisa na wafanyakazi wa TTCL ambao ni wadhamini wakuu wa Shindano la TTCL Miss Higher Learning Institutions 2016 wakipiga picha na Balozi wa TTCL, Glory Gidion mara baada ya kumaliziki kwa shindano hilo.

No comments: