Monday, June 6, 2016

Washindi wa promosheni ya milioni 100 na tusker wakabidhiwa vitita vyao

 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL) mkoa wa  Arusha ,Orest Mmbaga akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh Milioni moja kwa Eliasi Polo mkazi wa Moshi akiwa ni miongoni mwa washindi 10 wa kwanza wa Promosheni ya Tusker Fanya kweli.Makabidhiano ya Hundi yamefanyika katika baa ya Kinondoni iliyopo eneo la Kiusa,Moshi mjini.
 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL) mkoa wa Kilimanjaro,Godwin Seleli akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh Milioni moja kwa Deogratius Shayo  wa Moshi akiwa ni miongoni mwa washindi 10 wa kwanza wa Promosheni ya Tusker Fanya kweli .Makabidhainao ya Hundi yamefanyika katika baa ya Kinondoni iliyopo eneo la Kiusa,Moshi mjini.
  Meneja Masoko wa Bia ya Tusker Nandi Mwiyombela (kushoto) akimkabidhi mfano wa Hundi mmoja wa washindi 10 wa kwanza wa Promosheni ya Milioni 100 na Tusker Fanya Kweli Uwini Michael Mwinuka mkazi wa Tabata Dar es Salaam katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 
 Meneja Masoko wa Bia ya Tusker Nandi Mwiyombela (kushoto) akimkabidhi mfano wa Hundi mmoja wa washindi 10 wa kwanza wa Promosheni ya Milioni 100 na Tusker Fanya Kweli Uwini Sebastian Joseph mkazi wa Bunju Dar es Salaam katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 
 Meneja Masoko wa Bia ya Tusker Nandi Mwiyombela akieleza jambo kwa wageni waalikwa wakati wa hafla ya kukabidhi hundi kwa washindi wanne kutoka Dar es Salaam ambao ni kati ya  washindi kumi wa kwanza wa promosheni ya Milioni 100 na Tusker Fanya Kweli 
Mmoja ya washindi kumi wa kwanza wa promosheni ya Tusker Fanya Kweli na Uwini Festo Silvester ambaye ameshinda mara mbili na kupata jumla ya pesa taslim Million 2, akitoa shukrani kwa Kampuni ya Bia ya Serengeti mara baada ya kukabidhiwa pesa zake.

No comments: