Saturday, December 26, 2015

YANGA YAIBONYEZA MBEYA CITY BAO 3-0

Mshambuliaji wa Yanga, Deus Kaseke akichuana na beki wa Mbeya City, John Kabanda  katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 3-0. (Picha na Francis Dande).
 Mshambuliaji wa Yanga, Deus Kaseke akiwatoka mabeki wa Mbeya City.
 Wachezaji wa Mbeya City wakimzonga mwamuzi Jeonesia Rukyaa kutoka Kagera baada ya Yanga kupata bao la kwanza.
 Sio goli.............
 Kocha wa Yanga, Hans Pluijm akitoka wakati wa mapumziko.
Mashabiki wa Mbeya City.
 Polisi wakituliza fujo zilizotokea katika jukwaa la Mbeya City.
 Donald Ngoma wa Yanga akichuana na Haruna Shamte.
 Amis Tambwe wa Yanga akishangilia bao la pili aliloifungia timu yake.
 Thaban Kamusoko (katikati) akishangilia na Deus Kaseke na Simon Msuva.
 Wakishangilia kwa staili ya aina yake.
 Deus Kaseke wa Yanga akiwania mpira na mchezaji wa Mbeya City.
 Hatari....
 Mashabiki wa Mbeya Cuty wakiwa wameduwaa wakishuhudia timu yao ikipata kipigo kutoka kwa Yanga.

No comments: