Friday, January 30, 2015

MKUTANO WA WADAU WA NISHATI YA UMEME VIJIJINI WAFANYIKA JIJINI DAR

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (kushoto ) na Meneja Mradi wa Benki ya Dunia (WB) katika nchi za Tanzania, Uganda na Burundi Oliver Braedt (kulia) wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa.
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava akifungua warsha iliyokutanisha wadau mbalimbali wa nishati ya umeme vijijini iliyofanyika jijini Dar es salaam kujadili mpango mkakati katika usambazaji wa umeme vijijini. Pia ilihusisha wadau wengine kutoka nchi za Peru, Vietnam, Brazil, Tunisia na Ghana.
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Dk. Lutengano Mwakahesya akifungua warsha iliyokutanisha wadau mbalimbali wa nishati ya umeme vijijini iliyofanyika jijini Dar es salaam kujadili mpango mkakati katika usambazaji wa umeme vijijini. Pia ilihusisha wadau wengine kutoka nchi za Peru, Vietnam, Brazil, Tunisia na Ghana.
Meneja Mradi wa Benki ya Dunia (WB) katika nchi za Tanzania, Uganda na Burundi Oliver Braedt akichangia jambo katika warsha iliyokutanisha wadau mbalimbali wa nishati ya umeme vijijini iliyofanyika jijini Dar es salaam kujadili mpango mkakati katika usambazaji wa umeme vijijini. Pia ilihusisha wadau wengine kutoka nchi za Peru, Vietnam, Brazil, Tunisia na Ghana.
Wadau mbalimbali wa warsha hiyo wakifuatilia hotuba iliyokuwa inatolewa na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (hayupo pichani) katika warsha iliyokutanisha wadau mbalimbali wa nishati ya umeme vijijini iliyofanyika jijini Dar es salaam kujadili mpango mkakati katika usambazaji wa umeme vijijini. Pia ilihusisha wadau wengine kutoka nchi za Peru, Vietnam, Brazil, Tunisia na Ghana.
Baadhi ya wadau kutoka kampuni zinazojihusisha na usambazaji wa umeme vijijini wakifuatilia mada kwa makini zilizokuwa zinawasilishwa na watoa mada (hawapo pichani) kwa nyakati tofauti katika warsha iliyokutanisha wadau mbalimbali wa nishati ya umeme vijijini iliyofanyika jijini Dar es salaam kujadili mpango mkakati katika usambazaji wa umeme vijijini. Pia ilihusisha wadau wengine kutoka nchi za Peru, Vietnam, Brazil, Tunisia na Ghana
Baadhi ya wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini ( waliokaa mstari wa mbele) wakifuatilia mada zilizokuwa zinawasilishwa na wadau mbalimbali (hawapo pichani) katika warsha iliyokutanisha wadau mbalimbali wa nishati ya umeme vijijini iliyofanyika jijini Dar es salaam kujadili mpango mkakati katika usambazaji wa umeme vijijini. Pia ilihusisha wadau wengine kutoka nchi za Peru, Vietnam, Brazil, Tunisia na Ghana.

No comments: