Saturday, July 12, 2014

UTENGENEZAJI WA VIDEO YA WIMBO WA KIPI SIJASIKIA WA PROF JAY NA DIAMOND UNAENDELEA CHINI YA NEXT LEVEL

IMG_0217
Msanii mkongwe kwenye game la Bongo Fleva anajulikana kwa jina la Prof Jay leo mchana alikuwa akishoot video yake mpya aliyomshirikisha Diamond inaitwa KIPI SIJASIKIA. Video hiyo iliyokuwa ikishutiwa pale Sinza Makaburini ilipo Mahakama. Video imesimamiwa wa Dir Adam Juma kutoka Next Level
Prof Jay akiwa na Prod P Funk Majani,
DJ Choka akiingia mahakamani

Jini Kabula & DJ Choka
 Credit:Dj Choka

1 comment:

Anonymous said...

Nawapongeza kwa ubunifu, inaonekana itakuwa video nzuri. Ila kuna mambo ambayo siyo ya uhalisia kwa kanuni za mahakama ikiwemo walinzi (askari) wa kampuni binafsi huwa hawahusishwi na ulinzi wa mahakama, hapo wamechemka.