Tuesday, July 29, 2014

RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA AZUNGUMZA NA VIONGOZI VIJANA TOKA BARANI AFRIKA.

Ukumbi wa Regency Ballroom katika Hotel ya Omni Shoreham Washington DC ukiwa umepambwa kwa Bendera toka mataifa mbalimbali ikiwemo Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akitoa hotuba yake kwa Viongozi vijana toka barani Afrika waliokuwa wakishiriki mafunzo katika vyuo vikuu vya Arkansas na Florida nchini Marekani.
Rais wa Marekani ,Barack Obama akizungumza na Viongozi vijana toka nchi mbalimbali za Afrika waliokuwa wakipata mafunzo katika vyuo vikuu vya Arkansas na Florida.
Rais Obama akiondoka Ukumbini mara baada ya kuzungumza na Viongozi vijana toka nchi mbalimbali za Afrika waliokuwa wakipata mafunzo katika vyuo vikuu vya Arkansas na Florida.
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari ni miongoni mwa Vongozi vijana toka barani Afrika waliohudhuria mkutano huo na Rais Barack Obama .
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari ni miongoni mwa Vongozi vijana toka barani Afrika waliohudhuria mkutano huo na Rais Barack Obama hapa akifuatilia kwa makini Hotuba ya Rais Obama. .
Mbunge Joshua Nassari akiwa na Viongozi vijana wenzake walioshiriki mafunzo hayo nchini Marekani.
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari  akionesha cheti chake cha kuhitimu mafunzo ya wiki tisa yaliyoshirikisha  Vongozi vijana toka barani Afrika .
Cheti cha kuhitimu Mafunzo ya wiki tisa alichotunukiwa Mbunge Joshua Nassari baada ya kuhitimu mafunzo ya wiki tisa yaliyoshirikisha Viongozi Vijana  nchini Marekani.

No comments: