Saturday, January 25, 2014

DIAMOND KWENYE INTERVIEW SESSION WITH MAMBO MSETO CHA RADIO CITIZEN KENYA

Leo ikiwa ni siku ya pili,tukiwa nchini kenya,ratiba yangu ilianzia 
hotelini kwenye gym kujiweka fit na baada ya hapo
mchana nilihitajika na media 

mbali mbali za hapa kwa ajili ya kufanya 
mahojiano,nilianza na kipindi cha Mambo mseto
cha Radio citizen chini ya Mzazi Willy Tuva...ambaye
alitaka kufaham mipango yangu kimziki
,next collabos,collabo na wanamzik wa Kenya
na kuhusu maisha yangu kwa ujumla lakini pia..nilijibu maswali yaliyoulizwa live
na wasikilizaji wa Mambo mseto 
na wapenzi wa mziki wangu,...
Safari ikaanzia Hotelin

Baada ya kuwasili 
Nikifafanua kuhusu swala la collabo 
nilizofanya na ninazotalajia kuzifanya



Baadhi ya watangazaji wa Citizen
Picha ya pamoja na Mzazi will Tuva

Picha ya pamoja na watangazaji wengine wa Citizen


No comments: