Thursday, February 28, 2013

WAZIRI MKUU AZINDUA MPANGO MKAKATI WA GS1 TANZANIA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mpango mkakati wa GS1 Tanzania kwa miaka 5,uliofanyika katika Hotel ya Blue Pearl,Ubungo Plaza, Feb,27,2013..
Waziri Mkuu akionyesha kwa washika dau, mpango mkakati uliozinduliwa.
Waziri Mkuu akikata keki 
Kaimu Mkurugenzi wa GS1 Tanzania, Fatma Kange akizungumza wakati wa kikao cha tatu cha wadau wa GS1 Tanzania katika Hotel ya Blue Pearl,Ubungo Plaza,Feb,27,2013.
Baadhi ya wadau waliohudhuria kikao hicho cha GS1 Tanzania.
Makamu Mwenyekiti wa GS1 Tanzania,Yakub Hasham akizungumza na wadau  mbalimbali waliohudhuria kikao cha tatu cha washika dau na kikao cha pili cha mwaka cha GS1 Tanzania.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara,Joyce Mapunjo akifafanua jambo juu ya umuhimu wa Barcodes katika kuinua soko la bidhaa zetu.
Salum Awadh akiwasilisha  mpango mkakati wa GS1 Tanzania wa kipindi cha mwaka 2013-2018 kama Mtaalamu Mshauri ( Consultant) wa GS1 Tanzania.
Mwenyekiti wa Amsha Institute of Rural Entrepreneur ,Biubwa Ibrahim Malengo akizungumzia mafanikio ya kikundi chake kutoka Lindi Vijijini.
Waziri wa Viwanda na Biashara ,Abdallah Kigoda akimkaribisha Waziri Mkuu kufungua Kikao cha tatu cha washika dau katika Hotel ya Blue Pearl, Ubungo Plaza,Feb 27,2013
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia washika dau wa GS1 Tanzania.
Mjasiriamali, Faith Temba wa kampuni ya FANO 2010 Co.LTD akipokea barcodes ya bidhaa zake,wafanyabiashara wa  asali wapatao 10 wamekabidhiwa barcodes zao wakati wa kikao cha tatu cha washika dau na kikao cha pili cha mwaka cha GS1 Tanzania.
Wajumbe kutoka Zanzibar  wakifuatilia kwa makini yale yanayojiri kwenye kikao cha tatu cha washika dau na kikao cha pili cha mwaka katika cha GS1 Tanzania.

Picha zote na Adam H. Mzee

Wednesday, February 27, 2013


INVITATION FOR APPLICATION FOR ADMISSIONS TO VARIOUS   CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR THE 2012/2013 ACADEMIC YEAR FOR MARCH INTAKE

Tumaini University Makumira – Iringa University College invites applications from qualified Tanzanian and non-Tanzanian candidates for admissions to various certificate and diploma programmes for MARCH INTAKE in the 2012/2013 academic year in all her centres – Iringa, Mbeya and Njombe.

SPECIFIC MINIMUM REQUIREMENTS FOR THE DIFFERENT PROGRAMMES:

A. CERTIFICATE PROGRAMMES:

1. CERTIFICATE IN BUSINESS ADMINISTRATION (CBA)
ADMISSION REQUIREMENTS:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes, one of which must be mathematics.

2. CERTIFICATE IN ACCOUNTING AND FINANCE (CAF)
ADMISSION REQUIREMENTS:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes, one of which must be mathematics.

3. CERTIFICATE IN ENTREPRENEURSHIP & MICROFINANCE (CEMF)
ADMISSION REQUIREMENTS:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes, one of which must be mathematics.

4. CERTIFICATE IN HUMAN RESOURCE MANAGEMENT (CHRM)
ADMISSION REQUIREMENTS:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes (O’Level).

5. CERTIFICATE IN LEISURE AND TOURISM STUDIES (CLTS)

ADMISSION REQUIREMENTS:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes (O’Level).
6. CERTIFICATE IN PROCUREMENT AND MATERIALS MANAGEMENT (CPMM)
ADMISSION REQUIREMENTS:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes (O’Level).

7. CERTIFICATE IN COMMUNITY DEVELOPMENT (CCD)
ADMISSION REQUIREMENTS:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of four passes (O’Level).

8. CERTIFICATE IN LAW (CL)
ADMISSION REQUIREMENTS:
Applicants must have obtained at least two credits or four passes in approved subjects in the Certificate of Secondary Education Examination (O' Level). 

9. CERTIFICATE IN INFORMATION TECHNOLOGY (CIT)
ADMISSION REQUIREMENTS:
Candidates who apply for the Certificate in Information Technology must possess form IV certificate with at least two (2) credits or four (4) passes.

B. DIPLOMA PROGRAMMES

1. DIPLOMA IN BUSINESS ADMINISTRATION (DBA)
ADMISSION REQUIREMENTS:
Category A:  Direct Entry:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three credits AND Advanced Secondary Education Examination (Form 6) with at least two subsidiary passes.

Category B:  Equivalent Entry Qualifications:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes (O’Level) AND a holder of Certificate in Business Administration or related fields of studies from recognized institutions.

2. DIPLOMA IN ACCOUNTANCY (DAC)
ADMISSION REQUIREMENTS:
Category A:  Direct Entry:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three credits AND Advanced Secondary Education Examination (Form 6) with at least two subsidiary passes.

Category B:  Equivalent Entry Qualifications:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes (O’Level) AND a holder of Certificate in Accountancy or related fields of studies from recognized institutions.



3. DIPLOMA IN ENTREPRENEURSHIP & MICROFINANCE (DEMF)
ADMISSION REQUIREMENTS:
Category A:  Direct Entry:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three credits AND Advanced Secondary Education Examination (Form 6) with at least two subsidiary passes.

Category B:  Equivalent Entry Qualifications:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes (O’Level) AND a holder of Certificate in Entrepreneurship & Microfinance or related fields of studies from recognized institutions.

4. DIPLOMA IN HUMAN RESOURCE MANAGEMENT (DHRM)
ADMISSION REQUIREMENTS:
Category A:  Direct Entry:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three credits AND Advanced Secondary Education Examination (Form 6) with at least two subsidiary passes.

Category B:  Equivalent Entry Qualifications:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes (O’Level) AND a holder of Certificate in Human Resource Management or related fields of studies from recognized institutions.

5. DIPLOMA IN LEISURE AND TOURISM STUDIES (DLTS)

ADMISSION REQUIREMENTS:
Category A:  Direct Entry:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three credits AND Advanced Secondary Education Examination (Form 6) with at least two subsidiary passes.

Category B:  Equivalent Entry Qualifications:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes (O’Level) AND a holder of Certificate in Leisure and Tourism Studies or related fields of studies from recognized institutions.

6. DIPLOMA IN PROCUREMENT AND MATERIALS MANAGEMENT (DPMM)
ADMISSION REQUIREMENTS:
Category A:  Direct Entry:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three credits AND Advanced Secondary Education Examination (Form 6) with at least two subsidiary passes.

Category B:  Equivalent Entry Qualifications:
A candidate for this programme must possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of three passes (O’Level) AND a holder of Certificate in Procurement and Materials Management or related fields of studies from recognized institutions.



7. DIPLOMA IN COUNSELING PSYCHOLOGY (DCP)
ADMISSION REQUIREMENTS:
(a) Direct Entry
An applicant must have:
Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least three credits or five passes.

(b) Equivalent Entry
Applicants who are eligible for equivalent admission to a Diploma in Counseling Psychology  must hold a certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least two credits or four passes in their O’ Level; and hold a certificate in Counseling Psychology  OR related fields of studies from recognized institutions.

8. DIPLOMA IN COMMUNITY DEVELOPMENT (DCD)
ADMISSION REQUIREMENTS:
(a) Direct Entry
An applicant must have a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least three credits AND a Certificate of Advanced Secondary Education Examination with at least two subsidiary passes.

(b) Equivalent Entry
Applicants who are eligible for equivalent admission to this Diploma programme must hold a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least two credits or four passes AND a Certificate in Community Development or related fields of study from recognized institutions or colleges.

9. DIPLOMA IN LAW (DL)
ADMISSION REQUIREMENTS:
(a) Direct Entry
An applicant must have a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least three credits AND a Certificate of Advanced Secondary Education Examination with at least two subsidiary passes.

 (b) Equivalent Entry
Applicants who are eligible for equivalent admission to this Diploma programme must hold a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least two credits or four passes AND a Certificate in Law or the related fields of study from recognized institutions or colleges.

10. DIPLOMA IN INFORMATION TECHNOLOGY
ADMISSION REQUIREMENTS:
Category A: Direct Entry
An applicant must have a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least three credits AND a Certificate of Advanced Secondary Education Examination with at least One principal pass in Art Subjects OR two subsidiary passes in Science Subjects.

Category B: Equivalent Qualifications
Applicants who are eligible for equivalent admission to this Diploma programme must hold a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least two credits or four passes AND a Certificate in Computer Studies or the related fields of studies from recognized institutions or colleges.



11. DIPLOMA IN JOURNALISM (DJ)
ADMISSION REQUIREMENTS:
(a) Direct Entry
An applicant must have a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least three credits AND a Certificate of Advanced Secondary Education Examination with at least two subsidiary passes.

(b) Equivalent Entry
Applicants who are eligible for equivalent admission to this Diploma programme must hold a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least two credits or four passes AND a Certificate in Journalism or the related fields of study from recognized institutions or colleges.

12. DIPLOMA IN THEOLOGY (DTH)
ADMISSION REQUIREMENTS:
Applicants who are eligible for equivalent admission to the Diploma in Theology programme must:-
(a)    Possess an Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE), OR
(b)   Possess a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least three credits or five  passes, OR
(c)    Hold a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least two credits or three passes AND any Certificate in Theology Studies or the related fields of studies from recognized institutions or colleges.

MODE OF APPLICATION:
For those who qualify and wish to join our university, the application forms are available at the university – Iringa and her all centres or they may visit our Website: www.tumaini.ac.tz under the heading “Application Form for March Intake”.

After filling the application forms, you have to pay the application fee of 30,000/= to any branch of the respective banks as shown in the application forms, attach the Bank Slip Deposit and send or post them to the college as directed in the respective forms.

THE DEADLINE FOR RETURNING THE APPLICATION FORMS IS 28TH FEBRUARY 2013 FOR ALL CENTRES.

DEPUTY PROVOST FOR ACADEMIC AFFAIRS,
TUMAINI UNIVERSITY – IRINGA UNIVERSITY COLLEGE,
BOX 200, IRINGA.
TEL: 026-2720900 / 2720903      
FAX: 026-2720904
E-MAIL: iuco@tumaini.ac.tz

RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JKT JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na uongozi wa juu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) jijini Dar es salaam alipotembelea leo February 27, 2013. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Vuai Shamsi Nahodha, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange pia walihudhuria.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia makamanda wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) alipotembelea makao makuu yao leo February 27, 2013.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi ya saa toka kwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael Muhuga huku Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Vuai Shamsi Nahodha, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange wakishuhudia. Saa hiyo imeandaliwa na makamanda wa JKT kumpongeza Rais Kikwete kwa kurejesha mafunzo ya jeshi la ulinzi kwa mujibu wa sheria kuanzia mwaka huu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa juu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) jijini Dar es salaam alipotembelea leo February 27, 2013. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Vuai Shamsi Nahodha, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange pia wapo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akielekea kwenye uwanja wa sherehe baada ya kupata maelezo na kutoa maagizo kwa uongozi wa juu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) alipotembelea makao makuu yake leo February 27, 2013. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Vuai Shamsi Nahodha na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange pia walihudhuria.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na kada mbalimbali za Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) alipotembelea leo February 27, 2013. 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael Muhuga,pamoja na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Vuai Shamsi Nahodha, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange wakati akiondoka Makao Makuu ya Jeshi hilo leo. PICHA NA IKULU

HOTELI YA DOUBLETREE BY HILTON KUGAWA TAA 200 KILA MWEZI ZINAZOTUMIA NISHATI YA JUA KWA SHULE ZA MSINGI ZA MKOA WA DAR ES SALAAM

Mwl. Salome Makanza wa Shule ya msingi Oysterbay akisoma risala kwa niaba ya Mwl. Mkuu Msaidizi Janeth Mdingi ambapo ameishukuru Hoteli ya DoubleTree by Hilton kwa kubuni kampeni kama hiyo ya kugawa taa zinazotumia Nishati ya Jua kwa Wanafunzi wa Darasa la Saba ambao wanakabiliwa na Mitihani kwani zitawasaidia hata Umeme utakapokatika majumbani mwao.
Mwl. Salome Makanza akikabidhi risala yake kwa Mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mh.Dkt. Terezya Huvisa. Kulia ni Mkurugenzi wa kanda wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton Dar es Salaam Bw. Judd Lehmann. Kuhsoto ni Kushoto ni Afisa Elimu Msaidizi wa Wilaya ya Kinondoni Faustin Kikove na Mwl.Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Oysterbay Bi. Janeth Mdingi (wa pili kushoto).
Meza Kuu katika Halfa ya Uzinduzi wa taa zinazotumia Nishati ya Jua zilizotolewa na Hoteli ya DoubleTree by Hilton ya Jijini Dar es Salaam kwa shule za msingi za Mikoa ya Dar es Salaam ambapo leo wamezindua kampeni hiyo kwa kuanzia shule ya Msingi Oysterbay jijini.
Mkurugenzi wa Kanda wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton ya Dar es Salaam Bw. Judd Lehmann akizungumza wakati wa kuzindua kampeni ya kugawa taa zinazotumia Nishati ya Jua kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi za Mkoa wa Dar es Salaam ambapo amesema lengo lao ni kutaka wanafunzi hao wawe na ufahamu kuhusiana na Nishati mbadala ya Umeme ambayo ni rafiki wa Mazingira.
Hivyo taa hizo zitawasaidia hata kunapokuwa hakuna Umeme wa Tanesco kujisomea majumbani bila kipangamizi.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Dkt. Terezya Huvisa akitoa hotuba kuzindua kampeni ya ugawaji taa zinazotumia Nishati ya Jua iliyobuniwa na Hoteli ya DoubleTree By Hilton jijini Dar kwa wanafunzi wa shule za msingi ambapo ameipongeza hoteli hiyo kwa kubuni mradi kama huo kwani taa hizo kwa kuwa zinatumia Nishati ya jua zitawasaidia wanafunzi kujisomea na familia zao pia kupata Mwanga kunapokuwa tatizo la kukatika kwa Umeme.
Aidha amewaasa wanafunzi hao kuzitunza taa hizo na kuzitumia kwa maelngo yaliyokusudiwa.
Baadhi ya Wanfunzi wa Darasa la Saba wa Shule ya Msingi Oysterbay wakimsikiliza mgeni rasmi.
Baadhi ya wageni waalikwa na wafanyakazi wa hoteli ya DoubleTree by Hilton ya jijini Dar wakati wa uzinduzi huo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Dk. Terezya Huvisa akiendesha maswali ya masuala ya mazingira kupima upeo wa uelewa kwa Wanafunzi wa shule ya msingi Oysterbay jijini Dar es Salaa wakati akizindua kampeni ya kugawa taa zenye kutumia Nishati ya jua kwa shule za msingi za mkoa wa Dar iliyodhaminiwa na Hotel ya Doubletree by Hilton ya jijini Dar.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mh.Dkt. Terezya Huvisa akimtunza Mwanafunzi Neema Njau shilingi Elfu taslim baada ya kujibu vyema maswali yanahusiana na Mazingira wakati wa hafla ya uzinduzi wa taa zinazotumia Nishati ya Jua zilizogaiwa kwa wanafunzi wa Darasa la saba wa shule ya msingi Oysterbay jijini Dar.
Mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Dkt. Terezya Huvisa akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa taa zinazotumia Nishati ya Jua zilizotolewa na Hotel ya Doubletree by Hitlon kwa ajili ya kugawa kwa wanafunzi wa shule tofauti za msingi mkoa wa Dar es Salaam. Wanaoshuhudia tukio hilo Mkurugenzi wa Kanda wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton ya Dar es Salaam Bw. Judd Lehmann aliyeambatana na Meneja Mkuu wa Hoteli hiyo Bw. Sven Lippinghof (mwenye tai ya Orange) na Mkurugenzi wa Masoko Hoteli ya DoulbeTree by Hilton Florenso Kirambata (nyuma ya Waziri). Kushoto (mwenye kipaza sauti ) ni Afisa Elimu Msaidizi wa Wilaya ya Kinondoni Faustin Kikove na Mwl. Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Oysterbay Bi. Janeth Mdingi (wa tatu kushoto).
Mgeni rasmi Mh. Dkt. Terezya Huvisa akihamasisha wanafunzi kutumia vizuri taa hizo hasa nyakati za kujisomea ya kukabidhi rasmi. Mkurugenzi wa kanda wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton Dar es Salaam Bw. Judd Lehmann (wa tatu kulia), Meneja Mkuu wa Hoteli hiyo Bw. Sven Lippinghof (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Masoko Hoteli ya DoulbeTree by Hilton Florenso Kirambata (kulia) na Wa kwanza Kushoto ni Afisa Elimu Msaidizi wa Wilaya ya Kinondoni Faustin Kikove na Mwl Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Oysterbay Bi. Janeth Mdingi (wa pili kushoto).
Mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Dkt. Terezya Huvisa akikabidhi rasmi taa inayotumia Nishati ya jua kwa mmoja wa wanafunzi wa shule hiyo John Maganga. Wanaoshuhudia tukio hilo ni Mkurugenzi wa kanda wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton Dar es Salaam Bw. Judd Lehmann (kulia) na Kushoto ni Afisa Elimu Msaidizi wa Wilaya ya Kinondoni Faustin Kikove na Mwl Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Oysterbay Bi. Janeth Mdingi (wa pili kushoto).
Mkurugenzi wa kanda wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton Dar es Salaam Bw. Judd Lehmann akikabidhi moja ya taa hizo kwa mwanafunzi wa darasa la saba Rebecca Andrew.
Mkurugenzi wa Masoko Hoteli ya DoubleTree by Hilton Florenso Kirambata akifanya vivyo hivyo kwa mmoja wa wanafunzi wa shule msingi Oysterbay.
Mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Dkt. Terezya Huvisa akiwa kwenye picha ya pamoja na Uongozi wa Hoteli ya DoubleTree By Hilton, Uongozi pamoja na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Oysterbay baada ya kukabidhi taa hizo.
MC wa shughuli hiyo Taji Liundi akifurahi jambo na Meza kuu.
Mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Dkt. Terezya Huvisa akiteta jambo na Mkurugenzi wa kanda wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton Dar es Salaam Bw. Judd Lehmann wakati wa hafla hiyo. Kushoto ni Mwl. Mkuu Msaidizi wa Shule hiyo Janeth Mdingi.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Oysterbay ya Jijini Dar es Salaam wakipozi na taa zinazotumia Nishati ya jua ambazo zimetolewa na Hoteli ya DoubleTree by Hilton. Wanafunzi hao wameishukuru Hoteli hiyo na kusema taa hizo zitawasaidia kujisomea hata kipindi ambacho Umeme umekatika majumbani hivyo kuongeza uwezo wao kielimu.

Na.Mwandishi wetu
Hoteli ya DoubleTree by Hilton jijini Dar es Salaam imezindua rasmi kampeni ya matumizi ya nishati ya jua ambayo itadumu kwa muda wa miaka miwili katika shule za mkoa wa Dar es Salaam.
Katika kampeni hiyo Hoteli ya DoubleTree by Hilton itakuwa ikigawa taa 200 za mezani zenye kutumia nishati ya jua kwa wanafunzi wa darasa la saba kwa shule tofauti kila mwezi, lengo likiwa nikuwafanya wawe na ufahamu zaidi juu ya chanzo kingine cha umeme ambacho ni rafiki wa mazingira kwa kupitia mafunzo katika madarasa yao.
Akizindua rasmi kampeni hiyo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Mh. Dkt. Terezya Huvisa ameupongeza uongozi wa hoteli hiyo kwa kubuni kampeni ambayo itawasaidia wanafunzi kutambua umuhimu wa nishati ya jua na kufaidika na taa wao na familia zao.
Mh. Huvisa amegawa awamu ya kwanza ya taa 200 za mezani zinazotumia nishati ya jua kwa wanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya msingi Oysterbay na kuwataka wazitunze na kuzitumia kujisomea.
Naye Mkuu wa hiyo amtoa shukrani kwa Hoteli ya DoubleTree by Hilton akisema kampeni hiyo inazo faida nyingi kwa upande wa afya, elimu, uchumi wa nyumbani na mazingira kwa ujumla.

uzinduzi wa kituo cha UKRAINIAN - AFRICAN EDUCATION CENTRE.

 Mhe. Vil Bakirov - Rector wa Kharkiv National University named after V.N. Karazin, akiongea na waandishi wa habari.
 Nao wanazuoni hawakuwa nyuma kuonesha dansi zao za kitamaduni.
  Wanazuoni wakiwakilisha Nigeria vilivyo kwa dansi zao kiustadi zaidi. (NAIJA PEOPLE SAY "WAHALA NO DE")
  Mdau Elias Manaseh Mwana na Ndg. Muki Lee (The Euro) nao walishiriki katika uzinduzi wa kituo cha UKRAINIAN - AFRICAN EDUCATION CENTRE.
 Wanazuoni wakiTanzania wakifurahia matukio.
 Wanazuoni wa kiTanzania waishio Ukraine katika picha na Balozi wa Tanzania nchini Urussi, Mhe. Jaka Mwambi na Msaidizi wake - Mhe. Mbarouk N. Mbarouk.
 Wanazuoni wakiTanzania Elias Mwana, Tim Carter na Slim Shahbal katika pose wakati wa short-event break.


  Wanazuoni wakitanania waishio miji ya Kharkov na Sumy wakiwa katika pose mbele ya V.N. Karazin University.
 (L-R) Ndg Juma Hajj Nakhunte - Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wakiTanzania mjini Kharkov,Ukraine, Mhe. Balozi Jaka Mwambi - Balozi wa Tanzania nchini Urussi, Mhe. Mbarouk N. Mbarouk - msaidizi wa Balozi wa Tanzania nchini Urussi na Ndg. Mkama Edward wakifafanua maswala mbalimbali kwa wanazuoni wa kiTanzania nchini Ukraine.
   (L - R) Mhe. Vil Bakirov - Rector wa Kharkiv National University named after V.N. Karazin, Mhe. Irina Gagarina - Director of Ukrainian State Centre of International Education of Ukraine, Balozi wa Angola nchini Urussi, Mhe. Jaka Mwambi - Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini  Urussi wakipongezana kwa uzinduzi wa kituo cha UKRAINIAN - AFRICAN EDUCATION CENTRE.

 (L-R) Mhe. Mbarouk N. Mbarouk - Msaidizi wa Balozi wa Tanzania nchini Urussi, akiwa katika picha na mwanazuoni anaewakilisha Kenya na Frank Mndeme - mwanazuoni anaewakilisha Tanzania.
 Wanazuoni wa fani mbalimbali wakiwa wamezibeba bendera za nchi zao mbele ya waandishi wa habari.
 .Mhe. Jaka Mwambi - Balozi wa Tanzania nchini Urusi  (SHOTO) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari . Ndg. Edward Mukama (Kulia) akitoa tafasiri ya majibu baina ya Balozi na waandishi wa habari.
 Nao wanazuoni hawakuwa nyuma kuonesha dansi zao za kitamaduni.
 Mhe. Vil Bakirov - Rector wa Kharkiv National University named after V.N. Karazin, Balozi wa Angola nchini Urussi,   Mhe. Irina Gagarina - Director of Ukrainian State Centre of International Education of Ukraine na  Mhe. Jaka Mwambi - Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini  Urusi wakijitambulisha mbele ya wageni waalikwa katika sherehe hiyo.
L-R) Wanazuoni kutoka Nigeria, Tanzania, Tunisia na Kenya.