Monday, December 2, 2013

TASWIRA MBALIMBLI ZA MCHUANO WA MISS TANZANIA USA PAGEANT ULIVYOKUA MKALI

 Mshindi wa Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalemera katika picha ya pamoja na Miss Sierra Leone.
 Mshindi wa Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalemera katika picha ya pamoja na aliyekua Miss District Of Columbia.
Mshindi wa Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalemera katika picha ya pamoja na mchumba wake.
washindi watano wa Miss Tanzania USA Pageant katika picha ya pamoja na kamati ya maandalizi
Mshindi wa Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalemera katika picha ya pamoja na familia yake.
Majaji kutoka kushoto ni Miss Sierra Leone,  Peter Walden na aliyekua Miss District of Columbia 2012.
Hellena Nyerere akikabidhiwa cheti na Mkurugenzi na mwanzilishi wa Miss Tanzania USA Pageant Ma Winny Casey
kwa picha zaidi zikiwemo mchuano mkali wa Mamiss Tanzania USA Pageant ulivyokuwa bofya soma zaidi ujionee mwenyewe

Aisha Kamara
Namala Elias
Doreen Rumaya
Sham Manka
Faith Kashaa
Joy Kalemera
Alice Mhina
Julia Nyerere
Hellena Nyerere
Posted: 01 Dec 2013 10:51 AM PST
 Mlimbwende Joy Kalemera akipungia mashabiki baada ya kushinda mashindano ya Miss Tanzania USA Pageant yaliyofanyika usiku wa Jumamosi Novemba 30, 2013 kwenye ukumbi wa Hollywood Ballroom uliopo Silver Spring , Maryland na Mhe. Balozi Liberata Mulamula ndiye aliyekua mgeni rasmi. Joy Kalemera alipohojiwa na Vijimambo alikua na haya ya kusema.
 Mshindi wa Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalamera akipewa maua na aliyekua Miss District of Columbia baada ya kutangazwa mshindi kwenye Miss Tanzania USA Pageant ambapo mashindano haya ya kumtafuta Miss Tanzania USA Pageant ndiyo ya kwanza kufanyika kwenye ardhi ya Marekani. 
 Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalemera akiwa mwenye furaha baada ya kutangazwa mshindi wa Miss Tanzania USA Pageant.
 Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico akimvisha taji Joy Kalemera baada ya kutangazwa mshindi wa Miss Tanzania Pageant
 Mhe. Balozi Liberata Mulamula akiwa mwenye furaha baada ya shindano hili kufana sana na kuandika historia iliyobeba ukurasa mpya wa kutangaza Tanzania kwenye mashindano haya ya Miss Afrika USA Pageant ambayo Tanzania ilikua na mshiriki wa kwanza mwaka huu ambae ushiriki wake haukupitia ngazi hii.
Joy Kalemera akipongezwa na washiriki wenzake waliokua nae kwenye kinyang'anyiro hiki kilichoanzia miezi miwili iliyopita.
 Mhe. Balozi Liberata Mulamula akiwa kwenye picha ya pamoja na mshindi wa kwanza katika historia ya Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalemera kulia ni Mkurugenzi na mwanzilishi wa Miss Tanzania USA Pageant Ma Winny Casey.
 Joy Kalemera katika picha ya pamoja na majaji pamoja na mkurugenzi na mwanzilishi wa Miss Africa USA Pageant, Lady Kate (kulia)
 Kutoka kushoto ni Faith Kashaa kutoka Alabama ambaye ndiye mshindi wa tatu, Doreen Rumaya kutoka Pennsylvania mshindi wa pili, Joy Kalemera kutoka New Jersey Miss Tanzania USA Pageant, Julia Nyerere mshindi wa Tano na Namala Elias mshindi wa nne wakiwa kwenye picha ya pamoja
 Miss Tanzania USA Pageant katika picha ya pamoja na washiriki wenzake.
picha zingine baadae
Posted: 01 Dec 2013 09:40 AM PST
KATUUNI HII IMELETWA KWENU KWA IDHINI YA MDAU WETU MARCO TIBASIMA
Posted: 01 Dec 2013 09:25 AM PST
 Mwanamuziki Adele Clarice kutoka Cameroon akiimba nyimbo za Taifa za Marekani na Tanzania na baadae kuimba singo zake mpya alishangiliwa sana na umati wa watu alipokua kiimba wimbo wa Taifa wa Tanzania kwa stadi bila kupindisha kiswahili utafikiri anatoka Tegeta, Dar es Salaam.
 Mwanamuziki toka Ethiopia Betty G akitamba kwenye ukijimwaya mwaya ukumbini
 Betty G
Mwanamuzi kutoka Cameroon Naomi Achu naye akifanya vitu vyake.
Mwanamuziki na mcheza sinema kutoka Ghana Kobi Maxwell akifunga pazia la makamuzi,
 Kobi Maxwell akikamua na Adele Clarice
 Dogo Al kutoka Delaware akikamua Azonto kisawa sawa na kunogesha usiku wa Miss Tanzania USA Pageant

No comments: