Sunday, December 29, 2013

CLOUDS MEDIA YACHAPWA 3-1 NA TIMU YA MAKIPA WANAOCHEZA LIGI KUU

 Wachezaji wa timu ya Clouds Media Group wakifanya mazoezi mepesi kabla ya kuanza kwa mtanange wa kufunga mwaka dhidi ya timu ya magorikipa wanaocheza Ligi Kuu ya soka tanzania Bara.
 Kocha mchezaji wa timu ya Clouds Media Group, Mbwiga Mbwiguke (kulia) akiwaongoza wachezaji wenzake katika mazoezi.
 Wachezaji wa timu ya Makipa wanaocheza Ligi Kuu wakifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Makurumla jijini Dar es Salaam.
 Mchezajki swa timu ya Makipa, Ivo Mapunda akisalimiana na Shaffih Dauda.
 Kikosi cha Clouds Media Group
 Timu ya Makipa wa Ligi Kuu wakiwa katika picha ya pamoja.
 Wachezaji wa tizmu ziote mbili wakisimama kwa dakika moja kuomboleza kifo cha kocha wa makipa wa timu ya Simba, Marehemu James Kisaka.
 Mchezaji wa timu ya Makipa Shaban Kado akimiliki mpira huku Bakari Masuli (kulia) akijaribu kumzuia.
Said Saleh 'Mbwiga Mbwiguke' (katikati) akitafuta mbinu za kumpokonya mpira Ivo Mapunda. 
"Huchukui mpira hapa,mwenzio nilianzia huku kabla ya kuwa nyanda"Ivo Mapunda huo akifanya yake.
 Mbwiga Mbwiguke (kushoto), akichuana na Hussein Sharif.
 Mbwiga Mbwiguke (kushoto), akichuana na Hussein Sharif.
 Mbwiga akimtoka Deogratius Munishi.
 Mshambuliaji wa Clouds Media Group, Maulid Kikucha akimiliki mpira mbele ya mabeki wa timu ya Makipa.
 Beki wa Clouds Media Group, Said Tully akimiliki mpira huku akizongwa na Hussein Sharif.
 Hekaheka......
 Mbwiga akifanya mahojiano na Juma Pondamali na Abdulhalim Humud.
 Huniwezi......

Said Mohamed akimtoka mchezaji wa Clouds Media.

No comments: