Wednesday, June 27, 2012

mnuso wa send-off ya Happiness Rutihinda Msasani Makuti, Dar es salaam

send-off ya Happiness Rutihinda Msasani Makuti, Dar es salaam
 Napendeja wewe...
 Nguo bomba
 Baada ya kujikwatua
 Happiness



 Dadas from right, Harrieth, cythia and Gladis.
 Ukumbi umepambwa na kupambika


 Happiness na Xavier Isaac
 
 Happiness na mtarajiwa wake

 BABA WADOGO NA SHANGAZI WA BIBI ARUSI


  





 Xavier Isaac na mpambe wake Jerry.

 Happiness Rutihinda, mpambe wake Georgina,  Xavier Isaac na mpambe wake Jerry.

 Zawadi kwa wazaa chema
  

 MR & MRS FABIAN RUTIHINDA WAZAZI WA BIBI ARUSI
 Xavier na Happiness





 Wazaa chema




Tuesday, June 26, 2012

DK. SHEIN AENDESHA SEMINA YA KUIMARISHA UHUSIANO BAINA YA WANASIASANA WATENDAJI KATIKA SERIKALI ZA MITAA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akifungua semina ya siku mbili kuhusu kuimarisha Uhusiano Baina ya Wanasiasa na Watendaji katika Serikali za Mitaa Zanzibar,katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,nje ya Mji wa Unguja leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad,alipowasili katika viwanja vya Zanzibar Beach Resort,alipohudhuria katika semina ya siku mbili ya Uongozi ya Viongozi wa Serikali za Mitaa Zanzibar,akiwa ni Mwenyekiti wa Semina hiyo iliyoanza Leo.
Sheha wa Shehia ya Kiombamvua,Wilaya ya Kaskazini B,Mkoa wa Kaskazini Bw, Abass Juma Hamad,akichagia suala la Kilimo wakati wa Semina ya siku mbili,juu ya Kuimarisha Uhusino baina ya Wanasiasa na Watendaji katika Serikali za Mitaa Zanzibar,iliyoanza leo katika Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,nje ya Mji wa Unguja.
Sheha wa Shehia ya Ubago,Wilaya ya Kati Unguja,Mkoa wa Kusini Unguja,Bibi Asha Abeid Suba,akichagia suala la Maji wakati wa Semina ya siku mbili,juu ya Kuimarisha Uhusino baina ya Wanasiasa na Watendaji katika Serikali za Mitaa Zanzibar,iliyoanza leo katika Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,nje ya Mji wa Unguja.
Sheha wa Shehia ya Mahonda,Wilaya ya Kaskazini B,Mkoa wa Kaskazini Bw Ali Haji Bakari,akichagia suala la Kilimo wakati wa Semina ya siku mbili,juu ya Kuimarisha Uhusino baina ya Wanasiasa na Watendaji katika Serikali za Mitaa Zanzibar,iliyoanza leo katika Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,nje ya Mji wa Unguja.
Baadhi ya Madiwani na Masheha wa Shehia mbali mbali za Unguja,wakiwa katika semina ya siku mbili juu ya Uongozi ya Viongozi wa Serikali za Mitaa Zanzibar,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,iliyofanyika leo, katika Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,Nje ya mji wa Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Mwinyihaji Makame,alipowasili katika viwanja vya Zanzibar Beach Resort,alipohudhuria katika semina ya siku mbili ya kuimarisha Uhusiano baina ya Wanasiasa na Watendaji wa Serikali za Mitaa Zanzibar,akiwa Mwenyekiti wa Semina hiyo iliyoanza Leo. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Monday, June 25, 2012

kilele cha ziara rasmi ya siku mbili ya rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sarhawi

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu jijini Dar es salaam Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi Mhe Mohamed Abdelaziz kwenye kilele cha ziara yake rasmi nchini leo Juni 25, 2012
 Rais Kikwete na mgeni wake wakiipigia makofi Brass Band ya Polisi kwa kutumbuiza wakati wa hafla ya chakula cha mchana Ikulu
 Inspekta Billy Kachale akiongoza vyema Brass Band ya Polisi huku Rais Kikwete na mgeni wake wakishuhudia
 Rais Kikwete akijiandaa kumpa mgeni wake zawadi ya meza ya kuchezea Chess
 Rais Kikwete akipokea zawadi ya fimbo ya heshima ya Sahrawi
 Rais Kikwete akipokea zawadi ya ngamia
 Rais Kikwete akifurahia zawadi la joho la Ki-Sahrawi
 Picha ya pamoja
 Rais Kikwete akimsindikiza mgeni wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere
 Matarumbeta ya Mount Usambara yako gado kumuaga mgeni
 Ngoma ya utamaduni ya kikundi cha JKT
 Heshima kwa Rais Kikwete na Mgeni wake
 Rais Abdelaziz akiagana na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama
 Kwa heri ya kuonana
Safari njema....