Saturday, April 23, 2011

fiesta soka bonanza larindima jijini mwanza leo


Liverpool
Man U
Chelsea.

Barcelona
Ac Millan

Mmoja wa waratibu wa iesta soka bonanza,Abdull akiwa kwenye mchakato mzima mapema hii asubuhi jijini Mwanza tukielekea CCM Kirumba.
Mashabiki wa Man U kama kwaida yao,hata kama wako sita kwa shangwe na makelele aaahhh wako safi sana,
Mmoja wa wafanyabiashara akiwa amesimama barabarani akishangaa maandamano ya Fiesta Soka Bananza yakipita barabarani kutoka uwanja wa Nyamagana na kuelekea uwanja wa CCM-Kirumba.
Golden Moment ya dereva Tax huyu ni pale alipokutana na mratibu wa Fiesta Soka Bonanza 2011,Shafii Dauda na kumpa kibeji cha Man U atie saini yake kama uonavyo pichani.
Haaa haaaa utamtaka,Mshabiki wa Chelsea akisuburi maandamano yampitie
Man u wakitamba barabarani.
Jeshi i la polis limetoa msaada mkubwa kwenye maandamano haya ya Fiesta Soka Bonanza katika suala la zima la usalama barabarani,kama umuonavyo askari huyu wa usalama barabarani akitoa eskoti kwenye maandamano hayo mapema leo asubuhi jijini Mwanza.
Washabiki wa Chelsea wakijmwaya mwaya kwenye maandamano.
Askari wa usalama wa Barabarani akitoa muongozo.
Mashabiki wa vilabu mbalimbali za nje,wa jijini mwanza wakiwa wameandamana mapema asubuhi kwenye mchakato mzima wa kuelekea uwanja wa CCM Kirumba
Mtungo wa magari ukiwa umesimama, ukiyapisha maandamano ya Fiesta soka bonanza mapema leo asubuhi jijini Mwanza.

TAMASHA LA VODACOM SHUFFLE DANCE LAFANA UFUKWE WA SUNRISE DAR


Helkopta ikipita kandokando ya Bahari ya Hindi eneo la Ufukwe wa Sunrise Resort juzi, wakati wa Tamasha la Vodacom la ‘Shuffle Dance’, lililoandaliwa maalum na kampuni hiyo ya Vodacom kwa ajili ya kuweka na kuvunja rekodi ya dunia na kuweka kumbukumbi katika kitabu cha Matukio makubwa Duniani ‘Guinness Book Records’.Tamasha hilo lilifanyika jana, kwenye Ufukwe wa Hotel ya Sunrise Kigamboni Dar es Salaam.
Wasanii mbalimbali na vijana waliojitokeza kushiriki Tamasha la Vodaco ‘Shuffle Dance’, akicheza staili moja kwa pamoja wakati wa Tamasha hilo lililofanyika jana kwenye Ufukwe wa Hoteli ya Sunrise Kigamboni Dar es Salaam, likiwa na lengo la kuvunja na kuweka rekodi ya Dunia katika kitabu cha Matukio Makubwa yanayotokea Duniani, ‘Guinness Book Records’. Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya simu za mkononi Vodacom Tanzania.

Baadhi ya watu waliojitokeza kushuhudia Bonge la staili za Tamasha hilo Shuffle Dance.

Eti huyu ni Dada Rose (kulia) akiwa na shosti wake 'Mtasha', wakipiga picha za kumbukumbu ufukweni hapo.

Twende kazi na staili za pamoja hapa huku wakirekodiwa
kwa ajili ya mambo fulani ya hapo baadaye.

Mkuu wa Udhamini wa Kampuni ya simu za mkononi Vodacom Tanzania, George Rwehumbiza, akizungumza na waandishi kufafanua juu ya Tamasha hilo.

Muongozaji wa Tamasha hilo wakati wa kurekodi akizungumza na waandishi wa habari, wakati wa zoezi hilo.

Kitu kikitua kwenye Ufukwe hu. Picha zote na Sufiani Mafoto.

Style Motomoto fashion show ya mwisho 2011


Khadija Mwanamboka akimpa shada la maua mbunifu anayekuja juu kwa kasi Farha Sultan baada ya onesho la mwisho la Style Motomoto kwa mwaka huu katika hoteli ya Double Tree jijini Dar usiku wa kuamkia leo
Mbunifu mkali Kemi Kalikawe akitambulishwa baada ya bonge la show
Mwanamitindo na mlimbwende Irene Kiwia naye ni mbunifu hodari ambaye alionesha mitindo yake
Sehemu ya umati uliohudhuria
Vitu vya Farha Sultani
Modo katika mitindo ya Farha
Ubunifu wa Farha
Farha ana nguo kwa kila mtu
Makali ya Farha
Ushindwe wewe tu
Modo anayekuja juu kwa kasi akionesha mambo
Mtembeo wa mwisho wa mamodo na wabunifu
Khadija Mwanamboka akiwa na Raqey ambaye kampuni yake ya iView imefadhili Style Motomoto
Ubunifu wa hali ya juu
Wabunifu wakipita jukwaani
Professional MC Taji Liundi akiwa kazini
Irene Kiwia na modo katika mtindo ake
IView tena hahaaaa
Professional MC Taji Liundi akitambulisha wataalamu wa backstage waliofanikisha show hii na zote za Style Motomoto
Wadau wakifualitilia show
Wadau waliokuwepo pia
Fideline Ilanga (kulia) na wadau wakati wa show
Baadhi ya wadau waliofika kwenye show
Khadija Mwanamboka na Farha Sultani wakiwa na mdau na Shamim Zeze wa 8020fashions (shoto)