Thursday, November 3, 2016

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje afungua kikao cha Maafisa Waandamizi wa Troika ya SADC

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Kikao cha Makatibu Wakuu na Maafisa Waandamizi wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC Troika), Balozi Dkt. Aziz Mlima akifungua rasmi Kikao cha Makatibu Wakuu na Maafisa Waandamizi kutoka Asasi hiyo kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupitia agenda mbalimbali zitakazowasilishwa na kujadiliwa kwenye Kikao cha Mawaziri kitakachofanyika tarehe 03 Novemba, 2016 katika Ukumbi huo. Asasi ya SADC inaundwa na nchi tatu ambazo ni Tanzania (Mwenyekiti), Angola (Makamu Mwenyekiti) na Msumbiji (Mwenyekiti aliyemaliza). Kushoto ni Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika, Mhe. Dkt. Stergomena Tax. 
Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Mhe. Dkt. Stergomena Tax akizungumza wakati wa kikao cha Makatibu Wakuu. Kulia ni Balozi Mlima. 
Sehemu ya Makatibu Wakuu na Maafisa Waandamizi kutoka Tanzania wakifuatilia ufunguzi wa kikao. Kutoka kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Balozi HassanYahya Simba, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Bw. Job Masima na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Innocent Shiyo. 
Sehemu ya Ujumbe wa Msumbiji wakifuatilia ufunguzi wa mkutano huo 
Sehemu ya ujumbe kutoka Angola wakati wa ufunguzi wa kikao cha Makatibu Wakuu 
Sekretarieti ya SADC .
Sehemu nyingine ya ujumbe wa Tanzania wakati wa kikao hicho cha Makatibu Wakuu 

MAGAZETI YA LEO ALHAMIS NOV 3


Wednesday, November 2, 2016

PRESS RELEASE THE 1ST INTERNATIONAL HIGH LEVEL MULTI-STAKEHOLDERS CONFERENCE ON PROMOTING PHARMACEUTICAL SECTOR INVESTMENTS IN EAST AFRICA OPENS IN NAIROBI

East African Community
 The 1st International High Level Multi-Stakeholders Conference on Promoting Pharmaceutical Sector Investments in the East Africa opened today at the Laico Regency Hotel in Nairobi, Kenya. 
The three-day conference brings together key stakeholders from EAC Partner States including Ministries of Health, Finance and Industry, National Medicines Regulatory Agencies (NMRAs), National Procurement Agencies (NMPAs), AU-NEPAD Planning and Coordinating Agency, World Health Organization (WHO), United Nations Conference on Trade and Development (UNCTAD), United Nations Industrial Development Organization (UNIDO) and the private sector (local and international pharmaceutical manufacturers) as well as international development partners and investors among others. 
The overall objective of the conference is to develop a common and shared vision for promoting investments in the regional pharmaceutical manufacturing sector. 
In her speech read by Mr. Barrack Ndegwa, the Integration Secretary, Kenyan Cabinet Secretary for East African Community Integration, Labour and Social Protection, Hon. Phyllis Kandie described the pharmaceutical sector is a critical area of cooperation in health matters within the EAC.

Hon. Kandie said the conference was therefore significant as it provides a platform for stakeholders to have a conversation among the policy makers, industry players, the civil society, as well as social and development partners on how to deepen cooperation in the sector. 
She disclosed to the conference that in 2014, the pharmaceutical market of the EAC was valued at US$1.9 billion, adding that it was forecast to grow at a compound annual rate of 8.3% to reach US$4.2bilion in 2024. However, Kenya, which is the leading pharmaceutical producer in the region, with approximately 50% production and rising exports, supplies just 25% of the Kenyan market. 
The CS added that Tanzania supplies a declining share of its own domestic medicines market, down from 35% in 2009 to less than 10%-20% today. 
The Cabinet Secretary informed the participants that despite these developments, the Pharmaceutical manufacturers operating from within the EAC region generally produce at a cost disadvantage to larger generic product manufacturers internationally due to a variety of reasons including scale, expensive asset base coupled with older technology, higher financing costs plus a lack of integration with active pharmaceutical ingredients suppliers. 
“This situation makes domestically manufactured medicines uncompetitive compared to imports and the regional pharmaceutical market is therefore dominated by imports with domestic manufacturers only meeting less than30% of the medicines demand.” 
She called for the Development Partners and other stakeholders to support the growth of the sector by engaging and addressing the concerns of the domestic pharmaceutical manufacturers and potential investors. 
On her part, Hon. Josiane Nijimbere, Burundi’s Minister of Public Health and the Fight Against AIDS, said medicines have become a very important and powerful tool, now more than ever, in improving the health status of populations and, in the long term, for reducing healthcare costs and ensuring sustainable development through health working human resource. 
‘’I am therefore delighted that the East African Community has decided to hold this conference in collaboration with our Development Partners here present and those who have not been able to make it, raise awareness of various stakeholders on the need to promote investment in pharmaceutical manufacturing.’’ 
She underscored the importance of the health sector for the citizens of East Africa as the EAC integration agenda aims at improving sharply standard of living the East African Citizenry.

“To this effect, the development of the pharmaceutical sector and investments is equally critical if we want to achieve the objectives of the Community.”
The EAC Deputy Secretary General in charge of Productive and Social Sectors, Hon. Christopher Bazivamo said that poor performance of the EAC health sector has contributed to shortage of essential medical products and health technologies, which could be produced within the region by EAC industrial sector. 
“About 75% of the EAC pharmaceutical market demand is met through importation of medical products and health technologies while 25% is covered by domestic pharmaceutical production,” said Hon Bazivamo. 
He urged Partner States to consider implementing incentive packages to promote domestic pharmaceutical production in the region which includes; a uniform preferential margin of 20% for all regionally produced medicines and medical devices in public tenders according to Article 35 of the Common Market Protocol; removal of duties for imported raw and packing materials, pharmaceutical manufacturing related equipment as well as spare parts for the equipment’s acquired by domestic manufacturers registered in the EAC; and classification and import restrictions for finished pharmaceutical products that can be produced within the region, based on regional capacity and quality audits of local manufacturers. 
The High Level Mult-Stakeholders Conference on Promoting Pharmaceutical Sector Investments conference provides an opportunity and a platform for stakeholders to discuss and agree on strategic areas and policy incentive packages that promote EAC domestic pharmaceutical manufacturers and foster dialogue between policy makers, regulators and pharmaceutical manufacturers.
The Conference has been organized by the EAC Secretariat in collaboration with the EAC Partner States and Development Partners.

MATUKIO BUNGENI DODOMA LEO

 Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamisi Kigwangala (kulia) akisalimiana na matabibu wa dawa za asili mjini Dodoma. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA; KAMANDA WA MATUKIO BLOG

 Wabunge wa Kambi ya Upinzani wakijadiliana jambo bungeni Dodoma
 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa, Bupe Mwakang'ata akiwa makini kusikiliza hoja bungeni
 Mbunge wa jimbo la Pangani, Jumaa Aweso (kushoto) akijadiliana jambo na mbunge mwenzie

 Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Bulembo (CCM), akichangia hoja kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2016/2017 bungeni Dodoma, hasa jinsi ya kuwawezesha vijana nchini
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akijibu maswali ya wabunge

 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya kupitia Chadema, Sophia Mwakagenda (kulia) akijadliana jambo na mbunge mwenzie
 Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Tundu Lisu (Chadema), akichangia hoja bungeni, ambapo alihoji watu wasio husika kuwaweka kwenye makumbusho ya mashujaa nchini.
 Mbunge wa Jimbo la Kilindi, Omary Kitua akichangia hoja wakati wa majadiliano ya mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2016/17

 Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT), akichangia hoja bungeni Dodoma , katika mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2016/17.
 Wabunge wakiingia bungeni Dodoma jioni hii
 Mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga akichangia mpango huo


 Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini,  Charles Msigwa akichangia mpango huo

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema akijadiliana jambo na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa