Sunday, February 25, 2018

BENKI YA CRDB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA GS1

 Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa (wa pili kulia), akishiriki maandamano ya washiriki wa Mkutano Mkuu wa Taasisi ya GS1 jijini Dar es Salaam. Maandamano yakielekea ukumbini. 
 Brass Band ikiongoza maandamano hayo. 
Mwenyekiti wa Bodi ya GS1 Tanzania, Gideon Mazara (wa kwanza kulia), akiwashiriki maandamano wakati wa kuingia ukumbini katika Mkutano Mkuu wa Mwakwa wa taasisi hiyo.
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya CRDB, Frederick Nshakanabo, Mkurugenzi wa Huduma Mbadala wa Benki ya CRDB, Philip Alfred na Msaidizi wa Mkurugezi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Kenny Kasigila.
 Maandamano kuelekea katika ukumbi wa mikutano. 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (katikati), akipokea maandamano ya washiriki wa mkutano wa GS1. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimkabidhi cheti cha shukrani Mkurugenzi Mtendaji wa Benki wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, kwa kutambua udhamini wa benki ya CRDB katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Global Standard (GS1), taasisi hiyo inajishughulisha na uwekaji wa Barcodes katika bidhaa za kitanzania ili ziweze kukubalika katika soko la kimataifa na pia kuwa mdau wa kufanikisha sekta ya viwanda nchi mkutano huo ulifanyika jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya GS1 Tanzania, Gideon Mazara.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei,akizungumza katika Mkutano wa Mkuu wa Taasisi ya GS1 ambao ni watumiaji wa Simbomilia (Barcodes).
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto), akiwa na baadhi ya watendaji wa benki hiyo katika mkutano wa Mwaka wa taasisi ya GS1.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benmki ya CRDB, Tully Mwambapa akiteta jambo na Mkurugenzi wa Fedha wa Benki hiyo, Frederick Nshakanabo, katika mkutano huo. 
Mkutano ukiendelea.
Washiriki wa mkutano huo.

No comments: