Saturday, December 3, 2016

WABUNIFU WA MITINDO TOKA MAENEO MBALIMBALI WAFUNGUA PAZIA SWAHILI FASHION WEEK LEO

Mshehereshaji katika Tamasha la Kimataifa la Maonyesho ya Mitindo la "Swahili Fashion Week" lililoanza rasmi usiku wa Desemba 2, 2016 katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es salaam, Lilian Kamazima akizungumza wakati wa kuwashukuru wadhamini mbalimbali waliolifanikisha Tamasha hilo, ikiwemo Globu ya Jamii. Tamasha hilo lileanza rasmi Desemba 2 na linatarajiwa kumalizika Desemba 4, 2016.
Sehemu ya Wageni mbalimbali waliohudhulia katika Maonyesho hayo.





Mbunifu wa Mitindo ya Mavazi nchini, Jamilla VeraSwai akipita jukwaani baada ya Wanamitindo kuonyesha mavazi yake.







Mbunifu wa Mitindo ya Mavazi nchini, Lilian Patropa akipita jukwaani kuwashukuru watazamaji baada ya Wanamitindo kupita kuonyesha mavazi yake.










































No comments: