Monday, November 7, 2016

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA

 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke aliyemtembelea mapema leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Pamoja na mambo mengine waliyozungumza Balozi huyo alimpa Mhe Spika pole kufuatia Kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta . 
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai  (kushoto) akimsikiliza  Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke  wakati akizungumza naye Ofisini kwake Mjini Dodoma. 
 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akimueleza jambo  Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke aliyemtembelea mapema leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke aliyemtembelea mapema leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.

 Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akimsikiliza  Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke  wakati akizungumza naye Ofisini kwake Mjini Dodoma.
    Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi kilichokutana kwa dharura kujadili kuhusu hoja ya kuahirisha Bunge kufuatia kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta ambapo Kikao hicho kiliridhia Bunge liahirishwe ili Waheshimiwa Wabunge wapate muda wa kuomboleza kufuatia Msiba huo. 
Picha na Ofisi ya Bunge.

No comments: