Thursday, June 9, 2016

ZAIDI YA MILIONI 600 KUSHINDANIWA KUPITIA PROMOSHENI YA"KAMATA MPUNGA YA VODACOM"

Description: Description: Description: C:\Users\rmtingwa\Desktop\NEW LOGO.JPG
•       Zawadi kubwa  ya promeshi ni kitita cha shilingi 100m/
•             Kutakuwepo na ushindi wa mamilioni kila siku,kila wiki na kila mwezi kati ya shilingi milioni 1 mpaka milioni 20

Vodacom Tanzania leo imezindua promosheni kubwa itakayowawezesha wateja wake kujishindia pesa taslimu kiasi cha shilingi Milioni 615 ndani ya siku 140.Promosheni hii inayojulikana kama ‘Kamata Mpunga’ ni mwendelezo wa moja ya malengo ya kampuni hiyo ya  kubadilisha maisha ya wateja wake kuwa bora.

Kampuni hiyo imekuwa ikiendesha promosheni mbalimbali za kubadilisha maisha ya wateja na watanzania kwa ujumla kama vile Mwaka jana iliendesha promosheni kubwa ambayo haijawahi kutokea nchini iliyojulikana kama Jaymillions ambayo ilibadilisha maisha ya wateja mbalimbali walioibuka washindi na maisha yao kuwa murua. Vilevile miaka ya nyuma kampuni iliwahi kuendesha promosheni kabambe kama vile timka na bodaboda na kampeni ya Mahela iliyomfanya Mwanafunzi wa Chuo cha elimu mkoani Kigoma kuibuka mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 100/=.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini leo,Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu amesema promosheni hii inajulikana kama ‘Kamata Mpunga’ inawahusisha wateja wote wa kampuni yetu na itawawezesha wateja watakaobahatika kushinda kuwa mamilionea, “kiasi kikubwa cha fedha kitatolewa kila siku,kila wiki,kila mwezi na pia itakuwepo zawadi kubwa mwishoni mwa promosheni hii ni rahisi kabisa kila mtu kushiriki.”

Nkurlu alisema kuwa kila siku kuanzia Jumatatu hadi Jumamosi kutakuwepo na washindi 3 wa shilingi Milioni 1/= kila mmoja na kila siku ya Jumapili atakuwepo mshindi wa Milioni 5/= na tarehe ya mwisho wa mwezi katika kipindi cha promosheni atakuwepo mshindi wa milioni 20/= na kuna mshindi wa zawadi kubwa ya promosheni ambaye atajinyakulia kitita cha Milioni 100/= ambazo zitatolewa katika kipindi cha mwisho cha promosheni.
Nkurlu amesema ushiriki wa promosheni hii utakuwa ni rahisi ambapo mteja anachotakiwa kufanya ni kutuma ujumbe mfupi wa maneno kwa kuandika neno “GO” kwenda namba 15544 ambapo atapata ujumbe wa kumfahamisha kuwa ameingia kwenye mchezo na ataanza kupokea maswali atakayotakiwa kuyajibu kwa ajili ya kujiongezea pointi za ushindi na mteja atakatwa shilingi  300 tu kwenye muda wake wa maongezi ”. Alisema.
Nkurlu alifafanua kuwa maswali atakayopokea mteja yatakuwa na majibu 2 moja likiwa jibu sahihi na lingine likiwa sio sahihi. Kila mteja  atakapokuwa  anajibu  atakuwa anafahamishwa iwapo amepata swali na ataweza kujipatia pointi. Aliongeza kuwa kila ujumbe utakaotumwa kwenda namba 15544 mshiriki atajipatia bonasi ya pointi 100 za kuanzia ambazo zitaongezeka kadri atakavyokuwa anajibu maswali.

Nkurlu alifafanua zaidi kuwa katika ushiriki wa kawaida kwenye promosheni hii mteja ataweza kujishindia pointi 20 kwa kila jibu la swali litakapokuwa sahihi na pointi 10 iwapo jibu lake sio sahihi. Pia kutakuwa na  bonasi  ambayo itatolewa kwa nusu saa hadi siku nzima kwa lengo la kuwawezesha wateja wengi kushiriki na kuwa na nafasi ya kujishindia zawadi ya mamilioni ya fedha. Alifafanua zaidi kuwa kutakuwa na nafasi ya  ushiriki kwa kujiunga moja kwa moja ambapo mteja atatakiwa kutuma neno “WIN” kwenda namba 15544 na atakakwa kiasi cha shilingi 200 tu. 

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(katikati)akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salam leo(hawapo pichani)wakati wa Uzinduzi wa  Promosheni ya ‘Kamata Mpunga’itakayowawezesha wateja wa mtandao huo kujishindia pesa taslimu kuanzia shilingi Milioni 1 hadi 100.Ili mteja aweze kushiriki katika promosheni hii anatakiwa kutuma neno“GO”kwenda namba 15544 aidha mteja anaweza kujiunga moja kwa moja kwa kutuma neon”WIN”kwenda namba 15544 na mteja atapata ujumbe wa kujibu maswali,Kushoto ni Mkuu wa kitengo cha huduma za ziada wa kampuni hiyo,Saurabh Jaiswal na Meneja wa huduma za ziada,Mathew Kampambe.

Over 615m/- to be won from Vodacom’s ‘Kamata Mpunga’ promo and change lives
·         100m/- grand cash prize to be won
·         Promo entails daily, weekly and monthly cash prizes ranging from 1m/ to 20m/-

Dar es Salaam, Tuesday, June 9 2016. Vodacom Tanzania has today launched a mega promotion dubbed ‘Kamata Mpunga’ that will see one lucky customer win 100ml/- cash prize and change their life for the better while others stand a chance to walk away with either 1m/-, 5ml/- or 20ml/- through out the promotion that will last 140 days whereas a total of 615m/- is to be won.
Vodacom Tanzania is expecting to make life better for Tanzanians through the Kamata Mpunga promo as those who will win the money will be able to invest the amount in any lucrative entrepreneurial project and therefore manage to generate more income.
The ‘Kamata Mpunga’ promo is a continuation of Vodacom’s mission to make life better for Tanzanians as the leading telecom company conducted a similar promotion last year known as Jaymillions.
Previously Vodacom Tanzania has also conducted a number of promotions like ‘Timka na bodaboda’ and ‘Mahela’ which saw a student of Kigoma Education College walk away with 100m/-.
Vodacom Tanzania is determined to help Tanzanians change their lives for the better by giving them a chance to win millions which if invested wisely for instance in M-Pawa so as to earn interest can improve peoples lives.
Besides the 100m/- grand prize to be won at the end of the promo, every other day from Monday to Saturday 3 Vodacom customers will win 1m/- in cash, while every Sunday one lucky customer will win 5m/- and at every end of the month through out the 140 days of the promotion one customer will walk away with 20m/-.
To subscribe to ‘Kamata Mpunga’ promotion a customer is required to send an SMS with a word ‘GO’ to 15544 and will thereafter receive an SMS informing them that they have successfully entered the promo.
From this point, the subscribed customer will start receiving questions that will come along with correct and incorrect answers. If he/she picks a correct answer she will collect more points, bringing him/her closer to winning the cash prizes. However, should he/she picks an incorrect answer she/he will still gain points, only less.
“For every SMS that a customer will send to number 15544, a customer will collect 100 bonus points, and will gain even more points by answering the questions, 20 points for correct answers and 10 points for incorrect answers,” said Matina Nkurlu, Vodacom Tanzania Public Relations Manager.
She added that to encourage customers to participate and stand a chance to win, they will randomly give subscribed customers bonus points for half an hour or thorough out a day.
One can also increase their chances of winning by sending an SMS with a word ‘WIN’ to the same number. This will cost 200/-.
For every SMS that a customer will send, from subscribing to the promo and answering the questions will cost 300/- which will come from their airtime.

About Vodacom Tanzania
Vodacom Tanzania Limited is Tanzania's leading cellular network offering state-of-the-art GSM communication services across the country.  It was launched in 2000 and is a subsidiary of Vodacom Group (Pty) Limited, South Africa, which is a subsidiary of Vodafone Group UK. Mirambo Ltd. is a minority shareholder.
Vodacom is the market leader in Tanzania and has introduced many firsts in the market. One of the most popular is its M-PESA money transfer service with close to 7 million active users.  This total payment solution does not require users to have bank accounts -  an important consideration  in Tanzania  where millions of people do not operate bank accounts or do not meet the minimum qualifications to open an account. With M-PESA, Vodacom customers can deposit up to Tsh 5m/- for free, send and receive money and withdraw cash from any agent in the country. They can also access their bank accounts from the comfort of their homes.  M-Pesa’s reach is further augmented by over 85,000 Mobile Money agents across the country.
Over 500 organisations have integrated their payment systems with M-Pesa for collections, disbursement and distributor services. M-Pesa was enhanced last year to include a saving facility – M-Pawa. Over 1.5 million customers have subscribed to this service with Tshs 6.8 billion/- retained in deposits and over Tshs 500 million/- disbursed in loans every month.
M-Pesa is integrated with 26 banks in Tanzania and was declared a Super Brand in 2013.

No comments: