Tuesday, March 15, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA WA KAGERA.

 Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akimsalimia Pedelia Erenius na mwanwe Alia James( miezi saba) wakati alipotembelea wodi ya wanawake na watoto katika hospitali ya mkoa wa Kagera mjini Bukoba Machi 15, 2016.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na madaktari na waguzi wa hospitali ya mkoa wa Kagera hospitalini hapo mjini Bukoba Machi 15, 2016. 




 Baadhi ya Madaktari na Wauguzi wa Hospitali  ya mkoa wa Kagera wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakti alipozungumza nao hospitalini hapo mjini Bukoba Machi 15, 2016. 
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: