Wednesday, February 3, 2016

NHIF YASHIRIKI MAONESHO YA WIKI YA SHERIA JIJINI DAR ES SALAAM.

 Jaji wa Mhakama Kuu ambae pia ni Mkuu wa Chuo cha Mahakama cha Lushoto Jaji Ferdinand Wambali, akisaini kitabu cha wangeni alipotembelea banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF, katika Maonesho ya Wiki ya Sheria leo jijini Dar es Salaam. 
 Jaji wa Mhakama Kuu ambae pia ni Mkuu wa Chuo cha Mahakama cha Lushoto Jaji Ferdinand Wambali, akimuaga Ofisa mawasiliano wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini (NHIF) Luhende Singu, katika Maonesho ya Wiki ya Sheria leo jijini Dar es Salaam.
 Ofisa mawasiliano wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini (NHIF) Luhende Singu akitoa maelekezo kwa wananchi juu ya kujiunga na mkuko huo, katika Maonesho ya Wiki ya Sheria leo jijini Dar es Salaam.
 Madaktari wakiendelea na kutoa huduma za vipimo vya (Bp) na Sukari bure kwa wananchi waleotembelea banda la (NHIF) leo jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakiwakiwa katika banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini (NHIF) katika Maonesho ya Wiki ya Sheria leo jijini Dar es Salaam.

Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii

No comments: