Sunday, November 1, 2015

SIMU TV: HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI November 1, 2015.

Wanachama Wa Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu THDRC walaani vikali kitendo cha jeshi la polisi Kuvamia Kituo chao cha TACCEO.https://youtu.be/eDFOxahaEMc

Viongozi na Wachangaji Wa kanisa La AICT Geita wawataka viongozi walioshindwa uchaguzi kushirikiana na walioshinda ili kuleta Maendeleo. https://youtu.be/KNZQ-NAVT7Y

Shirika la Mazingira ENVIRO CARE lapongeza Ushindi wa Dkt. Magufuli kama ishara ya kuendeleza juhudi za kutunza na kulinda mazingira.  https://youtu.be/MiSp_JpurBw

Ligi kuu soka Tanzania Bara imeendelea Leo kwa michezo 3 huku Azam FC yazidi kuchomoza na ushindi baada ya Kuifunga Toto Afrika Bao 5 kwa 0.https://youtu.be/sSVw0PmdPN8

Bunge la Tanzania limewataka wabunge wote kuhakikisha wanapatiwa vyeti vya kuteuliwa kuwa wabunge vinavyotolewa na Msimamizi Wa Uchaguzi.https://youtu.be/ExH0V9jqWps

Wananchi wanaonufaika na Mpango wa TASAF katika Manispaa ya kigoma Ujiji waipongeza serikali kuanzisha mpango huo kwa ajili ya maendeleo ya taifa.https://youtu.be/1l7uDquTLRM

Jeshi la Polisi Zanzibar limewataka wakazi wananchi kuwa wavumilivu wakati taratibu za kutafuta ufumbuzi wa kisiasa ukiendelea. https://youtu.be/CqpJREF5TLM

Mvua Kubwa ilioandamana na upepo mkali iliyonyesha leo mchana mkoani Rukwa yasababisha kuharibika kwa miundombinu ya barabara.https://youtu.be/K7G8wDCrrV4
Timu ya Taifa, Taifa Stars imeingia kambini jijini Dar tayari kujiandaa na mchezo wa kiufuzu kombe la Dunia dhidi ya Algeria. https://youtu.be/zYUe1PgARvg

Kocha Wa Chelsea Jose Morihno adai kubaki kuendelea katika wadhifa wake kama kocha wa Chelsea na kufufua Kiwango cha klabu hiyo. https://youtu.be/HJw_6nfASFE

Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar yawatoa wananchi wake wasiwasi kuhusiana na uhalali wa raisi wa Zanzibar kuendelea kubaki madarakani;https://youtu.be/SKbpRIJDvzo

Pande zinazohasimiana Zanzibar zatakiwa kukaa meza moja kwa mazungumzo ya msitabali wa visiwa hivyo; https://youtu.be/ZFstFQ77joU

Imetwaja kuwa matofali yanayo tengenezwa kwa udongo    saruji yanasaidia kwa kiasi kikubwa kutunza hifadhi ya msitu wa Ngorongoro; https://youtu.be/3SQTq_p7bKs

Wananchi mkoani shinyanga  waiomba serikali ya awamu ya tano kuboresha zaidi sekta ya michezo hususani timu ya taifa; https://youtu.be/MBd4E1AxwGA

Timu ya taifa ya New Zealand ya Rugby imefanikiwa kutetea ubingwa wake waduania kwa kuifunga timu ya taifa ya Rugby ya nchini Australia;https://youtu.be/GVdQnPmrfgM

No comments: