Friday, October 9, 2015

BENKI YA CRDB TAWI LA MLIMANI CITY YASHEREHEKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA


Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani CityAllen Killango (katikati) akifurahia jambo na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB anayeshughulikia Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyopadhayay (kushoto). 
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB anayeshughulikia Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyopadhayay akisalimiana na Ofisa wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City.
Keki.

Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani CityAllen Killango (katikati) akiteta jambo na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB anayeshughulikia Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyopadhayay.
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB anayeshughulikia Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyopadhayay (kushoto) akiwaongoza wateja wa Benki hiyo tawi la Mlimani City kunyanyua juu glasi zilizokuwa na kinywaji cha shampeni.
Mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City akikata keki wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Wateja iliyofanyika katika tawi hilo.
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB anayeshughulikia Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyopadhayay akimlisha keki mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City.
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB anayeshughulikia Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyopadhayay akimlisha keki mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City.

 Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB anayeshughulikia Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyopadhayay (katikati) katika picha ya pamoja na maofisa ya benki ya CRDB tawi laMlimani City ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Watejana (wa tano kushoto ni Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani CityAllen Killango.
Maofisa wa Benki ya CRDB tawila Mlimani City wakiwa wamepozi kwa picha.

No comments: