Monday, March 30, 2015

RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KWA MWALIKO WA UMOJA WA MATAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili, Machi 29, 2015 amewasili jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.

Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC - UN).
Rais Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa Dkt Mahadhi Juma Maalim alipowasili jijini New York, Marekani. 
Rais Kikwete akisalimiana na Waziri wa WAZIRI wa Kazi na Ajira, Mhe. Gaudensia Kabaka anayefuatiwa na Waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee ...
Jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akikata utepe kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akisalimiana na baadhi ya  Wawakilishi wa Kudumu kutoka nchi mbalimbali walioalikwa kushuhudia ufunguzi wa  jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akisalimiana na wakandarasi wa ujenzi  wa  jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalumu Mhe.Naomi Mwakyoma Kaihula katika ufunguzi wa  jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akifunua pazia kama ishara ya kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete na pamoja na Mwakilishi wa Kudumu Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi na wageni waakikwa wakipiga makofi mara alipofungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa Dkt Mahadhi Juma Maalim (kulia) na Mwakilishi wa Kudumu Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi mara alipofungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akisalimiana na maafisa wa Wizara ya Mambo y Nje na Ushirikiano wa Kimataifa baada ya  kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akikagua ofisi katika jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Kushoto ni Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi 
Rais Kikwete akiangalia picha za waliopata kuwa Wawakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa baada ya  kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akiangalia picha za waliopata kuwa Wawakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa baada ya  kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Nyuma yake ni Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi 
Rais Kikwete akisaini kitabu cha wageni baada ya kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani, Akiangalia ni Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi 
Rais Kikwete akisalimiana na wafanyakazi kwenye ofisi hizo mara alipofungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akisalimiana na Bw. Joseph Msami wa Raido ya Umoja wa Matifa Idhaa ya Kiswahili kwenye ofisi hizo mara alipofungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akipiga picha na wageni mara alipofungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akipiga picha na Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika katika Umoja wa Mataifa, Balozi Amina Salum Ali   baada ya kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akihutubia mara alipofungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akihutubia mara alipofungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Wawakilishi wa nchi mbalimbali za za Afrika katika Umoja wa Mataifa baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri, Wabunge, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (Mbele kushoto) na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman (kulia)baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani

Rais Kikwete akatika picha ya pamoja na wafanyakazi wa ubalozini hapo  baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akatika picha ya pamoja na wafanyakazi wa ubalozini hapo  baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akatika picha ya pamoja na wenzanwa wafanyakazi wa ubalozini hapo  baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akatika picha ya pamoja na wafanyakazi wakandarasi wa ujenzi wa jengo baada ya  kulifungua  rasmi jengo hilo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akatika picha ya pamoja na wanajumuiya wa Tanzania wanaoishi Marekani w baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akatika picha ya pamoja na baadhi ya Wa-Tanzania wanaoishi Marekani w baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mwakilishi wa matawi ya CCM MArekani Bw. Isaac Kibodya na Mkewe  baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mwakilishi wa matawi ya CCM Marekani Bw. Isaac Kibodya na Mkewe  baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akipata picha ya kumbukumbu na baadhi ya Watanzania waishio Marekani

No comments: