Saturday, September 6, 2014

TASWIRA ZA JK NA MAOFISA NA WAPIGANAJI WAKATI WA UFUNGAJI WA ZOEZI LA MEDANI LA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA JWTZ HUKO MONDULI, ARUSHA

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais Wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi (wa tatu kushoto) , Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa pili kushoto) , Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto kwa Rais) , Mnadhimu Mkuu wa JWTZ ,  Luteni  Jenerali  Samwel Ndomba Kamanda wa vikosi vya Ardhini wa  JWTZ  Meja Jenerali Salum Kijuu, na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Magesa Mulongo (kushoto) katika picha ya pamoja na Makamanda wakuu wa zoezi la medani la maadhimisho ya miaka 50 ya JWTZ katika eneo la Langarurusu, Monduli, mkoani Arusha Septemba 5, 2014
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais Wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi (wa tatu kushoto) , Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa pili kushoto) , Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto kwa Rais) , Mnadhimu Mkuu wa JWTZ ,  Luteni  Jenerali  Samwel Ndomba Kamanda wa vikosi vya Ardhini wa  JWTZ  Meja Jenerali Salum Kijuu, na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Magesa Mulongo (kushoto) katika picha ya pamoja na Wakuu wa majeshi wastaafu. 
Aliyeketi wa kwanza kushoto ni Jenerali Mirishoarakikya, CDF wa kwanza wa jeshi hilo. waliosimama nyuma toka kushoto ni  Jenerali Robert Mboma, Jenerali George Waitara na Mnadimu Mkuu Mstaafu Luteni Jenerali Martin Mwakalindile baada ya ufungaji wa zoezi la medani la maadhimisho ya miaka 50 ya jeshi hilo
 Mkuu wa majeshi wa kwanza Jenerali Mirisho Sarakikya akipongezwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue wakati wa kupiga picha za kumbukumbu.  Kulia ni Makamu wa Pili wa Rais Wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akifuatiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais Wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi (wa tatu kushoto) , Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa pili kushoto) , Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto kwa Rais) , Mnadhimu Mkuu wa JWTZ ,  Luteni  Jenerali  Samwel Ndomba Kamanda wa vikosi vya Ardhini wa  JWTZ  Meja Jenerali Salum Kijuu, na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Magesa Mulongo (kushoto) katika picha ya pamoja na   Majenerali mbalimbali
 Picha ya pamoja na Wakuu wa vikosi vilivyoshiriki zoezi  la ufungaji wa zoezi la medani la maadhimisho ya miaka 50 ya jeshi hilo
 Picha ya pamoja na Wakuu wa vikosi mbalimbali
 Wakuu wa vikosi mbalimbali vya infantria vya JWTZ
 Na Wakuu wa vikosi vya mizinga
 Kumbukumbu na Wakuu wa vikosi vya vifaru
 Picha na Viongozi wa vikosi vya Wahandisi medani

 Picha na Wakuu wa vikosi vya mawasiliano
 Picha ya pamoja na Maafisa wa ngazi mbalimbali washiriki wa zoezi
 Na Makamanda mbalimbali walioshiriki zoezi hilo
 Kumbukumbu na Makamanda mbalimbali walioishiriki zoezi
      Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais Wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi (wa tatu kushoto) , Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa pili kushoto) , Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto kwa Rais) , Mnadhimu Mkuu wa JWTZ ,  Luteni  Jenerali  Samwel Ndomba Kamanda wa vikosi vya Ardhini wa  JWTZ  Meja Jenerali Salum Kijuu katuika picha ya kumbukumbu na  Maafisa na askari walioshiriki zoezi
 Picha ya kumbukumbu na  Maafisa na askari walioshiriki zoezi
 Picha ya kumbukumbu na  Maafisa na askari walioshiriki zoezi
 Picha ya kumbukumbu na  Maafisa na askari walioshiriki zoezi
 Picha ya kumbukumbu na  Maafisa na askari walioshiriki zoezi
 Picha ya kumbukumbu na  Maafisa na askari walioshiriki zoezi
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya kumbukumbu na Maafisa na askari wa kike
  Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapongeza  Maafisa na askari wa kike kwa kushiriki vyema zoezi hilo
 Makamanda walioongoza sherehe hizo kwa weledi wa hali ya juu
 Amiri Jeshi Mkuu na Makamanda wakisimama swawa wakati Wimbo wa Taifa unapigwa
 Saluti toka kwa makamanda wakuu
 Comrades in arms
 Amiri Jeshi Mkuu akiagana na Kamishna Jenerali wa Magereza Afande John Minja ambaye alihudhuria sherehe hizo pamoja na  Kamishina Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Bw. Sylvester Ambokile (mwenye tai nyekundu)
 Amiri Jeshi Mkuu akiagana na Naibu Inspekta Generali wa Polisi Afande Abdulrahman Kaniki
Vicheko na bashasha vinatawala wakati Amiri Jeshi Mkuu anapoondoka eneo la Langarurusu huko Monduli, Mkoa wa Arusha,  baada ya kuongoza zoezi la medani la maadhimisho ya miaka 50 ya JWTZ  lililofana sana.

No comments: