Monday, June 30, 2014

KITAA WEAR (DUKANI)

 Kama umependa KITAA wear
Niibox ili nijue vitu vifuatavyo

1. Namba ya Simu
2. Wapi Ulipo, kama upo Dar utaletewa ulipo ukiishalipia
     mkoani tutatuma kwa njia ambayo kwako ni rahisi kukufikia
3. Aina ya T-Shirt , kwenye advert nimeweka number chagua number ya
tshirt uliyoipenda
4. Size
5.Price 20,000/=

Payments through Mpesa 0754310202
NB: Ukinunua kuanzia T-Shirt 5 bei ni 18,000/= T-Shs
Pia gharama za kutuma mzigo mkoani ni za mteja
Dar es salaam napatikana jengo la science na technology (Kijitonyama)
Aksanteni sana
For more information visit my blog www.kitaawear.blogspot.com










No comments: