Sunday, June 30, 2013

Mazishi ya Marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara mjini Moshi

Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wa Marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara wakitoa heshima za mwisho kwenye ibada ya mazishi iliyofanyika mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro adre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Moshi Mjini, akiongoza ibada ya mazishi ya Marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara iliyofanyika eneo la Rau, nje kidogo ya mji wa Moshi, Kilimanjaro juzi.[/caption] [caption id="attachment_34560" align="aligncenter" width="640"] Ibada ya mazishi ikiendelea Ibada ya mazishi ya mzee Kyara[/caption] [caption id="attachment_34565" align="aligncenter" width="640"] Wakishiriki ibada ya mazishi ya marehemu Mke wa Marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara, (wa pili kulia waliokaa) akifarijiwa na baadhi ya wajukuu zake, wengine ni ndugu jamaa na marafiki zake wakimfariji Mke wa Marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara, (katikati) akiwa kwenye mbada ya mazishi ya mumewe juzi Mtoto wa marehemu mzee Constantine Munishi Kyara, Oscar Munishi (wa kwanza kushoto) ambaye pia ni mfanyakazi wa kampuni ya Simu ya Airtel Tanzania jinini Dar es Salaam wakiwa na mkewe kwenye ibada ya mazishi juzi Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wa Marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara wakiwa msibani Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wa Marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara Baadhi ya waombolezaji[/caption] Baadhi ya wajukuu wa marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara, wakibeba jeneza la babu yao kuelekea kaburini Baadhi ya wajukuu wa marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara, wakisaidiana na baadhi ya waombolezaji kushusha mwili wa babu yao kaburini. [ Mwili wa marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara, ukishushwa kaburini Mke wa Marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara, (aliyeshika taji) akiweka taji hilo kwenye kaburi la mumewe juzi Mke wa Marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara, (aliyeshika taji) akiweka taji hilo kwenye kaburi la mumewe huku akisaidiwa Mtoto wa marehemu mzee Constantine Munishi Kyara, Oscar Munishi ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania Dar es Salaam wakiwa na mkewe wakiweka taji kwenye kaburi baada ya mazishi.[/caption] [caption id="attachment_34574" align="aligncenter" width="640"] Kaburi la marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara, kwenye ibada iliyofanyika Rau, Mjini Moshi Mmoja wa mjukuu wa marehemu Mzee Constantine Munishi Kyara, akisoma historia fupi ya babu yake

No comments: