Tuesday, November 27, 2012

Mh Naibu Balozi wetu wa Uingereza na Irene wameremeta

 Maharusi wakivalishana pete baada ya kula viapo
 Dendazzzzz......
 Maharusi wakikabidhiwa cheti cha kumeremeta
  Maharusi wakifungua mziki kwenye mnuso wa kumeremeta kwo
 Maharusi na wanafamilia
 Maharusi katika picha ya pamoja na familia. Kutoka Kulia ni Mama wa Bwana harusi Kilumanga, Maharusi, Mama Irene na Dada wa bwana Harusi Mariam Kilumanga
Mashaaallah...
Mh Chabaka akimlisha mai waifu wake  Irene keki

No comments: