Saturday, July 14, 2012

MNUSO WA KUMUAGA MKUU WA MAGEREZA MKOA WA RUVUMA

 Wakiwasalimia wageni waalikwa waliofika katika sherehe hiyo.
 Baadhi ya wageni waalikwa wakicheza muziki wakati wa sherehe za kuwaaga baadhi ya askari na maafisa wa jeshi la magereza mkoani Ruvuma jana katikas ukumbi wa songea club mjini songea.
 Mkuu wa gereza la mahabusu songea Selvesta Shija akiwaongoza maafisa wa jeshi ilo kucheza muziki wakati wa sherehe za kuwaaga askari na maafisa wa magereza waliostaafu kwa mujibu wa sheria jana,
 Katibu tawala wa mkoa wa Ruvuma Hassan Bendeyeko akigonga shampeni na baadhi ya viongozi wa serikali mkoani humo jana wakati wa sherehe za kuwaaga askari na maafisa wa jeshi la magereza mkoani Ruvuma baada ya kustaafu utumishi wa umma.
 Mwenyekiti wa kamati ya maanfdalizi ya sherehe ya kuwaaga baadhi ya asjkari na maafisa wa jeshi la magerza mkoani Ruvuma mkaguzi wa magereza Patrick John akimpongeza aliyekuwa mkuu wa magereza mkoani humo Mohamed Litundu kushoto baada ya kustaafu kulitumikia jeshi hilo 
 Kaimu mkuu wa magereza mkoani Ruvuma Ali Kaelewa  akizungumza wakati wa sherehe ya kumuaga aliyekuwa mkuu wa magereza mkoani humo Mohamed Litunu hayupo pichani katik ukumbi  songea club mjini songea
 Katibu tawala wa mkoa wa Ruvuma Hassan Bendeyeko akimpongeza aliyekuwa mjumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo na mkuu wa magereza mkoani humo Mohamed Litunu kulia.
 Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria sherehe ya kuwaaga asakari na maafisa magereza mkoani Ruvuma wakifungua muziki katika ukmbi wa songea club mjini humo
 Aliyekuwa mnadhimu wa jeshi la magereza mkoani Ruvuma ssp Marcelina Rwezaura kulia na mumewe Rotali Yaunde  wakati wa sherehe za kumuaga yeye na maafisa wengine wa jeshi hilo  mjini songea
 Maafisa wa kike wa jeshi la magereza mkoani Ruvuma waliyefahamika kwa jina moja moja la Anna kushoto na Tunu kulia wakipeleka zawadi katika sherehe za kumuaga aliyekuwa mkuu wa magereza mkoani Ruvuma Mohamed Litundu na askari wengine 6 baada ya kustaafu utumishi wa umma hivi karibuni  mjini songea.
 Mmoja wa wageni waalikwa  akifungua shampeni  jana wakati wa sherehe ya kumuaga aliyekuwa mkuu wa magereza mkoani Ruvuma Mohamed Litundu.
Katibu tawala wa mkoa wa Ruvuma Hassan Bendeyeko akizungumza wageni mbalimbali pamoja na askari na maafisa wa jeshi la magereza waliohudhuria shereha ya kumuaga  aliyekuwa mkuu wa magereza mkoani humo Mohamed Litunu katika ukumbi wa songea club mjini Songea.Picha zote na Muhidin Amri wa Globu ya Jamii

No comments: