MASHABIKI WA SIMBA WALIOHUDHURIA SIMBA DAY LEO
Green stand ilifurika

Mzee Magoma Mtoto na kina Muchacho

Friends of Simba

Zamoyoni Mogella na Abdalla 'King' Kibaden Mputa walikuwepo

Mdau wa Simba wa Morogoro Shaaban Nyaa ndani ya nyumba

Simba wakiwa upande wa Yanga wa jukwaa kuu

Mashabiki wa Simba wenye ulemavu walikuwapo kibao

Maveteran wa Simba. Shoto ni Abdallah Kibaden akiwa na Zamoyoni Mogella. Nyuma yao ni Arthur Mwambeta (shati la mistari)

Kocha wa Yanga akiwa miongoni mwa Simba

Kocha wa Yanga akigoma kupokea fulana ya Simba
No comments:
Post a Comment