Saturday, May 31, 2014

DIAMOND NDANI YA WASHINGTON, DC, APIGA PICHA NA MASHABI WAKE, LEO KUFANYA SHOW NEW JERSEY

 Diamond Plutnumz akiongozana na wasafi pamoja na Dj Romy Jons (Dj wake) kulia wakiwa na mwenyeji wao DMK wakiwasili tayari kukutana na mashabiki wake waliofika kwenye mgahawa wa Safari, Washington, DC kumsubili na kupiga nae picha.
  Diamond Plutnumz akiwa ndani ya mgahawa wa Safari na kruu wake katika picha na mashbiki waliofika kumsabai na kupiga nae picha.
 Mashabiki wa Diamond wakipata ukodak moment na Diamond Plutnumz mara tu alipotua ndani ya mgahawa wa Safari siku ya Ijumaa May 30, 2014.
 Shabiki akiwa bado na kiu ya kupata ukodak na Rais wa Wasfai, Diamond kulia ni DMK poromota wa msanii huyo ambaye ndie anayekimbiza sasa hivi na akiwa nominee wa MTV africa na BET award itakayofanyika nchini Marekani June 29, 2014.
 Diamond akiongea jambo na Mkuu wa Utawala na Fedha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka
 Mashabiki wa Diamond Plutnumza wakipata picha ya pamoja na Rais wa Wasafi.
 Mashabiki kutoka jirani zetu Kenya nao wakipata picha na Prezidaa Diamond Plutnumz walipofika kwenye mgahawa wa Safari uliopo Washington, DC.
 Madancer wa Diamond wakiwa na Prezdaa ndani ya mgahawa wa Safari Washington, DC.
 Mtasha wa Kimarekani aliyewahi tembelea Tanzania nae hakuwa nyuma kupata picha na Diamond ndani ya mgahawa wa Safari ulipo Washington, DC
 Shabiki akiwa na furaha kupata ukodak na Rais wa Wasafi Diamond Plutnumz
 Diamond akiwa na shabiki wake katika picha ya pamoja.
Shabiki wa Diamond hakuwa nyuma katika kupata ukodak wa kumbukumbu.
 Shabiki wa Diamond akipata picha ya pamoja na Prezedaa wa Wasafi.
 Shabiki kutoka kwa jirani zetu nae akipata picha huku akijaribu kupata picha kwenye simu yake.
 Dj Romy Jons akipata picha ya pamoja na mashabiki kwenye mgahawa wa Safari uliopo Washington, DC.
 Shabiki katika picha ya pamoja na Diamond.
 Shabiki na Diamond katika picha ya pamoja.
 Shabiki akipozi kwa picha na Diamond.
Shabiki akipozi kwa ukodak moment na Diamond.
 Shabiki wa Diamond akipata picha na rais huyo wa Wasafi.
 Shabiki akipata picha na Dj wa Diamond, Dj Romy Jons
Shabiki akipata picha na Wasafi.
Mashabiki katika picha ya pamoja na poromota wa Diamond, DMK.
Picha na Vijimambo Blog

Friday, May 30, 2014

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ziarani nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akimpokea kwa furaha Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Mhe. Ahmet Dovutoglu ambaye yupo nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu yenye lengo la kukuza na kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Uturuki.
Mhe. Membe akiwa ameongozana na Mhe. Dovutoglu mara baada ya kumpokea wakielekea katika Hoteli ya Hyatt Regency kwa ajili ya mazungumzo rasmi.
Mhe. Membe na Mhe. Dovutoglu wakiwa na Wajumbe waliofuatana nao wakati wa mazungumzo rasmi.
Mhe. Membe kwa pamoja na Mhe. Dovutoglu wakizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano ikiwa ni pamoja na kuangalia namna Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) linaweza kushirikiana na Shirika la Ndege la Uturuki (Turkish Airlines) 
Mhe. Waziri Membe akizungumza.
Baadhi ya Wakurugenzi na Kaimu Wakurugenzi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa pamoja na Waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani)
Mhe. Dovutoglu nae akizungumza wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari
Mkutano ukiendelea
Mhe. Membe kwa pamoja na Mhe. Dovutoglu wakijibu maswali ya waandishi wa habari.Picha na Reginald Philip

Thursday, May 29, 2014

Court declines to grant interim orders on the removal of EALA Speaker and dismissed the Application

The First Instance Division today declined to grant  interim injunctions sought in the Applications filed by Hon. Margareth Nantongo Zziwa, Speaker of the East African Legislative Assembly (EALA) and Mbidde Foundation Limited (Applicants) against the Secretary General of the East African Community and the Attorney General of the Republic of Uganda (Respondents) directing EALA to refrain from referring the motions for resolution to remove the speaker of EALA to the allegedly improperly constituted Committee on Legal, Rules and Privileges.

The applicants also sought an order against the EALA Committee on Legal, Rules and Privileges to refrain from conducting any investigation in this matter pending the hearing and determination of the main case and hence Application was dismissed.

The Court in its ruling said that at this stage the presentation of the petition before the EALA Assembly was in compliance with the Treaty as prescribed under Rule 9 (4) of the Assembly’s Rules of procedure which states that; “The motion will be tabled in the Assembly within seven days of its receipt by the Clerk and the House shall refer the motion to the committee on Legal, Rules and Privileges to investigate and report its findings to the Assembly for debate”

Court added that no material was valid to the Court as would suggest that the Rules on procedure of the impeachment of the EALA Speaker was in infringement of the Treaty for the establishment of the East African Community as alleged by the Applicant.

Court further added that the removal of the Speaker of the Assembly is the function of EALA as provided by Article 53 of the Treaty and the procedure of that is clearly detailed in the Rules of the Assembly. Also said that Article 49 (2) (g) of the Treaty gives mandate the Assembly to formulate its own rules of procedure as well as those that pertain to its committees of which the committee on legal, rules and privileges is one EALA committee. 

In addition the Court found that there is no prima facie case demonstrating an act of the Treaty infringement of Article 30(1) and that it was satisfied that the Applicant’s demonstration the injury is likely to suffer because it does not provide material that demonstrate the injury. The Court therefore said that if the injunction is granted the Secretary General will suffer inconvenience with more far reaching repercussions to the entire Community. 

The Court also found that the Secretary General does not have the mandate to seek advisory opinion on the procedure of the removal of the Speaker and even the entities mandated to seek the same are not obliged to do so and therefore the Republic of Uganda (2nd Respondent) did not find the need to seek the advisory opinion.

Again the Court disagreed with the interpretation of the Mukasa Mbidde on Rule 88 of the Assembly’s Rules of Procedure states that “The first sitting of the Assembly elected under the Treaty shall be for purposes of adopting the Assembly Rules of Procedure “arguing that each Assembly was required to adopt the said Rules. The Court agreed with Mr. Kaahwa’s argument such interpretation goes to the root of EALA’s existence and therefore the ground doesn’t demonstrate a serious triable issue.

The Court therefore said that the bias on the Rules of EALA on removal of the Speaker has not been established until the main case is heard for the Court to have more detailed evidence and arguments by the parties.
The however said that on 20th June 2014, the parties in the matter will appear in Court for the scheduling conference of the main Reference.

Parties appearing in Court to receive the Judgement were Hon. Fred Mukasa  Mbidde and his Lawyer Mr.Justin  Semuyaba, Mr.  Jet Mwebaze Advocate for the Speaker EALA, (Applicants), Hon. Wilbert Kaahwa Counsel to the Community and Agaba Stephen Principal Legal Officer representing the (1stRespondent)  EAC Secretary General and Ms. Christine Kaahwa, Mr. Oburu Odoi Jimmy Principal State Attoney and Mr. Geoffrey Wangolo Madete State Attorney  for the 2nd Respondent Attorney General of Uganda were all present in Court .

The Applicant Rt. Hon. Margareth Nantongo Zziwa, Speaker of the East African Legislative Assembly (EALA) and several Members of EALA were also present in Court. The ruling was delivered by Hon. Justice Jean Bosco Butasi, Principal Judge, Justice Isaac Lenaola Deputy Principal Judge and Lady Justice Monica Mugenyi

Additional Reporting

The Court had in the interim on May 9, 2014 after hearing the consolidated Applications 5 of 2014 and 10 of 2014, ordered EALA not to proceed with the proceedings for the removal of the Speaker from office pending the Court's ruling on the two applications.

When the House commenced on Tuesday, May 25th, 2014, EALA Member, Hon Peter Mathuki stood up on a point of procedure to seek clarification from the Counsel to the Community as to whether EALA had Rules of Procedure governing it.

He further sought clarification and advice from the EAC Counsel as to whether the House had been properly adjourned by the Speaker and if not, the recourse deemed proper.

EALA Member Hon Dr.`Nderakindo Kessy on her part sought interpretation given the adjournment (sine die) on April 3rd, 2014 seeking to be guided on the term ‘status quo’ in context of the matter before hand (Removal of the Speaker).

In his response, the CTC, Hon Wilbert Kaahwa was categorical that pursuant to Article 39 of the Treaty the conservatory order needed to be complied with when the business of the House resumed. He affirmed that the EALA was governed by Rules of Procedure and that it was in order for the House to continue with its business, unless otherwise determined by the Ruling on May 29th, 2014.

The EACJ delivered the Order dated  May 9th, 2014 and signed by Honorable Mr. Justice Jean Bosco Butasi, Principal Judge of the EACJ, Honorable Mr. Justice Isaac Lenaola, Deputy Principal Judge and Honorable Lady Justice Monica Mugenyi.  

The Court ordered that in the interim, the status quo be maintained restraining the EALA from deliberating the matter of the removal of the Speaker of EALA pending the delivery of the ruling on May 29th, 2014. The Court however, did not bar the Assembly from undertaking and discharging other responsibilities.

VIONGOZI WASIOTIMIZA WAJIBU WAO MKOA WA MANYARA KUBURUZWA KWA RAIS - KINANA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati) akilakiwa   kwa shangwe alipowasili kwenye mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Ayamango katika Jimbo la Babati Vijijini, mkoani Manyara. Kinana yupo mkoani Manyara kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kuhimiza na kusukuma ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.Tayari kafanya ziara hiyo katika mikoa ya Tabora na Singida.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati) akilakiwa   kwa shangwe alipowasili kwenye mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Ayamango katika Jimbo la Babati Vijijini, mkoani Manyara. 

 Wananchi wa Kijiji cha Ayamango, Babati Vijijini wakiwa na bango la asili lenye maandishi yanayosisitiza umuhimu wa kuendelea na Muungano wa Serikali mbili badala ya tatu.
 Wazee wa Kijiji cha Ayamango wakimvisha mgolole,Kinana ikiwa ni heshima ya kuwa mmoja wa wazee wa kijiji hicho.
 Wanachama wa CCM wakila kiapo cha utii cha chama hicho wakati wa mkutano huo wa hadhara.

 Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Ayamango, Babati Vijijini. ambapo alikerwa kwa kiasi kikubwa na jinsi wananchi wanavyoporwa maeneo yao na viongozi wa chama na Serikali ambapo aliahidi suala hilo kulitafutia ufumbuzi kwa kulipeleka katika vikao vya juu vya chama hicho.
 Kinana akiwasikitishwa jinsi wananchi vijijini wanavyoporwa ardhi na kutumia mahakama kuchelewesha haki zao
.Kinana amesema kuwa viongozi wasiotimiza wajibu wao Mkoa wa Manyara atawaburuza kwa Rais.

 Vijana wakila kiapo baada ya kukabidhiwa kadi za umoja wa vijana wa CCM kwenye mkutano huo
 Wananchi wakiwa na bango linalosisitiza kendelea na mfumo wa Serikali mbili badala ya tatu
Kikundi cha vijana kikitumbuiza wakati wa msafara wa Kinana ulipowasili katika Kijiji cha Ayamango.

 Kinana akipandisha bendera ikiwa ni ishara ya kuzindua Tawi la CCM la Ayamango, Babati Vijijini.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Ayamango na kuwaambia wananchi kuachana kabisa na wapinzani akidai tayari vyama vyao vimeanza kufa na haviwaletei maendeleo kama ilivyo CCM inayojali maisha ya Watanzania. 

“WE WILL NOT HESITATE TO CONTRIBUTE MORE PEACEKEEPERS” – DR HUSSEIN MWINYI

DSC_0024
IN Action; Ms.Usia Nkhoma Ledama from UNIC take part in inviting various guests.

By Damas Makangale, MOblog Tanzania
The Tanzanian government has reassured the United Nations (UN) that it will not hesitate to contribute more peacekeepers to UN Peacekeeping operations.
Tanzania already contributes 2,259 peacekeepers in Darfur, Lebanon, Abyei, South Sudan and Democratic Republic Congo (DRC) for peacekeeping missions but has promised a larger commitment.
Speaking today during the commemoration of the International Day of UN Peacekeepers at Mnazi Mmoja Grounds, Dar es Salaam; Minister for Defense and National Service, Dr Hussein Mwinyi stated that the government is ready and willing to continue serving in their noble duty.
“The success of the peacekeepers can be seen in various places such as the DRC, where the Intervention Brigade (FIB) (a joint effort by the UN and African counterparts) helped the government to defeat the M23 rebels. This is a major positive step in bringing back stabilization and security in the Eastern DRC,”
DSC_0034
Tanzania People's Defense Forces Brass Band enters the Mnazi Mmoja Heroes Grounds.
“As you are all aware, the theme for this year is “UN Peacekeeping: a force for peace, a force for change, a force for the future,” he said.
Dr Mwinyi added that the UN peacekeeping is tackling new challenges to protect citizens as well as ensure peace for tomorrow’s future.
He clarified that new technologies such as unarmed, unmanned aerial vehicles are being deployed to face such challenges.
Dr Mwinyi emphasised that stronger cooperation between the UN and other regional organizations will contribute to the success of the peacekeeping missions and he praised its special role on the peace and security agenda.
DSC_0048
Tanzania People's Defense Forces in action during the commemoration of International Day of UN Peacekeepers.
Acting UN Resident Coordinator and UNICEF Representative, Dr Jama Gulaid said that today, more than 116,000 UN personnel from more than 120 countries serve in 16 peacekeeping operations.
“At great personal risk, these military, police and civilian personnel help stabilize communities, protect civilians, promote the rule of law and advance human rights…last year 106 peacekeepers perished carrying out their duty under the UN flag bringing the total number of lives lost in the history of peacekeeping to more than 3,200,” he said.
He went on to say that the UN peacekeeping is modernizing to ensure that it can tackle tomorrow’s peace and security challenges in order to foster peace and tranquility around the world.
DSC_0092
Guest of Honour Minister of Defense and National Service, Hon. Dr. Hussein Mwinyi listen attentively to the National Anthem from members of Tanzania People's Defense Forces during the ceremony.
DSC_0097
Tanzania People's Defense Forces in action.
DSC_0105
A soldier from TPDF raising UN Flag to mark the International Day of UN Peacekeepers.
DSC_0115
High table stands in a one minute silence to remember UN Peacekeepers who lost their life on Peacekeeping operations.
DSC_0124
TPDF Soldiers in action.
DSC_0153
Guest of Honour Minister of Defense and National Service, Hon. Dr. Hussein Mwinyi, walk to lay a wreath on Mnazi Mmoja Heroes Grounds tower.
DSC_0155
Hon. Dr. Hussein Mwinyi lays a wreath.
DSC_0158
Major General Officer Commanding, Hassan Vuai Chema, lays a wreath at Mnazi Mmoja Heroes Grounds tower.
DSC_0159
Major General Officer Commanding, Hassan Vuai Chema pays respect.
DSC_0161
Acting Resident Coordinator and Country Representantive of the United Nations Children's Fund in Tanzania (UNICEF) Hon. Dr. Jama Gulaid walks to lay the Wreath during the International Day of UN Peacekeepers at Mnazi Mmoja Heroes Grounds today.
DSC_0167
Hon. Dr. Jama Gulaid lays a wreath.
DSC_0168
Hon. Dr. Jama Gulaid paying his respect.
DSC_0174
The Tanzania People's Defense Forces Representantive (TPDF), The Dean of all Defense Attache's in Tanzania, Brigadier General Edumund Obi lays a wreath at Mnazi Mmoja Heroes Grounds to commemorate the soldiers who lost their life during Peacekeeping operations.
DSC_0207
High Table: from Left is Chief of Special Operations and Deputy Commissioner of Police, DCP Simon Sirro, Acting Resident Coordinator and Country Representantive of the United Nations Children's Fund in Tanzania (UNICEF) Hon. Dr. Jama Gulaid, Guest of Honour Minister of Defense and National Service, Hon. Dr. Hussein Mwinyi, Major General Officer Commanding, Hassan Vuai Chema and The Tanzania People's Defense Forces Representantive (TPDF), The Dean of all Defense Attache's in Tanzania, Brigadier General Edumund Obi.
DSC_0183
Some of the Tanzanian Peacekeepers who attended the ceremony today at Mnazi Mmoja Heroes Grounds.
DSC_0190
Some of the students from Azania Secondary School were among of the invitees.
DSC_0208
A group of High Commissioners and Ambassadors and other invitees who attended the commemoration.
DSC_0210
DSC_0213
Officials from the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation and UN.
DSC_0232
Singers from UN Peacekeeping mission Entertaining invited guests.
DSC_0297
Guest of Honour Minister of Defense and National Service, Hon. Dr. Hussein Mwinyi gives an opening remarks and the commitment made by the government of Tanzania through UN Peacekeeping missions.
DSC_0264
Acting Resident Coordinator and Country Representantive of the United Nations Children’s Fund in Tanzania (UNICEF) Hon. Dr. Jama Gulaid, speaks during the commemoration of the International Day of UN Peacekeepers.
(All Photo by Zainul Mzige of modewjiblog)
For more pictures Click here