Monday, August 27, 2012

JOB VACANCY AT DUWASA - DODOMA

JOB VACANCY AT DUWASA - DODOMA

Dodoma Urban Water Supply and Sanitation Authority (DUWASA) was established under section 3(I) of Cap. 272 of 1997 as repealed by section 60 of Water Supply and Sanitation Act No. 12 of 2009. DUWASA is charged with the overall responsibility of operations and management of water supply and sanitation services in Dodoma urban within the Municipality. Applications are invited from suitably qualified, dynamic, experienced and performance driven Tanzanians, male and female, to fill in the following excellent carrier opportunity: 
  1. ENVIRONMENTAL PLANNING AND MANAGEMENT OFFICER II – one post

    1. Required Qualifications:
Bachelor Degree in Environmental Science & Management or equivalent qualifications.
1.2       Reporting
The Environmental Planning and Management Officer administratively will be reporting to the Human Resources and Administration Manager and technically to Sewerage and Environmental Engineer. 
1.3      Summarised Duties and Responsibilities:    
  • Ensuring that DUWASA activities are carried out in environmentally friendly and sustainable manner.
  • Work with regulatory agencies on environment issues; identify partnership, sponsorship and grant opportunities or other external funding resources where appropriate and applicable.
  • Maintain a knowledge base of environmental and general safety practices including workers exposure monitoring as per occupation health and safety Act no. 5 of 2003.
  • Create public awareness on the importance of protecting water sources and catchment areas from pollution, polluter pay principle should apply as per Environmental Management Act 2004.
  • Ensure that water supply and sewerage projects are subjected to Environmental Impact Assessment at the design and planning stages so as to ensure that potential impacts and proposed remedial measures are taken into consideration during the implementation and operation stages.
  • Plan, design and supervise landscaping activities (Environmental horticulture).

  • Prepare, review, and update environmental investigation and recommendation reports.
  • Provide technical-level support for environmental remediation and litigation projects, including remediation system design and determination of regulatory applicability.
  • Review the whole environmental operation, carrying out environmental audits and assessments, identifying and resolving environmental problems.
  • Performing any other duties as may be assigned by the Human Resources and Administration Manager and Sewerage and Environmental Engineer. 
  1. ESSENTIAL COMPETENCIES FOR THE POST
    • Communicate effectively, verbally and in writing, to a diverse audience.
    • Demonstrate the highest level of ethical behavior.
    • Excellent time-management, problem-prevention and problem-solving skills.
    • Excellent interpersonal skills to facilitate interaction with the workforce. Experience in water sector is an added advantage.

3.0 TERMS OF EMPLOYMENT FOR THE POST
          Permanent with six months probation period. 
4.0 AGE LIMIT FOR THE APPLICANTS
      Applicants for the post should not be above 40 years of age.
5.0  REMUNARATIONS:
          The post carries attractive remunerations package subject to work professional qualifications and competence. 
6.0 MODE OF APPLICATION
Letter of application accompanied by a detailed CV, Photocopies of relevant academic transcripts and certificates; names and addresses of three reliable referees; day contact telephone numbers and postal address should reach the under mentioned address before or on September  11, 2012 to:
The Managing Director,
Dodoma Urban Water Supply and Sanitation Authority,
P.O. Box 431,
Tel: 026 – 2324245. Fax: 026 – 2320060,
DODOMA
  • RESULT SLIPS AND PROVISIONAL STATEMENT OF RESULTS SHALL NOT BE ACCEPTED.
  • ONLY SHORTLISTED CANDIDATES WILL BE CONTACTED FOR INTERVIEW.
  • FOR THOSE WHO WILL BE SHORTLISTED FOR INTERVIEW ALONG WITH THEM THEY SHOULD COME WITH ORIGINAL CERTIFICATES FOR PROOF; SHORT OF THAT THEY WILL NOT BE ALLOWED TO ATTEND THE INTERVIEW.
  • THIS ADVERT IS ALSO AVAILABLE AT DUWASA WEBSITE:  www.duwasa.or.tz



“Qualified Women are highly encouraged to apply”

Taswira Mbalimbali Za Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbrod Slaa Kwenye Mkutano wa Kuwashukuru Wananchi wa Jimbo la igunga Posted: 26 Aug 2012 12:38 PM PDT Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, akisalimiana na aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Igunga katika uchaguzi mdogo mwaka jana, kupitia Chadema, Mwalimu Joseph Kashindye, walipokutana katika mkutano wa kuwashukuru wananchi wa jimbo hilo kwa ushiriki wao katika kesi ya uchaguzi wa jimbo hilo, ambayo Chadema kiliibuka mshindi, uliofanytika kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Igunga Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa akikumbatinana na Mbunge wa Maswa Mashariki, Slyvester Kasulumbai, walipokutana katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru wananchi wa jimbo la Igunga kwa ushiriki wao katika kesi ya uchaguzi wa jimbo hilo, kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Igunga juzi. Kutokana na kilichoelezwa kuwekwa kwa lami chini yakiwango katika mlima Sekenke mkoani Singida, imeharibika vibaya kama inavyoonyesha pichani magari yakipita kwa shida baada ya lami hiyo kubomoka kwa kipindi kifupi tangu iwekwe, kama ilivyokutwa jana.Picha na Joseph Senga Rais Jakaya Kikwete pamoja na familia yake ameshiriki kikamilifu katika zoezi la kitaifa la sensa ya maendeleo ya watu na makazi{VIDEO} Posted: 26 Aug 2012 12:29 PM PDT MKUU WA WILAYA YA TANGA ATEMBELEA TIMU NZIMA YA SERENGETI FIESTA 2012 Posted: 26 Aug 2012 12:30 PM PDT Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Halima Dendego (kushoto) akiongea machache mara baada ya kutembelea timu nzima ya Serengeti Fiesta 2012. Ambapo Mkuu huyo wa wilaya alisisitiza watu wajitokeze kwa wingi uwanja wa Mkwakwani kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012 huku akitoa msisitizo kwa wakazi wa Tanga kujitokeza katika zoezi la sensa. Tamasha la Serengeti Fiesta linatarajiwa kufanyika leo tarehe 26.8.2012 Baadhi ya wageni wakimsikiliza kwa makini mkuu huyo wa wilaya ya Tanga. Afisa Mausiano wa Clouds Media Group, Simon Simalenga akitoa msisitizo wa jambo mbele ya mkuu wa vipindi wa Clouds Fm Sebastian Maganga pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Halima Dendego. Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Halima Dendego (katikati) akiwa katika picha na timu ya Serengeti Fiesta 2012 pamoja na wageni. Chadema Kimemtaka Katibu Mwenezi wa CCM Nape Nnauye Kukiomba Radhi Chama Hicho ndani ya Siku Saba na Kulipa Fidia ya Shilingi Bilioni Tatu {VIDEO} Posted: 26 Aug 2012 12:17 PM PDT John Mnyika:Chadema imeanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Nape Nnauye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM kufuatia madai ya uzushi na uongo aliyoyatoa tarehe 12 Agosti 2012 Posted: 26 Aug 2012 12:15 PM PDT Mbunge wa Ubungo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika akizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi.Picha na Francis Dande --- Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Nape Nnauye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM kufuatia madai ya uzushi na uongo aliyoyatoa tarehe 12 Agosti 2012 kuwa anao ushahidi kwamba CHADEMA kimekuwa kikiwahadaa wananchi kwa kuwachangisha fedha huku kikipokea mabilioni ya fedha kutoka kwa wafadhili kutoka nje. Izingatiwe kuwa matamshi yake yalitangazwa na vyombo vya habari vya kielekroniki ikiwemo vituo vya televisheni, radio na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii tarehe 12 Agosti 2012 na katika kurasa za mbele za magazeti mbalimbali tarehe 13 Agosti 2012. Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA iliagiza wanasheria wamwandikie barua ya kumtaka kukiomba radhi Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa kutumia njia ile ile aliyotumia kufanya propaganda chafu za kuikashifu na kuifitisha CHADEMA kwa umma wa watanzania ikiwemo kuzusha kuwa upo uwezekano wa CHADEMA kupewa fedha hizo kwa mikataba yenye masharti ya kuiweka nchi rehani. Tayari ameshaandikiwa barua ya kisheria tarehe 24 Agosti 2012 ya kumtaka aombe radhi na kulipa fidia ya bilioni tatu kwa matamshi hayo ya uzushi na uongo yenye maana ya kuwapotosha waliyoyasikia na kuyasoma kuwa CHADEMA kinawalaghai wananchi, kina viongozi wasio waaminifu na kwamba kiko tayari kuuza nchi wa uroho wa madaraka. Kipaumbele cha CHADEMA katika suala hili ni kuombwa radhi hata hivyo kiwango cha fidia ya fedha kwa fedheha kilichotakiwa ni fundisho kuwa uzushi na uongo unagharimu. Ikumbukwe kwamba tarehe 12 Agosti 2012 nilitoa kauli ya awali baada ya mkutano Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM na waandishi wa habari ambapo pamoja na mambo mengine nilieleza kwamba tutatoa tamko la kueleza hatua za ziada baada ya kupata taarifa kamili aliyoitoa. Katika kauli hiyo nilitoa mwito kwa Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete kueleza watanzania iwapo propaganda hizo chafu zina baraka zake; hivyo ukimya wake mpaka sasa kuhusu matamshi hayo inakifanya CHADEMA kuwa na imani yenye shaka (benefit of doubt) kwamba Nape hakutumwa na chama chake kutoa matamshi aliyoyatoa. CHADEMA inachukua fursa hii kuutaarifu umma kwamba asipotekeleza matakwa hayo ndani ya siku saba kuanzia tarehe hiyo aliyopokea barua hatua nyingine ya kumfikisha mahakama kuu zitaanzishwa ili aweze kuchukuliwa hatua zaidi. Pamoja na kuchukua hatua za kisheria, CHADEMA kinaendelea kutimiza dhima yake ya kuleta uongozi bora, sera sahihi, mikakati makini na oganizesheni thabiti kwa maendeleo endelevu ya Tanzania kwa pamoja na mikakati mingine kutekeleza operesheni ya vuguvugu la mabadiliko nchini (M4C) na tunawashukuru wananchi kwa kuendelea kuunganisha nguvu ya umma kwa hali na mali katika maeneo mbalimbali nchini. Imetolewa tarehe 26 Agosti 2012 na: John Mnyika (Mb) Mkurugenzi wa Habari na Uenezi IKULU:Rais Jakaya Kikwete na Familia Yake Washiriki Zoezi la Sensa na Makaazi Posted: 26 Aug 2012 12:11 PM PDT Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mkewe Mama Salma Kikwete na familia yake akijibu maswali toka kwa karani wa sensa ya wazu na makazi Bw. Clement Ngalaba leo Agosti 26, 2012 wakati alipojiunga na mamilioni ya Watanzania katika zoezi hilo lililofanyika kwa mafanikio makubwa nchi nzima.Picha na IKULU Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein na Familia Yake Washiriki Zoezi la Sensa ya Watu na Makaazi Posted: 26 Aug 2012 12:08 PM PDT Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Moahmed Shein, akijiandikisha na familia yake kwa Karani Asia Hassan Mussa, (kushoto) katika zoezi la Sensa ya Watu na Makaazi, lililoanza leo nchini kote,Rais akiwa katika Shehia ya Migombani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,(kulia ) Mke wa Rais Mama Mwanamwema Shein.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar Baadhi ya Taswira Za Mkutani wa Chadema Reading Nchini Uingereza Posted: 26 Aug 2012 12:05 PM PDT Dr Alex akiongea kwenye mkutano wa Chadema Reading Nchini Uingereza Leo Sehemu ya wadau mbalimbali waliojitokeza kwenye mkutano wa CHADEMA Reading Nchini Uingereza Leo.Picha zaidi Baadae AUDITION YA 'ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013' YAVUTA WASHIRIKI ZAIDI YA 100 JIJINI DAR


Ally Rehmtullah.
Casting Coordinator wa ALLY REHMTULLA'S COLLECTION 2012 Audition Martin Kadinda akitoa mwongozo wa zoezi hilo kwa Models walioshiriki.
Baadhi ya Models wa kiume waliojitokeza Serena Hotel wakisubiri usaili.
Pichani Juu na Chini ni Models wa kike na wa kiume wakipita mbele ya Majaji wakati wa usaili.
Meza kuu ya Majaji kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Alliance Auto Bw. Alfred Minja akiwakilisha CFAO Motors wauzaji wa Magari ya Mercedes Benz ambao ndio wadhamini wakuu wa 'ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013', Aysha Mbarak Meghji kutoka Ayman Garage-Convolution Ideas Ltd, Administrative Assistant Mawalla Advocate na pia ni Model Myler Nyangasa, Mwasisi na CEO wa Missie Popular Blog Mariam Ndabagenga na Fashion Stylist wa Fashionnjukii.com Rosemary Kokuhilwa.
Pichani Juu na Chini Models wa kike wakionyesha umahiri wa Catwalk wakati wa Audition kwa ajili ya kuwania nafasi ya kushiriki "ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013".
Pichani Juu na Chini ni baadhi ya Models wa kiume wakipita jukwaani mbele ya majaji.
Baadhi ya Models wakiwa katika tafakari ya SIJUI NITAPITA wakati wa usaili huo kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo.
Meneja Masoko wa CFAO Motors Tharaia Ahmed ambao ni wauzaji wa magari aina ya Mercedes waliodhamini onyesho la 'ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013' akielezea kuwa Mercedes Benz imedhamini Onyesho hilo kwa mara ya kwanza kwa sababu kwanza wanamkubali Ally Rehmtullah kama mmoja wa wabunifu wenye hadhi ya juu hapa nchini na kuwa wamechagua Brand ya Mercedes Benz kwa sababu ni magari yenye kiwango cha juu na Rehmtullah ana ubunifu wa hali ya juu.
Mercedes Benz imekuwa ikijihusisha na udhamini wa 'High and Fashion Show' duniani kote pia Orchestra, Baley na Sailing matukio ambayo yanaendana na hadhi ya magari ya Mercedes. Kulia ni Chief Editor wa MO BLOG Lemmy Hipolite.
Sales & Marketing Representative kutoka RAHA Preetkamal Bansal akielezea kuwa kampuni yake imekuwa na furaha kushirikiana na Ally Rehmtullah kwa kuwa ubunifu wake ni wa hali ya juu kama wao wanavyotoa huduma za Intaneti za hali ya juu na wamekuwa wakitoa huduma ya ISP (Internet Service Provider) kwa muda wa miaka 16 kwa kiwango kilekile.
RAHA wakiwa wadhamini muhimu watawezesha watu kuona Live 'ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013' itakayofanyika September 8 mwaka huu ambapo Watu duniani kote wataona kupitia www.ar.co.tz
Amemalizia kwa kusema "On the day the Jungle puts on its show Our Broadband let you watch it Live".
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Quality Furniture Limited Bw. Mahad A Nur akisema wameamua kujihusisha kudhamini show hii ya Ally Rehmtullah ili kutoa ufahamu kwa umma juu ya ubora wa bidhaa wanazotengeneza na siku ya Onyesho hilo watatoa Furniture zitakazotumika sehemu ya wageni maalum (VIP).

Quality Furniture Limited wanatengeneza bidhaa zenye Quality kama lilivyojina lao na kama ilivyo show ya Ally Rehmtullah lakini pia Bw. Mahad amesema wako tayari kuwadhamini wabunifu chipukizi watakaokuja na ubunifu wenye Quality.
Majaji Aysha Mbarak Meghji na Rosemary Kokuhilwa wakibadilishana mawazo baada ya kazi kubwa ya kuchagua Models watakaoshiriki 'ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013'.
Hawa pia nao walikuwepo.

Sunday, August 26, 2012

Jumuiya ya Watanzania waishio Afrika Kusini yachagua uongozi wao

 Balozi Radhia Msuya akipozi  na Jumuiya ya WaTanzania waishio Afrika ya Kusini Mara baada ya uchaguzi wa viongozi.

 Balozi akiwa na Mama Fatuma Ally
 Bw. Ibrahim Bukenya ndiye aliechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Jumuiya ya waTanzania nchini Afrika ya Kusini. 
Bw. Adam ambaye ni mpishi maaruf alipata fursa ya kuteta na Balozi
 Balozi akiwa na viongozi waliochaguliwa
 Balozi Radhia Msuya akizungumza na Jumuiya ya WaTanzania waishio Afrika ya Kusini Mara baada ya uchaguzi wa viongozi. Aliwaasa wadumishe umoja ili wasaidiane wakati wa shida na kufurahi pamoja wakati wa furaha. Ailwaasa wafuate sheria za nchi na kukumbuka kuwekeza nyumbani. Balozi aliwahimiza wajihusishe na michakoto Mbalimbali ikiwemo mjadala wa kurekebisha Katiba.
 Bw. Hamza Omar Mokiwa msimamizi wa uchaguzi akitoa maelekezo kwa wanachana wa Jumuiya Ya WaTanzania wakati wa  kupiga kura.
 WaTanzania walipata fursa ya kueleza mutatizo yanayowakabili wanapofika Ubalozini. Balozi aliahidi kushughulikia kero za na kudos namba yake ya simu ili iwe rahisi kupata msaada ikihitajika. Baadhi Yao walipata fursa ya kuonana Ana kwa ana na Balozi ili kueleza shida za binafsi. 
 Mie nashukuru kusikilizwa na Balozi anasema mwanajumuiya
 Mie shida yangu ni hii...anaambiwa Balozi kwa maandishi
Balozi akipokea shida kutoka kwa mwanajumuiya

Serengeti Fiesta 2012 Yaanza Kwa Kishindo Mjini Moshi


 Msanii Prezoo kutoka Kenya akiwarusha mashabiki kibao waliojitokeza  usiku wa kuamkia leo kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012
 Pichani juu na chini ni mwanamuziki kutoka nchini Kenya na mmoja wa shiriki wa shindano la Big Brother Stargame,CMB Prezoo akitumbuiza jukwaani usiku huu kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 ndani ya uwanja wa chuo cha ushirika mjini Moshi.
Prezoo akiwarusha mashabiki kibao (hawapo pichani) waliojitokeza jioni ya leo kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012
Pichani juu na chini Mwana FA akilishambulia jukwaa vilivyo kwa mitindo yake huru iliyokuna vilivyo mashabiki wake,waliofika kwa wingi kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012.
Lina akiimba wimbo wake Yalaiti
 Msanii mahiri wa bongofleva,Lina akiwa na densaz wake wakilishambulia jukwaa vilivyo.
 Mmoja wa wasanii wa hip hop Joh Makini akikamua vilivyo usiku huu mbele ya umati mkubwa wa watu uliojitokeza kwenye uzinduzi wa tamasha la Fiesta.
 Ferooz akiwa na mmoja wa mashabiki wake wakilishambulia jukwaa vilivyo.
 Wasanii machachari Bongo Move Wema Sepetu (kushoto) na Aunt Ezekiel wakicheza muziki wa bongo Fleva uliokuwa ukishushwa na Msanii wa Bongofleva,Ferooz katika uzinduzi wa Tamasha la Serengeti Fiesta 2012 Bhaaaaass! katika Uwanja wa Chuo cha Ushirika Mjini Moshi usiku huu. Tamasha hilo limebamba ile mbaya.
 Wasanii wa nyota wa Filamu hapa nchini nao walijumuika kwa pamoja kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012,pichani jukwaani ni Wema Sepetu,Jacob Steven a.k.a JB,pamoja na Aunt Ezekiel wakilisakata sebene.
 Ray nae akilisakata sebene vilivyo.
 Ray  na steve nyerere  Wakilisakata sebene vilivyo.
Steve Nyerere akilisakata sebene vilivyo.
 DJ Choka akiwa mitamboni pamoja na DJ B-12

SERENGETI FIESTA 2012 YAZIDI KUJIZOLEA MASHABIKI NDANI YA JIJI LA TANGA

 Watangazaji wa Clouds Fm Adam Mchomvu akiongea na wakazi wa jiji la Tanga na vitongoji vyake juu ya ujio wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 linalotarajia kulindima kesho Jumapili Uwanja wa Mkwakwani na kupabwa na wasanii mbali mbali ikiongozwa na Prezzo kutoka Kenya. Kiingilio cha shilingi elfu tano (5,000).
 Gari la kurusha matangazo live bila chenga likiwa eneo la Komesho, Tanga ambapo matangazo yalikuwa yanarushwa moja kwa moja kutoka Tanga.
 Kila kijana alipata nafasi ya kuonyesha kipaji chake.
 Gossip Cop TZ, Sudi Brown akionyesha manjonjo yake katika staili yake ya ninja.
 Katika burudani ya nje, hakuna aliyetaka kupitwa.
 Wananchi wakifuatilia kwa makini.
 ...haya twendeee
 Show love nayo ilikuwepo.
Mwanadada akionyesha umahili wake wa kudata na biti hadi Mtangazaji wa Clouds Fm Adam Mchomvu akamkubali.
 Wameng'aa.
 Mama kafurahi baada ya kupewa t-shirt.

Michano ikiendelea.
Nyomi ya kutosha.