Monday, March 28, 2011

TAARIFA YA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
KUPITIA TAASISI ZAKE ZA UTAFITI KUHUSU DAWA YA
MCHUNGAJI MSTAAFU AMBILIKILE MASAPILA WA SAMUNGE - LOLIONDO

MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA (TFDA), TAASISI YA UTAFITI WA DAWA ASILI YA CHUO KIKUU CHA AFYA YA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI, (MUHAS) MKEMI MKUU WA SERIKALI (CGC), TAASISI YA TAIFA YA UTAFITI WA MAGONJWA YA BINADAMU (NIMR)
Taarifa ziliifikia Serikali kuwa, Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila anatibu magonjwa sugu kwa kutumia dawa aliyooteshwa na Mwenyezi Mungu. Inasemekana kuwa, Mchungaji alianza tiba hii tangu mwezi Agosti 2010, lakini watu wengi walianza kumiminika kwenda huko Samunge kuanzia mwishoni mwa mwezi wa pili, mwaka huu wa 2011.

Kufuatia taarifa hii, serikali iliielekeza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuwa, ufanyike haraka uchunguzi kuhusu dawa hii na itoe ushauri Serikalini ipasavyo. Baada ya kupokea maagizo hayo, Wizara iliteua wataalamu kutoka taasisi zake tukiwemo sisi, TFDA, NIMR, Muhimbili kwa maana ya MUHAS, Mkemia Mkuu na tulijumuisha wataalamu wa hapa wizarani ili kuifanya kazi hiyo muhimu, akiwemo Msajili wa Tiba Asili na Mbadala.

Hapo Machi 7 mwaka huu, sisi TFDA na wenzetu wanasayansi tulifanya safari kwenda Samunge kuonana na kufanya mazungumzo na Mchungaji mstaafu AmbilikileMasapila. Sisi TFDA na wataalam wenzangu wote, tunamshukuru sana mchungaji mstaafu kwa ushirikiano na msaada mkubwa aliotupa sisi watafiti wote. kwa kuwa tulifanya mazungumzo kwa masaa kadhaa kuhusu dawa hiyo jinsi alivyoanza pia, alituonyesha mti unaotumika na alitupa sehemu mbali mbali za mti huo kwa uchunguzi zaidi. Kadhalika, alituonyesha jinsi anavyotayarisha dawa hiyo na kutupatia sampuli yake iliyokwishategenezwa tayari kwa matumizi. Sisi TFDA na wataalamu wenzetu tuliondoka nayo kwa ajili ya uchunguzi zaidi kwenye maabara zetu.

Baada ya kurejea kituoni Dar es Salaam, kazi ya utafiti wa dawa hiyo ilianza:

Jambo la kwanza kama watafiti, ilikuwa ni kuangalia na kuhakikisha usalama wa dawa ya Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila kwa watu. Uchunguzi uliofanyika umetoa matokeo ambayo tumeridhika kuwa, dawa kwa kipimo anachotumia Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila haina madhara yoyote yanayotambulika kwa sasa kwa matumizi ya binaadamu.

Kazi inayofuata kwetu sisi watafiti baada ya matokeo haya, ni kuchunguza na kubaini, kama kweli dawa hii inatibu magonjwa hayo matano (5), kama anavyoeielezea yeye Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila. Uchunguzi huu utakapo kamilika, matokeo yake yatatolewa mara moja kwa wananchi wote!.

Hata hivyo, ninaomba kuwatahadharisha kuwa hatua hii ya uchunguzi si ya muda mfupi. Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za kisayansi duniani, tafiti za namna hii zina mchakato unaohitaji muda wa kutosha kukamilisha hatua zake mbali mbali, na pia, kufikia viwango na vigezo vinavyokubalika Kitaifa na Kimataifa. Tunafanya hivyo kwa kuzingatia kuwa dawa hii ni kwa ajili ya matumizi ya binadamu na inafuatiliwa na wananchi wetu na mataifa mbalimbali.

Sambamba na utafiti katika hatua hii, pia tunafanya uchambuzi wa kisayansi katika maabara zetu, kwa sampuli tuliyoichukua kwa Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila kwa kuangalia mambo mengine mawili muhimu kama ifuatavyo:
    1. Kwa hatua tuliyofikia na taarifa tulizo nazo za dawa hii mpaka sasa, tumeandaa na tunakamilisha taratibu, ili tuweze kufuatilia maendeleo ya kiafya ya wagonjwa 200, ambao wamekubali kwa ridhaa yao wenyewe, kushiriki katika utafiti huu, ili kuona maendeleo yao kiafya, baada ya kunywa dawa ya Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila, kwa maradhi walionayo. Hatua hii, inafuata vigezo vyote vya Kitaifa na Kimataifa.
    2. Pia tumeweka utaratibu madhubuti wa kufuatilia matumizi ya mti huu kama “mmea tiba”, katika sehemu nyingine za nchi yetu, kwani tuna taarifa kuwa makabila mbali mbali yamekuwa yakitumia mti huu kama tiba. Makabila hayo ni pamoja na Wagogo, Wamasai, Wabarbaig na Wasonjo kule Samunge.
Kwa niaba ya watafiti na wataalam wenzangu, ninaomba nimalize kwa kusema kwa muhtasari kuwa:
    1. Sisi sote tumeridhishwa kuwa, dawa anayotoa Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila, haina madhara yeyote yanayotambulika kwa sasa kwa matumizi ya binadamu. jambo hili mwazoni lilitia wasiwasi Serikali, Wataalam mbalimbali na wananchi kwa ujumla.
    2. Kazi hiyo ya utafiti inaendelea ili kubaini magonjwa inayotibu.
    3. Katika hatua hii, ninapenda kuwashukuru wataalamu wenzangu wote wa kikosi kazi cha wataalam wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro na ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha na wananchi wote kwa kufanikisha zoezi hili mpaka sasa.
    4. Pia sisi tunamshukuru sana Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila, kwa ushirikiano alioutoa kwa timu ya watafiti waliofika kumuona, kuanzia siku ya kwanza mpaka leo hii.
Mwisho ninachukua fursa hii kuwaomba wananchi wawe na subira katika kipindi hiki ili watupe nafasi tuweze kufanya kazi hii ya utafiti na uchambuzi zaidi kwa utulivu na umakini wa juu kwani duniani kote, tafiti za aina hii, hazina njia ya mkato, nasi tunaahidi kwamba tutatoa taarifa ya kina mara utafiti utakapo kamilika.

Asanteni na Ninawashukuru kwa kunisikiliza.

Charys Ugullum, Kaimu Mkurugenzi TFDA.


TAARIFA YA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUPITIA TAASISI ZAKE ZA UTAFITI KUHUSU DAWA YA MCHUNGAJI MSTAAFU AMBILIKILE MASAPILA WA SAMUNGE- LOLIONDO, AMBAZO NI: MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA (TFDA), TAASISI YA UTAFITI WA DAWA ASILI YA CHUO KIKUU CHA AFYA YA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI, (MUHAS) MKEMI MKUU WA SERIKALI (CGC), TAASISI YA TAIFA YA UTAFITI WA MAGONJWA YA BINADAMU (NIMR)

Taarifa ziliifikia serikali kuwa, Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila, anatibu magonjwa sugu kwa kutumia dawa aliyooteshwa na Mwenyezi Mungu. Inasemekana kuwa, mchungaji alianza tiba hii tangu mwezi Agosti 2010, lakini watu wengi walianza kumiminika kwenda huko Samunge, kuanzia mwishoni mwa mwezi wa pili, mwaka huu wa 2011.

Kufuatia taarifa hii, serikali iliielekeza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuwa, ufanyike haraka uchunguzi kuhusu dawa hii na itoe ushauri Serikalini ipasavyo. Baada ya kupokea maagizo hayo, wizara iliteua wataalamu kutoka taasisi zake tukiwemo sisi, TFDA, NIMR, Muhimbili kwa maana ya MUHAS, Mkemia Mkuu na tulijumuisha wataalamu wa hapa wizarani, ili kuifanya kazi hiyo muhimu, akiwemo Msajili wa Tiba Asili na Mbadala.

Hapo Machi 7 mwaka huu, sisi TFDA na wenzetu wanasayansi tulifanya safari kwenda Samunge kuonana na kufanya mazungumzo na Mchungaji mstaafu AmbilikileMasapila. Sisi TFDA na wataalam wenzangu wote, tunamshukuru sana mchungaji mstaafu, kwa ushirikiano na msaada mkubwa aliotupa sisi watafiti wote. kwa kuwa, tulifanya mazungumzo kwa masaa kadhaa kuhusu dawa hiyo jinsi alivyoanza, pia, alituonyesha mti unaotumika na alitupa sehemu mbali mbali za mti huo, kwa uchunguzi zaidi. Kadhalika, alituonyesha jinsi anavyotayarisha dawa hiyo na kutupatia sampuli yake iliyokwishategenezwa, tayari kwa matumizi. Sisi TFDA na wataalamu wenzetu tuliondoka nayo, kwa ajili ya uchunguzi zaidi, kwenye maabara zetu.

Baada ya kurejea kituoni Dar es Salaam, kazi ya utafiti wa dawa hiyo ilianza:

Jambo la kwanza kama watafiti, ilikuwa ni kuangalia na kuhakikisha usalama wa dawa ya Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila kwa watu. Uchunguzi uliofanyika, umetoa matokeo ambayo tumeridhika kuwa, dawa kwa kipimo anachotumia Mchungaji mstaafu AmbilikileMasapila, haina madhara yoyote yanayotambulika kwa sasa, kwa matumizi ya binaadamu.

Kazi inayofuata kwetu sisi watafiti baada ya matokeo haya, ni kuchunguza na kubaini, kama kweli dawa hii inatibu magonjwa hayo matano (5), kama anavyoeielezea yeye Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila. Uchunguzi huu utakapo kamilika, matokeo yake yatatolewa mara moja kwa wananchi wote!.

Hata hivyo, ninaomba kuwatahadharisha kuwa, hatua hii ya uchunguzi, si ya muda mfupi. Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za kisayansi duniani, tafiti za namna hii zina mchakato unaohitaji muda wa kutosha kukamilisha hatua zake mbali mbali, na pia, kufikia viwango na vigezo vinavyokubalika Kitaifa na Kimataifa. Tunafanya hivyo kwa kuzingatia kuwa, dawa hii ni kwa ajili ya matumizi ya binadamu, na inafuatiliwa na wananchi wetu na mataifa mbalimbali.

Sambamba na utafiti katika hatua hii, pia tunafanya uchambuzi wa kisayansi, katika maabara zetu, kwa sampuli tuliyoichukua kwa Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila, kwa kuangalia mambo mengine mawili muhimu kama ifuatavyo:

Kwa hatua tuliyofikia na taarifa tulizo nazo za dawa hii mpaka sasa, tumeandaa na tunakamilisha taratibu, ili tuweze kufuatilia maendeleo ya kiafya ya wagonjwa 200, ambao wamekubali kwa ridhaa yao wenyewe, kushiriki katika utafiti huu, ili kuona maendeleo yao kiafya, baada ya kunywa dawa ya Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila, kwa maradhi walionayo. Hatua hii, inafuata vigezo vyote vya Kitaifa na Kimataifa.

Pia tumeweka utaratibu madhubuti, wa kufuatilia matumizi ya mti huu, kama “mmea tiba”, katika sehemu nyingine za nchi yetu, kwani tuna taarifa kuwa, makabila mbali mbali yamekuwa yakitumia mti huu kama tiba. Makabila hayo ni pamoja na; Wagogo, Wamasai, Wabarbaig na Wasonjo kule Samunge.

Kwa niaba ya watafiti na wataalam wenzangu, ninaomba nimalize kwa kusema kwa muhtasari kuwa;:

Sisi sote tumeridhishwa kuwa, dawa anayotoa Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila, haina madhara yeyote yanayotambulika kwa sasa kwa matumizi ya binadamu. jambo hili mwazoni lilitia wasiwasi Serikali, Wataalam mbalimbali na wananchi kwa ujumla.
Kazi hiyo ya utafiti inaendelea ili kubaini magonjwa inayotibu,
Katika hatua hii, ninapenda kuwashukuru wataalamu wenzangu wote wa kikosi kazi cha wataalam wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Ofisi ya mkuu wa wilaya, Ngorongoro na ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha na wananchi wote kwa kufanikisha zoezi hili mpaka sasa.
Pia sisi tunamshukuru sana Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila, kwa ushirikiano alioutoa, kwa timu ya watafiti waliofika kumuona, kuanzia siku ya kwanza mpaka leo hii..

Mwisho ninachukua fursa hii, kuwaomba wananchi wawe na subira katika kipindi hiki ili watupe nafasi tuweze kufanya kazi hii ya utafiti na uchambuzi zaidi, kwa utulivu na umakini wa juu kwani duniani kote, tafiti za aina hii, hazina njia ya mkato, nasi tunaahidi kwamba, tutatoa taarifa ya kina mara utafiti utakapo kamilika.

Asanteni na Ninawashukuru kwa kunisikiliza!

President Yoweri K. Museveni's article on Libya

By the time Muammar Gaddaffi came to power in 1969, I was a third year university student at Dar-es-Salaam. We welcomed him because he was in the tradition of Col. Gamal Abdul Nasser of Egypt who had a nationalist and pan-Arabist position.

Soon, however, problems cropped up with Col. Gaddafi as far as Uganda and Black Africa were concerned:

1.Idi Amin came to power with the support of Britain and Israel because they thought he was uneducated enough to be used by them. Amin, however, turned against his sponsors when they refused to sell him guns to fight Tanzania. Unfortunately, Col. Muammar Gaddafi, without getting enough information about Uganda, jumped in to support Idi Amin. This was because Amin was a ‘Moslem’ and Uganda was a ‘Moslem country’ where Moslems were being ‘oppressed’ by Christians. Amin killed a lot of people extra-judicially and Gaddafi was identified with these mistakes. In 1972 and 1979, Gaddafi sent Libyan troops to defend Idi Amin when we attacked him. I remember a Libyan Tupolev 22 bomber trying to bomb us in Mbarara in 1979. The bomb ended up in Nyarubanga because the pilots were scared. They could not come close to bomb properly. We had already shot-down many Amin MIGs using surface-to-air missiles. The Tanzanian brothers and sisters were doing much of this fighting. Many Libyan militias were captured and repatriated to Libya by Tanzania. This was a big mistake by Gaddafi and a direct aggression against the people of Uganda and East Africa.

2.The second big mistake by Gaddafi was his position vis-à-vis the African Union (AU) Continental Government “now”. Since 1999, he has been pushing this position. Black people are always polite. They, normally, do not want to offend other people. This is called: ‘obufura’ in Runyankore, mwolo in Luo – handling, especially strangers, with care and respect. It seems some of the non-African cultures do not have ‘obufura’. You can witness a person talking to a mature person as if he/she is talking to a kindergarten child. “You should do this; you should do that; etc.” We tried to politely point out to Col. Gaddafi that this was difficult in the short and medium term. We should, instead, aim at the Economic Community of Africa and, where possible, also aim at Regional Federations. Col. Gaddafi would not relent. He would not respect the rules of the AU. Something that has been covered by previous meetings would be resurrected by Gaddafi. He would ‘overrule’ a decision taken by all other African Heads of State. Some of us were forced to come out and oppose his wrong position and, working with others, we repeatedly defeated his illogical position.

3.The third mistake has been the tendency by Col. Gaddafi to interfere in the internal affairs of many African countries using the little money Libya has compared to those countries. One blatant example was his involvement with cultural leaders of Black Africa – kings, chiefs, etc. Since the political leaders of Africa had refused to back his project of an African Government, Gaddafi, incredibly, thought that he could by-pass them and work with these kings to implement his wishes. I warned Gaddafi in Addis Ababa that action would be taken against any Ugandan king that involved himself in politics because it was against our Constitution. I moved a motion in Addis Ababa to expunge from the records of the AU all references to kings (cultural leaders) who had made speeches in our forum because they had been invited there illegally by Col. Gaddafi.

4.The fourth big mistake was by most of the Arab leaders, including Gaddafi to some extent. This was in connection with the long suffering people of Southern Sudan. Many of the Arab leaders either supported or ignored the suffering of the Black people in that country. This unfairness always created tension and friction between us and the Arabs, including Gaddafi to some extent. However, I must salute H.E. Gaddafi and H.E. Hosni Mubarak for travelling to Khartoum just before the Referendum in Sudan and advised H.E. Bashir to respect the results of that exercise.

5.Sometimes Gaddafi and other Middle Eastern radicals do not distance themselves sufficiently from terrorism even when they are fighting for a just cause. Terrorism is the use of indiscriminate violence – not distinguishing between military and non-military targets. The Middle Eastern radicals, quite different from the revolutionaries of Black Africa, seem to say that any means is acceptable as long as you are fighting the enemy. That is why they hijack planes, use assassinations, plant bombs in bars, etc. Why bomb bars? People who go to bars are normally merry-makers, not politically minded people. We were together with the Arabs in the anti-colonial struggle. The Black African liberation movements, however, developed differently from the Arab ones. Where we used arms, we fought soldiers or sabotaged infrastructure but never targeted non-combatants. These indiscriminate methods tend to isolate the struggles of the Middle East and the Arab world. It would be good if the radicals in these areas could streamline their work methods in this area of using violence indiscriminately.


These five points above are some of the negative points in connection to Col. Gaddafi as far as Uganda’s patriots have been concerned over the years. These positions of Col. Gaddafi have been unfortunate and unnecessary.

Nevertheless, Gaddafi has also had many positive points objectively speaking. These positive points have been in favour of Africa, Libya and the Third World. I will deal with them point by point:

1.Col. Gaddafi has been having an independent foreign policy and, of course, also independent internal policies. I am not able to understand the position of Western countries which appear to resent independent-minded leaders and seem to prefer puppets. Puppets are not good for any country. Most of the countries that have transitioned from Third World to First World status since 1945 have had independent-minded leaders: South Korea (Park Chung-hee), Singapore (Lee Kuan Yew), China People’s Republic (Mao Tse Tung, Chou Enlai, Deng Xiaoping, Marshal Yang Shangkun, Li Peng, Jiang Zemin, Hu Jing Tao, etc), Malaysia (Dr. Mahthir Mohamad), Brazil (Lula Da Silva), Iran (the Ayatollahs), etc. Between the First World War and the Second World War, the Soviet Union transitioned into an Industrial country propelled by the dictatorial but independent-minded Joseph Stalin. In Africa we have benefited from a number of independent-minded leaders: Col. Nasser of Egypt, Mwalimu Nyerere of Tanzania, Samora Machel of Mozambique, etc. That is how Southern Africa was liberated. That is how we got rid of Idi Amin. The stopping of genocide in Rwanda and the overthrow of Mobutu, etc., were as a result of efforts of independent-minded African leaders. Muammar Gaddafi, whatever his faults, is a true nationalist. I prefer nationalists to puppets of foreign interests. Where have the puppets caused the transformation of countries? I need some assistance with information on this from those who are familiar with puppetry. Therefore, the independent-minded Gaddafi had some positive contribution to L
ibya, I believe, as well as Africa and the Third World. I will take one little example. At the time we were fighting the criminal dictatorships here in Uganda, we had a problem arising of a complication caused by our failure to capture enough guns at Kabamba on the 6th of February, 1981. Gaddafi gave us a small consignment of 96 rifles, 100 anti-tank mines, etc., that was very useful. He did not consult Washington or Moscow before he did this. This was good for Libya, for Africa and for the Middle East. We should also remember as part of that independent-mindedness he expelled British and American military bases from Libya, etc.

2.Before Gaddafi came to power in 1969, a barrel of oil was 40 American cents. He launched a campaign to withhold Arab oil unless the West paid more for it. I think the price went up to US$ 20 per barrel. When the Arab-Israel war of 1973 broke out, the barrel of oil went to US$ 40. I am, therefore, surprised to hear that many oil producers in the world, including the Gulf countries, do not appreciate the historical role played by Gaddafi on this issue. The huge wealth many of these oil producers are enjoying was, at least in part, due to Gaddafi’s efforts. The Western countries have continued to develop in spite of paying more for oil. It, therefore, means that the pre-Gaddafi oil situation was characterized by super exploitation in favour of the Western countries.

3.I have never taken time to investigate socio-economic conditions within Libya. When I was last there, I could see good roads even from the air. From the TV pictures, you can even see the rebels zooming up and down in pick-up vehicles on very good roads accompanied by Western journalists. Who built these good roads? Who built the oil refineries in Brega and those other places where the fighting has been taking place recently? Were these facilities built during the time of the king and his American as well as British allies or were they built by Gaddafi? In Tunisia and Egypt, some youths immolated (burnt) themselves because they had failed to get jobs. Are the Libyans without jobs also? If so, why, then, are there hundreds of thousands of foreign workers? Is Libya’s policy of providing so many jobs to Third World workers bad? Are all the children going to school in Libya? Was that the case in the past – before Gaddafi? Is the conflict in Libya economic or purely political? Possibly Libya could have transitioned more if they encouraged the private sector more. However, this is something the Libyans are better placed to judge. As it is, Libya is a middle income country with GDP standing at US$ 89.03 billion. This is about the same as the GDP of South Africa at the time Mandela took over leadership in 1994 and it about 155 times the current size of GDP of Spain.

4.Gaddafi is one of the few secular leaders in the Arab world. He does not believe in Islamic fundamentalism that is why women have been able to go to school, to join the Army, etc. This is a positive point on Gaddafi’s side.

Coming to the present crisis, therefore, we need to point out some issues:

1.The first issue is to distinguish between demonstrations and insurrections. Peaceful demonstrations should not be fired on with live bullets. Of course, even peaceful demonstrations should coordinate with the Police to ensure that they do not interfere with the rights of other citizens. When rioters are, however, attacking Police stations and Army barracks with the aim of taking power, then, they are no longer demonstrators; they are insurrectionists. They will have to be treated as such. A responsible Government would have to use reasonable force to neutralize them. Of course, the ideal responsible Government should also be an elected one by the people at periodic intervals. If there is a doubt about the legitimacy of a Government and the people decide to launch an insurrection, that should be the decision of the internal forces. It should not be for external forces to arrogate themselves that role, often, they do not have enough knowledge to decide rightly. Excessive external involvement always brings terrible distortions. Why should external forces involve themselves? That is a vote of no confidence in the people themselves. A legitimate internal insurrection, if that is the strategy chosen by the leaders of that effort, can succeed. The Shah of Iran was defeated by an internal insurrection; the Russian Revolution in 1917 was an internal insurrection; the Revolution in Zanzibar in 1964 was an internal insurrection; the changes in Ukraine, Georgia, etc., all were internal insurrections. It should be for the leaders of the Resistance in that country to decide their strategy, not for foreigners to sponsor insurrection groups in sovereign countries. I am totally allergic to foreign, political and military involvement in sovereign countries, especially the African countries. If foreign intervention is good, then, African countries should be the most prosperous countries in the world because we have had the greatest dosages of that: slave trade, colonialism, neo-colonialism, imperialism, etc. All those foreign imposed phenomena have, however, been disastrous. It is only recently that Africa is beginning to come up partly because of rejecting external meddling. External meddling and the acquiescence by Africans into that meddling have been responsible for the stagnation in Africa. The wrong definition of priorities in many of the African countries is, in many cases, imposed by external groups. Failure to prioritize infrastructure, for instance, especially energy, is, in part, due to some of these pressures. Instead, consumption is promoted. I have witnessed this wrong definition of priorities even here in Uganda. External interests linked up, for instance, with internal bogus groups to oppose energy projects for false reasons. How will an economy develop without energy? Quislings and their external backers do not care about all this.

2.If you promote foreign backed insurrections in small countries like Libya, what will you do with the big ones like China which has got a different system from the Western systems? Are you going to impose a no-fly-zone over China in case of some internal insurrections as happened in Tiananmen Square, in Tibet or in Urumqi?

3.The Western countries always use double standards. In Libya, they are very eager to impose a no-fly-zone. In Bahrain and other areas where there are pro-Western regimes, they turn a blind eye to the very same conditions or even worse conditions. We have been appealing to the UN to impose a no-fly-zone over Somalia so as to impede the free movement of terrorists, linked to Al-Qaeda, that killed Americans on September 11th, killed Ugandans last July and have caused so much damage to the Somalis, without success. Why? Are there no human beings in Somalia similar to the ones in Benghazi? Or is it because Somalia does not have oil which is not fully controlled by the western oil companies on account of Gaddafi’s nationalist posture?

4.The Western countries are always very prompt in commenting on every problem in the Third World – Egypt, Tunisia, Libya, etc. Yet, some of these very countries were the ones impeding growth in those countries. There was a military coup d'état that slowly became a Revolution in backward Egypt in 1952. The new leader, Nasser, had ambition to cause transformation in Egypt. He wanted to build a dam not only to generate electricity but also to help with the ancient irrigation system of Egypt. He was denied money by the West because they did not believe that Egyptians needed electricity. Nasser decided to raise that money by nationalizing the Suez Canal. He was attacked by Israel, France and Britain. To be fair to the USA, President Eisenhower opposed that aggression that time. Of course, there was also the firm stand of the Soviet Union at that time. How much electricity was this dam supposed to produce? Just 2000 mgws for a country like Egypt!! What moral right, then, do such people have to comment on the affairs of these countries?

5.Another negative point is going to arise out of the by now habit of the Western countries over-using their superiority in technology to impose war on less developed societies without impeachable logic. This will be the igniting of an arms race in the world. The actions of the Western countries in Iraq and now Libya are emphasizing that might is “right.” I am quite sure that many countries that are able will scale up their military research and in a few decades we may have a more armed world. This weapons science is not magic. A small country like Israel is now a super power in terms of military technology. Yet 60 years ago, Israel had to buy second-hand fouga magister planes from France. There are many countries that can become small Israels if this trend of overusing military means by the Western countries continues.

6.All this notwithstanding, Col. Gaddafi should be ready to sit down with the opposition, through the mediation of the AU, with the opposition cluster of groups which now includes individuals well known to us – Ambassador Abdalla, Dr. Zubeda, etc. I know Gaddafi has his system of elected committees that end up in a National People’s Conference. Actually Gaddafi thinks this is superior to our multi-party systems.

Of course, I have never had time to know how truly competitive this system is. Anyway, even if it is competitive, there is now, apparently, a significant number of Libyans that think that there is a problem in Libya in terms of governance. Since there has not been internationally observed elections in Libya, not even by the AU, we cannot know what is correct and what is wrong. Therefore, a dialogue is the correct way forward.

7.The AU mission could not get to Libya because the Western countries started bombing Libya the day before they were supposed to arrive. However, the mission will continue. My opinion is that, in addition, to what the AU mission is doing, it may be important to call an extra-ordinary Summit of the AU in Addis Ababa to discuss this grave situation.

8.Regarding the Libyan opposition, I would feel embarrassed to be backed by Western war planes because quislings of foreign interests have never helped Africa. We have had a copious supply of them in the last 50 years – Mobutu, Houphouet Boigny, Kamuzu Banda, etc. The West made a lot of mistakes in Africa and in the Middle East in the past. Apart from the slave trade and colonialism, they participated in the killing of Lumumba, until recently, the only elected leader of Congo, the killing of Felix Moummie of Cameroon, Bartholomew Boganda of Central African Republic, the support for UNITA in Angola, the support for Idi Amin at the beginning of his regime, the counter-revolution in Iran in 1953, etc. Recently, there has been some improvement in the arrogant attitudes of some of these Western countries. Certainly, with Black Africa and, particularly, Uganda, the relations are good following their fair stand on the Black people of Southern Sudan. With the democratization of South Africa and the freedom of the Black people in Southern Sudan, the difference between the patriots of Uganda and the Western Governments had disappeared. Unfortunately, these rush actions on Libya are beginning to raise new problems. They should be resolved quickly.

Therefore, if the Libyan opposition groups are patriots, they should fight their war by themselves and conduct their affairs by themselves. After all, they easily captured so much equipment from the Libyan Army, why do they need foreign military support? I only had 27 rifles. To be puppets is not good.

9.The African members of the Security Council voted for this Resolution of the Security Council. This was contrary to what the Africa Peace and Security Council had decided in Addis Ababa recently. This is something that only the extra-ordinary summit can resolve.

10.It was good that certain big countries in the Security Council abstained on this Resolution. These were: Russia, China, Brazil, India, etc. This shows that there are balanced forces in the world that will, with more consultations, evolve more correct positions.

11.Being members of the UN, we are bound by the Resolution that was passed, however rush the process. Nevertheless, there is a mechanism for review. The Western countries, which are most active in these rush actions, should look at that route. It may be one way of extricating all of us from possible nasty complications. What if the Libyans loyal to Gaddafi decide to fight on? Using tanks and planes that are easily targeted by Mr. Sarkozy’s planes is not the only way of fighting. Who will be responsible for such a protracted war? It is high time we did more careful thinking.

Yoweri K. Museveni
PRESIDENT
20th March 2011

Tanzania Media Fund Forum

Social media gurus following the Tanzania Media Fund form held at the Mlimani City Conference Centre in Dar es salaam
Media stakeholders

Keenly following up the proceedings
Scribes at the forum
Veterans in the house






Minou of FEMINA (left) is around too
Listening up
Great gender balance
Deo Mushi from Daily News casts a question
Stakeholders from all over
More scribes

TMF forum on course

Sunday, March 27, 2011

Visit Sumange kwa Babu with Kibo Travel

For booking: 0767476424 Day – 1: Dar es Salaam – Arusha (647km) Early morning we will begin our journey. A day driving to Arusha by luxury bus Overnight: HB. Hotel Mc-Ellys Arusha (or similar) http://www.mc-ellyshotel.com/index.html Day – 2: Arusha – Mto wa Mbu - Samunge (Loliondo) (about 400km) After breakfast, we will meet our safari vehicles 4x4 and begin a long driving day to meet the stretched queue to Samunge village where Babu is. Overnight: FB. In A modern dome tent near the car, each tent will be used by 2-3 participants. Day – 3: Samunge – Arusha (about 400km) After breakfast, we will follow the queue car after car until our turn to drink the potion. Afterward we will begin the way back to Arusha to our Hotel. Overnight: HB. Hotel Mc-Ellys Arusha (or similar) Day – 4: Arusha – Dar es Salaam (647km) After early breakfast, we start our way by luxury bus back to Dar es Salaam. Terms and conditions: Each participant should be able to take care for his own and carry with him cloth for long safari including sports shoes or hiking boots. This journey is long and difficult and does not include any medical support or assistance!!! Kibo travel will not be held accountable for any physical, personal or medical damage that will occur on the way. Due to the daily changes and the character of the situation at Samunge, Kibo Travel is charging 50,000Tzs x 2 = 100,000Tzs for two (2) extra overnight, water and food at the queue in Samunge. This sum is refundable in case of no use. It is caution money in case of long stay. Price: 580,000Tzs. 480,000Tzs per participant for four (4) days and three (3) overnight 100,00Tzs per participant for two (2) extra overnight, is refundable in Dar es Salaam, after the journey if not used. For booking: 0767476424 Includes: -Return transfer by luxury bus – Dar es Salaam (from Ubungo bus stand) to Arusha and back. -Return transfer by safari 4x4 vehicles from Arusha to Samunge and back. -Accommodations – HB. Arusha at Mc-Ellys Arusha (or similar) Samunge in A modern dome tent near the car, each tent will be use by 2-3 participants. -Drinking water - -Food – During safari cars transfer from Arusha to Samunge and return, Lunch boxes in outdoor conditions. Excludes: -Return transfers from and to participant residence to the departure bus stand. - Lunch - during buss transfers (participant's responsibility.) -tip for safari vehicles 5,000Tzs per participant per day For booking: 0767476424 The Desire to Discover

tuzo za kili music awards 2011 usiku huu

Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo,Dr. Emmanuel Nchimbi akabidhi tuzo ya heshima iliyopata Shirika la Habari Tanzania (TBC) kwa Bosi Mkuu wa TBC,Joe Lugalabamu.
Mwanamitindo Khadija Mwanamboka (kushoto) pamoja na Producer Pancho Latino (pili kulia) wakimkabidhi tuzo ya Msanii Mpya anaechipukia Linnah ambaye pia alijinyakulia tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kike.
Wachezaji wa Soka nchini,Juma Kasseja (kushoto) na Shadrack Nsajigwa (kulia) wakimkabidhi tuzo Mzee Yussuf ikiwa ni tuzo ya Wimbo Bora wa Taarab.
Mzee Said Mabela wa Msondo Ngoma Band,akitoa shukrani zake kwa wapenzi wa Muziki wa Dansi pamoja na wale woote wanaoufanikisha Muziki wa Dansi nchini mara baada ya kupewa tuzo ya Heshima kwa ukongwe alionao katika Muziki.
Mzee Small Ngamba na Bi. Chau wakidhi tuzo kwa Producer Man Water ambaye alimuwakilisha Msanii wake 20% ambaye alijinyakulia tuzo nyingi kuliko wote.hapa alikuwa akipewa tuzo ya Wimbo Bora wa Mwaka.Barnaba akiifurahia tuzo yake ya Wimbo Bora wa Zouk/Rhumba.Joe Makini akijinyakulia tuzo ya Msanii Bora wa Hip Hop toka kwa Besta pamoja na Marlow.Msanii Cpwaa akitoa shukrani zake za dhati kwa mashabiki wake walioweza kumpigia kura mpaka kuweza kupata tuzo ya Video Bora ya Muziki ya Mwaka.Mbungu wa Viti Maalum wa CCM,Mh. Vicky Kamata akimkabidhi tuzo ya Wimbo Bora wa R&B msanii Ben Poul.Msanii wa vichekesho toka kundi la Orijinal Comedy,ambaye pia ni Mwanamuziki akitoa shukrani zake kwa mashabiki wake waliomuwezesha kupata tuzo ya Wimbo Bora wa Asili wa Tanzania.Msanii mkongwe wa muziki nchini,Lady Jay Dee akiwa na tuzo zake mbili alizojishindia,moja iliwa ni ya Wimbo Bora wa Afrika Mashariki na nyingine ni Msanii Bora wa Kike.Mkurugenzi Mkuu wa Prime Time,Juhayna Kussaga pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,David Minja wakimkabidhi tuzo Mtunzi Bora wa Nyimbo abaye ni 20 % akiwakilishwa na Producer wake Man Water.20 % ndie alieibuka kinara wa kupata tuzo nyingi ambazo ni za Wimbo Bora wa Afro Pop,Msanii Bora wa Kiume,Wimbo Bora wa Mwaka pamoja na Mwimbaji Bora wa Kiume.
Tuzo ya Rapa Bora wa Bendi ilienda kwa Khalid Chokoraa kama anavyoonekana hapa akiwa na Josee Mara pamoja na Kalala Junior wanaounda kundi la Mapacha watatu ambapo Bendi yao pia iliweza kupata tuzo ya Wimbo Bora wa Kiswahili.
Tuzo ya Wimbo Bora wa Reggae ilienda kwa Hardmad.
Msanii JCB alijinyakulia tuzo ya Wimbo Bora wa Hip Hop na hapa akitoa shukrani kwa mashabiki wake.
Antonio Nugaz,Ruben Ndege pamoja na Dataz.
Hii ilikuwa ni shoo moja matata sana ambayo haikutegemewa na mtu yeyote,Kati yupo Banana Zorro,Kulia Diamond na kushoto ni Ali Kiba ambao waliimba wimbo wa Tunatoana Roho ulioimbwa na Bendi ya Msondo Ngoma.
Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo,Dr. Emmanuel Nchimbi akiwa sambamba na Katibu Mkuu wa BASATA,Ghonche Mategero wakifatilia kwa makini shughuli nzima ya utoaji Tuzo.
Wadau,toka kulia ni Bosco Majaliwa,Baraka Msilwa,Albert Makoye pamoja na Omary Baraka.
Rais wa RBP,Mama Rahma Al Kharous pia alikuwepo kushuhudia tuzo hizo zikitolewa.
Wadau.
Vijana wa THT wakionyesha mambo yao.

Saturday, March 26, 2011

Serikali yaomba baraka za Mchungaji Loliondo

Foleni ya leo Loliondo

KIKAO cha kutafuta njia bora ya kuwawezesha wananchi kupata tiba ya magonjwa sugu huko Loliondo kilichoongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi na viongozi wa mikoa sita wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Arusha Isdore Shirima na mwenzake wa Mara, Enos Mfuru kimeahirishwa katika kile kinachoaminika kuwa ni hadi pale maazimio yake yatakapopata baraka za Mchungaji Ambilikile Mwasapile.

Lukuvi aliwaambia waandishi wa habari mara baada ya kuahirisha kikao hicho saa 3:35 usiku kuwa bado kuna mambo ya kujadiliwa kabla ya kutoa tamko rasmi.
“Kikao kimeahirishwa tumepeana majukumu, kesho Mkuu wa Mkoa wa Arusha atakuwa Loliondo kuongea na Mchungaji Ambilikile Mwasapile na kujionea hali ilivyo kwa sasa na wengine wamepewa majukumu mengine, hivyo kesho (leo) tutakuwa na la kuwaambia baada ya RC kurudi," alisema.


Kwa siku nzima viongozi hao walikuwa katika Ukumbi wa Ofisi namba 40 katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Arusha, wakijadili hali ilivyo huko Loliondo hasa baada ya mvua kuanza kunyesha na kusababisha msongamano mkubwa magari.


Mbali ya viongozi hao, mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi waandamizi wa Serikali kutoka Mikoa ya Singida, Kilimanjaro, Manyara na Shinyanga, Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga na vingozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati.


Habari zilizopatikana baada ya kikao hizo zinasema Serikali inakusudia kuipatia Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, mahema ya kutosha ambayo yatakodishwa kwa wananchi wanaokwenda huko.


Pia Serikali imerejea ahadi iliyoitoa wiki kadhaa zilizopita ya kuandaa utaratibu wa kuwasaidia wagonjwa waliozidiwa kupata huduma haraka kwa kutumia gari la kubebea wagonjwa (ambulance) ambalo kwa sasa limeshindwa kufanya hivyo kutokana na baadhi ya watu kudai gari hilo linatumika kuwabeba vigogo badala ya wagonjwa wenye hali mbaya.

Taasisi yajitokeza kujenga vyoo, mahema

Taasisi ya kimataifa ya masula ya mazingira ya Solar Oven Society Africa, imetangaza mpango wa kuokoa maisha ya watu na uharibifu wa mazingira katika barabara iendayo Kijiji cha Samunge kwa kutoa vyoo na gari la kubeba wagonjwa.


Akizungumza na Mwananchi jana, Mwakilishi wa Taasisi hiyo hapa nchini, Profesa Solomon Mwenda alisema wamechukua uamuzi huo baada ya kubaini kuwa kuna tatizo la huduma muhimu kwa wagonjwa na uharibifu mkubwa wa mazingira katika eneo hilo ambalo pia ni mapito ya wanyamapori.

“Tumekwenda Samunge na tumeona hali ni mbaya sana na ni hatari kwa afya za watu. Tumekuta bado watu wanajisaidia porini, bado chupa tupu na uchafu mwingi unatupwa barabarani hovyo,” alisema Profesa Mwenda.

Alisema kazi ya vyoo itaanza Jumanne ijayo na kwamba kila baada ya kilometa moja kutakuwa na choo cha muda.

Pia watatoa gari la kubeba wagonjwa, mifuko ya kutunza taka, mahema na maofisa wa mazingira.
Mpaka sasa hakuna hata choo kimoja kilichokamilika kujengwa wakati Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro imekuwa ikivuna kiasi cha Sh 6.4.milioni kwa siku katika Kijiji cha Samunge.

Tayari halmashauri hiyo imetia kibindoni kiasi cha Sh 140.8 milioni kwa mwezi mmoja lakini hivi sasa kuna taarifa ya mgonjwa mmoja kuhara damu, kwa mujibu wa ripoti kutoka zahanati ya kijiji jicho.


Pato hilo linatokana na tozo la ushuru wa kila siku kwa magari yanayokwenda kwa Mchungaji Mwaisapile kwa ajili ya kupata tiba.

Mabasi makubwa na malori yanatozwa Sh10,000 kila moja, mabasi madogo yanatozwa Sh5,000 na madogo Sh2,000 huku pikipiki zikitozwa Sh1,000.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka kijijini hapo pamoja na pato hilo ambalo awali lilikuwa likikusanywa na kijiji hicho hali bado ni mbaya na uchafu umekidhiri kila mahali vinyesi, mikojo katika chupa za plastiki ni hali ya kawaida eneo hilo .

Hali inazidi kuwa mbaya kiafya kutokana na mvua ziloanza kunyesha huku misururu mirefu inayofikia umbali wa kilomita 28 na watu waoadiriwa kufikia 150,000 wakiwa wanasubiri kupata tiba. Msururu huo unaanzia katika Kijiji cha Mdito.


Wananchi waliokwama katika msururu huo wamekuwa wakihangaika kupata chakula na vinywaji kiasi kwamba kila abiria wanaopita kutoka Kijiji cha Samunge, wamekuwa wakiombwa maji ya kunywa bila kujali kama yametumiwa na wengine au la
Kijiji cha Mdito chenye kaya zisizozidi 50 hivi sasa kina watu wanaokadiriwa kufikia 200,000 ambao hawana mahitaji muhimu kabisa, huku wengine kama hao wakipata walau huduma kidogo na hao ni wale walio katibu na Kijiji cha Samunge, umbali wa kilometa 10.

Wakati huohuo; mvua zinaendelea kunyesha wilayani Ngorongoro hali ambayo inatishia uharibufu wa barabara.
Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali alisema kuwa kutokana na mvua hizo, ukarabati wa barabara ambao ulikuwa unafanywa na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) umesitishwa kwa muda.

“Ni kweli barabara ni mbaya kutokana na mvua, watu wa Tanroads walikuwa wanatengeneza barabara ila nadhani sasa imekuwa kazi ngumu kwani mvua zimewakuta,” alisema Lali.


Tangu kuanza kwa mvua hizo takriban wiki moja sasa, mamia ya watu na magari wamekwama katikati ya Kijiji cha Selela na Ngaresero kutokana na mito kujaa na maeneo mengi kuharibika.


Lipumba aiponda Serikali

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ameishukia Serikali kwa kuruhusu tiba hiyo bila kufanyiwa uchunguzi na mkemia wake mkuu.

Profesa Lipumba ambaye hata hivyo, katika maelezo hayo hakuwakatisha tamaa wananchi kwenda kupata tiba hiyo, alisema kiutaratibu, watu hawazuiliwi kufanya tiba, lakini dawa lazima zipite kwa Mkemia Mkuu wa Serikali ili athibitishe ubora wake kabla ya kuruhusu watu waanze kuitumia.


Profesa Lipumba alisema hayo juzi alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika katika Viwanja vya Zakheim, Mbagala Dar es Salaam.


"Katiba yetu haizuii mtu kuendesha shughuli za tiba, lakini taratibu ni kwamba tiba lazima ithibitishwe na maabara za Serikali. Ukiona Serikali inawaruhusu watu kutumia tiba bila kufuata utaratibu huo ujue imekwama," alisema.

Ingawa Lipumba hakutaja moja kwa moja tiba ya Loliondo, tiba iliyoanza kutolewa katika siku za hivi karibuni na kuibua mjadala mkubwa miongoni mwa jamii ni ile inayotolewa na Mchungaji Mwasapile.

Profesa Lipumba aliponda uamuzi wa Waziri Lukuvi kushinikiza tiba hiyo itolewe bila vipimo akisema ni sawa na kuhalalisha mambo yaendee kiholela katika nchi ambayo imejiwekea utaratibu wake kisheria.


"Waziri wa afya alikuwa sahihi sana kutaka dawa hiyo ipimwe kwanza, lakini Lukuvi akapingana naye, hii ni dalili mbaya kwa Serikali," alisema.

Habari hii imeandaliwa na Filbert Rweyemamu,
Moses Mashala, Emanuel Herman, Arusha na Kizitto Noya wa MWANANCHI.

Wednesday, March 23, 2011

Sixteen internationals live on SuperSport on DStv

It’s an international football feast on SuperSport this weekend with Euro 2012 qualifiers, international friendlies and Afcon 2012 qualifiers all live on SuperSport, the World of Champions.

SuperSport will broadcast 16 matches of the Fifa internationals week.

Euro 2012 qualification is just about past the halfway mark and the Netherlands will want to maintain their impeccable streak of qualifying for major tournaments with a 100% win record (having qualified for the 2010 World Cup with a 100% win record) when they take on Hungary in a Group E top-of-the-table clash live on SuperSport (Friday, SS 3A, 3N from 9pm CAT).

There are all kinds of friendlies, too, Ghana’s first ever meeting with England (Tuesday, SS HD1, from 8.55pm CAT) being the pick of the bunch. A majority of the Black Stars provide the backbone of many clubs in the English Premier League and are expected by the adoring fans of African football to pull one over the inventors of the modern game. Brazil continue their world tour with a meeting against Scotland (Sunday, SS 3A, 3N from 2.55pm CAT) while Nigeria hosts Kenya (Tuesday, SS 9, from 7.30pm).

Broadcast details

Friday, March 25

Hungary vs. Netherlands

SS 3A, 3N, 10, Maximo (9pm)

Slovenia vs. Italy

SS 5A, 5N (9.40pm)

Luxemburg vs. France

SS 7A, 7N, Maximo2 (9.55pm)

Saturday, March 26

Wales vs. England

SS 3A, 3N, 10, Maximo (4.55pm)

Malta vs. Greece

SS 3A, 3N, 10, Maximo2 (9pm)

Republic of Ireland vs. Macedonia

SS 7A, 7N (9.40pm)

Portugal vs. Chile

SS Maximo (10.40pm)

Sunday, March 27

USA vs. Argentina

SS 3A, 3N, Maximo (00.55am)

Brazil vs. Scotland

SS 3A, 3N, Maximo2 (2.55pm)

Nigeria vs. Ethiopia

SS 4, 9 (7.30pm)

Tuesday, March 29

Costa Rica vs. Argentina

SS 3A, 3N, 10, Maximo (03.55am)

Nigeria vs. Kenya

SS 9 (7.30pm)

Holland vs. Hungary

SS 5A, 5N (8.25pm)

Lithuania vs. Spain

SS 7A, 7N, Maximo (8.40pm)

England vs. Ghana

SS HD1, 3A, 3N, 10, Maximo2 (8.55pm)

Portugal vs. Finland

SS 5A, 5N, Maximo (10.40pm)

All times CAT

WAZIRI MAIGE AHIMIZA ULINZI WA MALISILI MKOANI RUKWA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Ezekiel Maige

Watu waliovamia maeneo ya hifadhi za Maliasili katika mkoa wa Rukwa wametakiwa kuondoka kutoka kwenye hifadhi hizo ifikapo tarehe 31 Julai 2011 Muda huo umewekwa ili wahusika waweze kuvuna mazao waliyopanda hifadhini.

Hayo yalisemwa Jumatatu na Waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Ezekiel Maige alipokuwa anatoa majumuisho kwa viongozi wa mkoa wa Rukwa baada ya kufanya ziara ya siku kumi katika mkoa huo kukagua shughuli za uhifadhi zinazosimamiwa na wizara yake.

Katika ziara hiyo ambayo ilikuwa rasmi ya kutembelea mkoa huo, Waziri Maige aligundua kuwa misitu ya hifadhi na mapori ya akiba yaliyoko mkoani Rukwa yameathiriwa na shughuli za kibinadamu kama kilimo, ufugaji, na utengenezaji mkaa.

Pamoja na hayo, kwa kuwa kuna vivutio vingi mkoani Rukwa Waziri Maige aliutaka Mkoa wa Rukwa kutengeneza Mpango Mkakati wa Kuendeleza Utalii na kuwa Wizara yake itashiriki katika utekelezaji wake.

Wanyamapori

Katika sekta ya wanyamapori Waziri Maige alibaini kuwa kwa sasa ulinzi wa mapori ya akiba ni hafifu ndiyo maana kuna uvamizi katika maeneo hayo, kama vile mapori ya akiba ya Uwanda na Rukwa-Lukwati. Ili kukabiliana na hali hiyo Waziri aliagiza kuwa Mkurugenzi wa Wanyamapori afanye utafiti kujua ukubwa wa tatizo hilo ili ijulikane ni mifugo kiasi gani wamo ndani ya mapori, pia ni eneo gani limelimwa mashamba.

Sambamba na hilo Waziri aliutaka uongozi wa mkoa kutafuta eneo jingine kwa ajili ya kuwahamishia watu waliovamia mapori hayo. Aliagiza kuwa elimu kuhusu Sheria ya Wanyamapori ya mwaka 2009 itolewe kwa wahusika wakati wakisubiri kuhama. Alisisitiza kuwa wahusika wataruhusiawa kuvuna mazao waliyopanda ndiyo maana wamepewa muda hadi tarehe 31 Julai mwaka huu wa kujiandaa kuhama.

Maamuzi mengine aliyotoa Waziri Maige ni kuhusu kuimarisha usimamizi wa Pori la Akiba la Rukwa-Lukwati kwa kuyatenganisha mapori hayo ili kila pori lijitegemee. Hivyo aliagiza kuwa Makao Makuu ya pori hilo yajengwe sehemu nyingine muafaka.

Utekelezaji wa agizo hilo utaleta tija maana watumishi watakuwa karibu zaidi na maeneo yao ya kazi kuliko ilivyo hivi sasa. Waziri pia aliagiza kuwa Meneja wa pori hilo la Rukwa-Lukwaji Bwana Ladislaus Rwelamila ahamishiwe sehemu nyingine ili aje mwingine ambaye ataimarisha shughuli za uhifadhi.

Halikadhalika, Waziri Maige aliagiza kuwa kituo cha Mlele ambacho ni makao Makuu ya Pori hilo yabadilishiwe matumizi ili yatumike kwa shughuli nyingine ya Wizara ambayo itakuwa ya manufaa zaidi. Aliitaka Idara ya Wanyamapori na TANAPA kuhakikisha kuwa agizo hilo linatimizwa ifikapo mwaka 2015.

Waziri Maige pia alilitaka Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kufanya utafiti katika mto Katuma ulioko katika hifadhi ya Katavi ili hatua zichukuliwe kuhakikisha kuwa wanyama hususan Viboko wanapata maji ya kutosha mwaka mzima. Akiwa ziarani Waziri Maige alijionea upungufu wa maji katika sehemu wanakokaa wanyama hao.

Halikadhalika, Idara ya Wanyamapori na TANAPA waliagizwa wafanye utafiti wenye nia ya kuipanua Hifadhi ya Katavi kwa kujumuisha Pori la Akiba la Lwafi na Msitu wa Hifadhi wa Nkamba. Taarifa ya utafiti huo iwe tayari ifikapo mwezi Julai 2013 tayari kwa utekelezaji.

Misitu na Nyuki

Kwa upande wa sekta ya Misitu na Nyuki Waziri Maige aliuomba uongozi wa mkoa kuendelea kuwaelimisha wananchi wa mkoa wa Rukwa kuilinda misitu iliyopo mkoani humo. Aidha aliutaka mkoa kukamilisha mpango wa matumizi bora ya ardhi ili wananchi waweze kujua fika sehemu zilizotengwa kwa ajili ya kuendeleza maliasili na shughuli zingine mbalimbali.

Kwa upande wa ufugaji nyuki Waziri Maige aliahidi kukipatia mizinga mia moja kikundi kiitwacho Miti na Mazingira Kibaoni (MIMAKI) kilichoko kijijini Kibaoni wilayani Mpanda.

Mizinga mingine hamsini watapewa wananakikundi wa kijiji cha Kapozwa kilicho wilayani Sumbawanga baada ya kuelimishwa na mtaalam wa ufugaji nyuki kutoka makao makuu ya Wizara ya Maliasili na Utalii.

Utalii

Kwa upande wa sekta ya Utalii Waziri Maige alivutiwa na maporomoko ya mto Kalambo yaliyoko katika kijiji cha Kapozwa kilichoko wilayani Sumbawanga. Alisema hicho ni kivutio ambacho kinatakiwa kuendelezwa kama sehemu ya kuendeleza utalii katika mkoa wa Rukwa.

Waziri Maige aliiagiza Idara ya Utalii itoe shilingi milioni ishirini kwa ajili ya kutengenezea ngazi na sehemu mbalimbali muhimu katika maporomoko hayo. Halimashauri ya Wilaya ya Sumbawanga nayo itakarabati sehemu ya mwisho ya barabara inayoelekea katika maporomoko hayo

Kwa kuzingatia umuhimu wa Msitu wa Kalambo katika kuhifadhi sehemu hiyo Waziri Maige aliahidi kuwa Wizara yake itatoa vitendea kazi ambavyo vitatumiwa na wataalam wawili ambao ni waajiriwa wa Halmashauri ambao watapangiwa Kalambo kama kituo chao cha kazi.

Malikale

Kwa upande mwingine Waziri Maige aliiagiza Idara ya Mambo ya Kale iliyoko chini ya Wizara yake kuorodhesha maeneo yote ya Malikale yaliyoko mkoani Rukwa ambayo ni vivutio vya utalii. Aliiitaka Idara hiyo kuyafanyia ukarabati maeneo hayo ikiwemo ngome ya Bismark ambayo ilitumika enzi za utawala wa Wajerumani.

George Matiko

MSEMAJI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

23 Machi 2011

Simu: 0784 468047