MATUKIO @ MICHUZI BLOG

Matukio haya na yale sambamba na habari/picha za ziada za Globu ya Jamii

Monday, February 2, 2015

DIAMOND PLUTINAMZ ATUA NA MPENZI WAKE ZARI MJINI SONGEA

1Mwanamuziki Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari wakiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea tayari kwa kufanya onesho kubwa kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM zinazofanyika kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea leo ambapo viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Dr. Jakaya Kikwete.PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SONGEA. 2Diamonda Plutnamz akiongozana na mpenzi wake Zari wakiondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songea kuelekea hotelini. 3Mkuu wa wilaya ya Songea Bw.Joseph Mkirikiti akisalimiana na Zari Mpenzi wa Diamond Plutnamz. 4 5 6Diamond Plutnamz akifanya vitu vyake kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea wakati wa sherehe za miaka 38 ya CCM. 7 8 9Diamond Plutnamz akiima pamoja na mwanamuziki Abdul Misambano wa kundi la TOT katika sherehe za miaka 38 ya CCM mjini Songea mchana huu. 10Umati wa wananchi waliohudhuria katika uwanja huo 11
MICHUZI BLOG at Monday, February 02, 2015
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Matukio-Michuzi

  • MICHUZI BLOG
  • Unknown
Powered by Blogger.