Mwakilishi wa Wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA), Labhu Thakkar akizungumza katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kuranga wakati walipotembelea vikundi vya wajasiriamali vilivyopo wilayani hapo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Sila na mlezi wa Kikundi cha Kiwalani Women Group ambaye pia ni mke wa mbunge wa Mkuranga, Naima Malima.
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Sila akizungumza na Wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) walipotembelea vikundi vya wajasiriamali vilivyopo Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani, pamoja na kutembelea Zahanati ya kijiji cha Msufini Kidete. Kushoto ni mlezi wa Kikundi cha Kiwalani Women Group ambaye pia ni mke wa mbunge wa Mkuranga, Naima Malima.
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Sila akipokea zawadi kutoka kwa Mwakilishi wa Wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA), Labhu Thakkar walipotembelea vikundi vya wajasiriamali vilivyopo Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani, pamoja na kutembelea Zahanati ya kijiji cha Msufini Kidete.
Mkutano ukiendelea kabla ya wageni kutoka Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) kutembelea Zahanati ya Kijiji cha Msufini Kidete iliyopo Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Wachama wa Ushirika Sewa wakiwa katika mkutano na uongozi wa Kijiji cha Msufini Kidete Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Mtendaji wa Kijiji cha Msufini Kidete, Seleman Kayombo akitoa taarifa fupi za utendaji wa kijiji hicho kwa wageni waliofika kutoka Ushirika wa Wanawake waliojiajiri wenyewe kutoka India (SEWA) walipotembelea Zahanati ya Kijiji hicho.
Mkurugenzi wa Mradi wa Sankalit Sewa, Shree Kant Kumar akizungumza wanakijiji wa Msufini Kidete wakati Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) walipotembelea miradi ya maendeleo ikiwemo afya.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Msufini Kidete wakiwasikiliza wageni waliofika kijijini hapo kutoka katika Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA), walipotembelea Zahanati ya kijiji cha Msufini Kidete Mkuranga.
Zahanati ya Kijiji cha Msufini Kidete.
Huduma za afya zikiendelea katika Zahanati ya kijiji.
Baadhi ya wagonjwa wakisubiri huduma za matibabu katika Zahanati ya kijiji cha Msufini Kidete Mkuranga.
Muuguzi wa zamu Walness Makere akizungumza na waandishi wa habari baada ya wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA), walipotembelea Zahanati ya kijiji cha Msufini Kidete Mkuranga.
Ujumbe wa wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA), wakitoka katika Zahanati ya kijiji cha Msufini Kidete walipofika kuangalia huduma za Afya.
Mlezi wa Kikundi cha Kiwalani Women Group ambaye pia ni Mke
wa Mbunge wa Mkuranga, Naima Malima (kulia) akipokelewa na wanachama wa kikundi hicho wakati wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA), walipotembelea vikundi vya wajasiriamali wanawake vilivyopo Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Mikeka na vikapu.
Bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wa Kikundi cha Kiwalani Woman Group.
Wanachama wa Kikundi cha Kiwalani Women Group cha Mkuranga wakiwakaribisha wageni.
Wanachama wa Usharika wa Kikundi cha Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) wakiwasili katika ofisi za Kikundi cha Kiwalani Women Group wakati walipotembelea wajasiriamali wa Mkuranga na kubadilishana uzoefu.
Uyoga uliokaushwa.
Uyoga Mkavu.
Mkurugenzi wa Mradi wa Sankalit Sewa, Shree Kant Kumar akizungumza Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) ulipotembelea kikundi vikundi vya wajasiriamali wanawake vilivyopo Mkuranga.
Mwenyekiti Mtendaji wa Kiwalani Women Group akizungumza wakati ujumbe wa Wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) ulipotembelea kikundi hicho kwa ajili ya kujifunza shughuli zinazofanywa na wanawake wajasiriamali wa kikundi hicho.
Tuimbe kwa pamoja.
Wanachama wa Usharika wa Sewa kutoka India wakiimba kwa pamoja na Wanawake wenzao wajasiriamali kutoka Kikundi cha Kiwalani Women Group.
Wanachama wa Ushirika
wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) wakiangalia bidhaa
mbalimbali zinazozalishwa na Wanawake Wajasiriamali wa Kikundi cha
Kiwalani Women Group kilichopo Mkuranga.
Wanachama wa Ushirika
wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) wakiangalia bidhaa
mbalimbali zinazozalishwa na Wanawake Wajasiriamali wa Kikundi cha
Kiwalani Women Group kilichopo Mkuranga.
Wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) wakiangalia bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na Wanawake Wajasiriamali wa Kikundi cha Kiwalani kilichopo Mkuranga.
Katibu Mkuu wa
Chodawu, Said Wamba akizungumza na wanachama wa Kikundi cha Kiwalani Women Group wakati wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) walipotembelea vikundi vya wajasiriamali vilivyopo Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Mwakilishi wa Sewa, Labhu Thakkar akimkabidhi Mwenyekiti Mtendaji wa Kikundi cha Kiwalani Women Group,
Naima Malima. Kulia ni Katibu Mkuu wa
Chodawu, Said Wamba.
Mwakilishi wa Sewa, Labhu Thakkar akimkabidhi zawadi mlezi wa Kikundi cha Kiwalani Women Group,
Naima Malima. Kulia ni Katibu Mkuu wa
Chodawu, Said Wamba.
Mlezi wa Kikundi cha Kiwalani Women Group ambaye pia ni mke
wa Mbunge wa Mkuranga, Naima Malima (wa pili kushoto) akizungumza na wanachama
wa kikundi hicho wakati ujumbe wa wanachama wa Kikundi cha Ushirika wa Wanawake
waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA) ulipotembelea kikundi hicho kwa lengo
la kujifunza shughuli zinazofanywa na vikundi vya wanawake wajasiriamali vilivyopo
Mkuranga Mkoa wa Pwani. Kushoto ni Mwakilishi wa Sewa, Labhu Thakkar,
Mwenyekiti Mtendaji wa Kiwalani Women Group, Rehema Ngelekele na Katibu Mkuu wa
Chodawu, Said Wamba.
MALI,UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI MPAKA MASAA 72(SIKU 3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
ReplyDeleteKUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.
𝗞𝗔𝗡𝗨𝗡𝗜 𝗦𝗔𝗕𝗔 𝗭𝗔 𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜𝗥𝗜 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗢 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗠𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗢.
ReplyDeleteKATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.
N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO
i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu
Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao
Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana
ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau
Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako
iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake
iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji
v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa
vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema
vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.
Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K
DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.