Thursday, June 19, 2014

SIKU YA SIKOSELI DUNIANI YAADHIMISHWA LEO


Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Dkt. Sarah Maongezi (aliyevaa suti ya bluu) ,akiteta jambo na  Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Profesa Eligius Lyamuya ,(wapili kushoto)  mara alipomaliza kuongea na wageni waalikwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili leo, kulia ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto na Mkuu wa Idara Muhimbili, Dk. Mary Charles na aliye vaa suti nyeusi ni  Mkurugenzi wa Tiba Muhimbili,  Dk. Hedinga Swai,(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)Mmiliki wa www.ujijirahaa.blogspot.com.(ukurasa wa ujijirahaa).

Sehemu ya Madaktari na aliye vaa kitambaa ni mmoja mwenye Siko Seli,ambaye anafata ushauri wa Madaktari 
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Dk. Sarah Maongezi,akiongea na wageni waalikwa na ndugu na jamaa leo katika Maadhimisho ya Siko Seli Duniani yaliyo fanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam.
Daktari Bingwa wa Siko Seli wa Hospitali ya Taifa Muhimbili , Dkt Julie Makani (kushoto) ,akiwa makini kwa kumsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Dkt. Sarah Maongezi,alipkua akionge na ndugu na jamaa.
Baadhi ya watoto wanao sumbuliwa na Ugonjwa wa Siko Seli , wakiwa na wazazi wao wakimsikiliza , Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Dk. Sarah Maongezi

Baadhi ya watoto wanao sumbuliwa na Ugonjwa wa Siko Seli , wakiwa na wazazi wao wakimsikiliza , Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Dk. Sarah Maongezi
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Dk. Sarah Maongezi(mwenyesuti ya bluu), akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Kliniki mpya ya watu waishio na seli mundu wakati wa maadhimisho ya Siku ya Seli Mundu Duniani, Muhimbili Dar es Salaam leo. Kutoka kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Profesa Eligius Lyamuya na Mkurugenzi wa Tiba Muhimbili,  Dk. Hedinga Swai na kutoka kushoto ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Damu, Dk. Alex Magesa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto na Mkuu wa Idara Muhimbili, Dk. Mary Charles.
Picha ya pamoja na Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH) na wafadhili.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Dk. Sarah Maongezi,katika picha ya pamoja na watoto wenye Siko Seli
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Dk. Sarah Maongezi, katika picha ya pamoja na watoto wenye Siko Seli pamoja na Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH) Dar es Salaam leo katika Maadhimisho ya Siko Seli Duniani.








2 comments:

  1. Shughuli inaonekana ilifana sana

    ReplyDelete
  2. Tunashukuru Mungu kwa kitengo cha Sikoseli kuwezesha matibabu haya kufanyika. Huu ni ugonjwa hatari unaosumbua wengi, kibaya zaidi huwa wajijui

    ReplyDelete