Monday, September 30, 2013

YALIYOJIRI KWENYE TAMASHA LA "TUKO WANGAPI? TULIZANA" NA KUNOGESHWA NA WASANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA

Ras Aluta Christopher Warioba akiongea na waandishi wa habari kwenye kongamano la wasanii wa Reggea lililofanyika leo kwenye viwanja vya BASATA
Ras Inocent akiongea neno kwenye kongamano la wasanii wa Reggea lililofanyika leo kwenye viwanja vya BASATA
Ras Ton akizungumza na vyombo vya habari wakati wa kongamano la Reggea lililofanyika leo  kwenye viwanja vya BASATA
 Ras Baraka akiwa kwenye stage akifanya maandalizi ya kuonesha burudani kwa wapenzi wa Reggea
Ras Inocent akitoa burudani kwenye kongamano  hilo
Hata wakina mama nao walikuwepo
Hapa ni kuruka wa burudani
Mama huyu alishindwa kuvumilia music wa Reggea akaanza kucheza kwenye mvua
 Dabo akitoa burudani wakati mvua inanyesha yaani mzuka kulikuwa hakuna kusitisha furaha kwa wapenzi wa Reggea waliokuwa kwenye tamasha ilo
Ni burudani tu hakuna kusubilia mvua ikatike
  Ras Ikabonnga Katondo akiwa na Ras Anord Kalikawe kwenye kongamano lililofanyika leo  kwenye viwanja vya BASATA

2013/9/8 Geofrey Adroph CODE
Wafanyakazi wa Tulizana wakiwaamasisha wananchi waliofika kwenye viwanja vya Leaders Clubs kupima Virus vya Ukimwi na pia kutoa elimu ya maambukizi ya Virus hivyo
Mmoja wa wafanyakazi akimweleza jambo kwa umakini kijana aliyekuja  kupima ili aweze kutoka kwenye mtandao wa ngono kwenye viwanja vya Leaders Club
Mmoja wa wananchi waliochangia damu kwenye tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" kwenye viwanja vya Leades Clubs jana mchana
Mfanyakazi wa Tulizana akitoa elimu kuhusu matumiza ya Kondom aina ya Dume  kwa vijana waliofika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana"
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa wamepumzika baada ya kazi ngumu ya kuelimisha jamii juu ya kuachana na mtandao wa mapenzi  ambao unaweza kusababisha maambukizi ya vurus vya UKUMWI wakati wa Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Mfanyakazi wa Tulizana akitoa elimu kuhusu matumiza ya Kondom aina ya Salama  kwa vijana waliofika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Upimaji wa Afya ukiendelea

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO ZIMA KWA KUBOFYA HAPA CHINI


Wadau Farida na Paul wameremeta

 Treni la harusi likiingia katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma
 Farida na Paul wakiwa wanasubiri muda wao wa kulishana viapo
 Ni wakati wa mchecheto na furaha
 Mimi...Farida Hussein Muyinga namchukua Paul Herman Kirigini kama mume wangu.....
 Mimi....Paul Herman Kirigini...naapa kwamba nitampenda nitamtunza na nitamuenz Farida Hussein Muyiga kama mke wangu wa ndoa, Eeeee Mwenyezi Mungu Nisaidie
 Paul akila kiapo
 Farida akila kiapo
 Pete hii iwe....
 Nakuvisha pete hii...
 Mmmmmmmmwwwwwwwaaaaaaaaa!
Si mnaona?? Imetoka hiyoooo....!
 Paul akisaini hati ya ndoa
 Farida akimwaga wino
 Sasa tumekuwa mwili mmoja....
 Hongera kwa maharusi toka kwa mdau Deo Mwanyika
 Furaha na vigeregere
 Haooo wanaondoka na kaLimo kao
 Ujumbe umefika
 Pozi ndani ya Sea Cliff Hotel
 Maharusi na wapambe wao
 Bi Harusi na wapambe wake
 Paul na wapambe
 Bi harusi na wapambe
 Totooooooo.....
 Maharusi na wazaa chema
 Ukumbi ulipambwa na kupambika
 Viti vinaulizana...Ah, mbona hawaji jamani....
 Jukwaa kuu
 Bonge moja la keki
 Spray kwa maharusi
 Haya na mnuso na uanze
 Baadhi ya waalikwa
 Msahau kwao mtumwa....
 Dansi la kwanza
 Champeni
 Chiaaaaazzzzzzzzzzzzzzz....
 Keki tyme
 Duh! Bonge lote hilo mshikaji....
 Haya na wewe basi
 Mmmmmmmwwwwwwwwaaaaaaaaaaaaaa........
 Wazaa chema pokeeni keki hii
 Asante baba kwa heshima uliyonipa
 Haya, Mwenyekiti wa kamati yuko wapi
 Kwa niaba ya kamati pokea keki hii ikiwa kama shukrani yetu kwenu kwa kufanikisha harusi hii
 Suprise cake: Kumbe leo ni Hepi Besdei ya kuzaliwa Paul....
 Keki kwa ajili ya Paul
 Hepi Besdei My Hazbendi  wanguu...
Dream Team: Kakamati kadooogo  lakini kamefanya makubwa!