Monday, May 21, 2018

BALOZI LUVANDA ATEMBELEA WANAFUNZI WATANZANIA WANAOSOMA JIMBO LA PUNJAB NCHINI INDIA

  Hafla hii iliandikwa kwenye magazeti karibu yote ya  Punjab  na kimataifa
 Balozi Luvanda akiwa katika kilemba cha asili akikaribishwa na wenyeji
 Balozi Luvanda akiwa ndugu Yahaya A Mhata  pamoja na  Mr j. S. Bedi chairman na Mkurugenzi Dr Aneet (saree ya njano) wakifurahi na wanafunzi
 Balozi akiwa na wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Punjab
 Picha ya pamoja ya wanafunzi na balozi na uongozi wa chuo. Baada ya kucheza basketball. 


 Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania jimbo la Punjab

 Balozi Luvanda akiwa na Bw. Yahaya A Mhata, Bw. J

. S. Bedi chairman of Gian jyoti group of institutions 
Dr. Aneet(director of Gian jyoti group of institutions) 
Wakisikiliza risala  kutoka kwa wanafunzi wa MBA Bakari Chuma and Irene Boniface
Bw Deepak Singh, akiwasha mshumaa pamoja na ndugu j. S. Bedi chairman Gian jyoti group of institutions wakiwa na Balozi Luvanda




Profesa msaidizi Mrs samarjit Gill akisoma muhtasari kuhusu chuo hicho
 Hafla hii iliandikwa kwenye magazeti karibu yote ya  Punjab  na kimataifa

  Hafla hii iliandikwa kwenye magazeti karibu yote ya  Punjab  na kimat
Mwanafunzi  Bakari Chuma akipiga selfie akiwa na Balozi Luvanda na Mr yahaya Mhata na Mr munish  ambaye ni guide wa rose garden.

 Mwenyekiti  J. S. Bedi na mwanafunzi wa secondary Gian jyoti global schools. Baada ya muheshimiwa kucheza basketball na wanafunzi. Muheshimiwa ni mpenzi wa michezo
  Mkurugenzi wa Chuo Dr Aneet pamoja na wanafunzi wakisubiri kumpokea balozi
 Mwanafunzi Mariam akiwa amevalia vazi linalovaliwa pindi kiongozi ama mtu mashuhuri akiwa anapokewa. 
 Balozi  Baraka luvanda akitoa hotuba kwa wanafunzi na wageni waalikwa
  Balozi Luvanda akiwasha mshumaa kuashiria kuanza kwa hafla hiyo
 Wanafunzi Wakisikiliza hotuba kutoka kwa balozi
Mwambata wa elimu ubalozi wa Tanzania nchini India Bw. Yahya Mhata akipokea shada la maua toka kwa Mwenyeiti wa Gian jyoti groups of institutions Mr J. S. Bedi kushoto
Wanafunzi kutoka mataifa mbali mbali kama Cuba, Mexico, Brazil, Oman, Jamaica, Ghana, Kenya, uganda, Botswana wakisikiliza hotuba ya balozi

 H.E. BARAKA H. LUVANDA (high commissioner, United republic of Tanzania, ndugu Yahaya A Mhata (Education liaison officer, United republic of Tanzania, Mwenyeiti wa Gian jyoti groups of institutions Mr J. S. Bedi kushoto kwa balozi, na Mr Gurdeepak Singh (Dean of international students). And baadhi ya wanafunzi wa kitanzania(mariam Sunday na Vivian Omar) na wengine kutoka mataifa mbalimbali. 
 Muheshimiwa balozi akiwa ndani ya gari yake akiaga baada ya sherehe kumalizika. 
Wanafunzi Mariam, Irene na Vivian wakiwa wamevalia nguo za kipunjab tayari kumpokea muheshimiwa balozi.
 Yahaya A Mhata, ilikuwa ni siku  ya birthday yake na  wanafunzi  wakamuandalia zawadi kidogo. 
 Balozi wa Tanzania nchini India  Mhe. Baraka H Luvanda akiongea na wanafunzi. 
Mwambata wa elimu katika ubalozi wa Tanzania nchini India  Bw. Yahaya Mwinjaka  akiongea na wanafunzi. 

No comments: