Wednesday, November 22, 2017

BALOZI WA JAPAN ATEMBELEA WIZARA YA MADINI

Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida,  Novemba 21, 2017 alitembelea Ofisi za Wizara ya Madini za jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Waziri wa Madini, Angellah Kairuki na Naibu wake, Stanslaus Nyongo ambapo walijadiliana masuala mbalimbali ikiwemo fursa za uwekezaji kwenye Sekta ya Madini nchini. 

 Waziri wa Madini, Angellah Kairuki (Kushoto) akizungumza jambo wakati wa mkutano na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida (hayupo pichani) alipotembelea Ofisi za Wizara ya Madini za Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo.
 Waziri wa Madini, Angellah Kairuki (katikati) akijadiliana jambo na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida (kushoto). Kulia ni Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo.
 Waziri wa Madini, Angellah Kairuki (katikati) akizungumza wakati wa mkutano na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida (kushoto). Kulia ni Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo.

 Waziri wa Madini, Angellah Kairuki (kulia) na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida (kushoto) wakimsikiliza Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (hayupo pichani).

 Waziri wa Madini, Angellah Kairuki (Kushoto) akizungumza jambo wakati wa mkutano na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida (hayupo pichani). Kulia ni Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo.

Waziri wa Madini, Angellah Kairuki (katikati) akijadiliana jambo na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida (kushoto) alipotembelea Ofisi za Wizara. Kulia ni Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo. Masuala mbalimbali ya Sekta ya Madini nchini yalijadiliwa ikiwemo uwepo wa fursa za uwekezaji.




No comments: