Thursday, March 30, 2017

BALOZI WA KUWAIT NCHINI MHE. JASEM AL-NAJEM NCHINI ATEMBELEA MAKAO YA TAIFA YA WATOTO YATIMA KURASINI JIJINI DAR ES SALAAAM.

Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akizungumza  na watumishi,watoto yatima katika Makao ya Taifa ya Watoto yatima  Kurasini  katika ziara ya kutembelea miradi mbalimbali  jijini Dar es Salaaam.
   Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akitembezwa viunga vya Makao ya Taifa ya Watoto yatima Kurasini  jijini Dar es Salaam.

Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akipanda mti katika Makao ya Taifa ya Watoto Yatima  Kurasini  jijini Dar es Salaam.

 Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akikabidhi bengu za mbogamboga, Afisa Mfawidhi wa Makao ya Taifa ya Watoto  Yatima Kurasini,Beatrice Lawrance(kulia) leo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Kamishina Msaidizi wa Ustawi-wa Jamii,Siman Panga
Kamishina Msaidizi wa Ustawi-wa Jamii, Simon Panga akizungumza katika hafla ya kutembelea miradi mbalimbali katika Makao ya Taifa ya Watoto Yatima  Kurasini    jijini Dar es Salaaam.
 Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akiwakatika picha ya pamoja katika  Makao ya Taifa ya Watoto Yatima Kurasini  jijini Dar es Salaam.
  Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akitembezwa viunga vya Makao ya Taifa ya Watoto Yatima  Kurasini  jijini Dar es Salaam.
 Afisa Mfawidhi wa Makao ya Taifa ya Watoto  Yatima Kurasini,Beatrice Lawrance(kulia)akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.ambapo alishukuru Ubalozi wa Kuwait nchini kwa msaada  wa miradi mbalimbali na kuomba taasisi nyingine kuiga mfano huo ili kujenga taifa bora
Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akikagua mradi wa maji Makao ya Taifa ya Watoto Yatima  Kurasini jijini Dar es Salaam. Picha zote na Emmanuel  Massaka,Globu ya jamii.

No comments: