Friday, November 25, 2016

WAZIRI UMMY AZINDUA KAMPENI YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA LEO JIJINI DAR ES SALAAM


 Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akiongea katika uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia  uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto kwake ni  Mkurugenzi wa  WiLDAF Dkt.Judith Odunga ,Balozi wa Ireland nchini Bw.Paul Sherlock(wa tatu kushoto), na Kamanda wa Polisi kanda maalum ACP Lucas Mkondya.
  Mkurugenzi wa WiLDAF Dkt.Judith Odunga akitoa neno la ufunguzi katika  uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia  uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kulia kwake ni Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu na ni  Mratibu Mkazi kutoka Umoja wa Mataifa nchini Bi.Maria Karadenizli 
 Picha na Daudi Manongi
 Balozi wa Ireland nchini Bw.Paul Sherlock akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia  uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.kulia kwake ni  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,  Wazee na  Watoto Mhe.Ummy Mwalimu, Mkurugenzi wa WiLDAF Dkt.Judith Odunga, Kamanda wa Polisi kanda maalum ACP Lucas Mkondya na Mkuu wa Dawati la Jinsia,ACP Mary Nzoki.
  Mwakilishi kutoka Umoja wa nchi za Ulaya Bw.Roeland Van Geer akizungumza juu ya ukatili wa kijinsia na athari zake katika uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kulia kwake ni Mratibu Mkazi kutoka Umoja wa Mataifa nchini Bi.Maria Karadenizli, Mkurugenzi wa WiLDAF Dkt.Judith Odunga, Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu
 Mwanamziki wa Bongo Fleva nchini Bi.Mwasiti Almasi akitumbuiza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia  uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akiongea jambo na Balozi wa Ireland nchini Bw.Paul Sherlock mara baada ya uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia  uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
 Waandamaji kutoka Taasisi na Asasi mbalibali  wakionyesha ujumbe mbalimbali unaopinga ukatili wa kijinsia wakati wa uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia  uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akisaini katika ubao wenye kauli mbiu katika uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia  uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.

No comments: