Thursday, November 10, 2016

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC aomboleza msiba wa Spika Sitta

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta nyumbani kwa marehemu jijini Dar es Salaam leo.Mwili wa marehemu unatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam leo ukitokea nchini Ujerumani.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimia na mmoja wa watoto wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri Marehemu Samuel Sitta baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu kutoa pole ya msiba huo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa Tabora Mjini Ismail Aden Rage alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimiana na mmoja wa waombolezaji wa msiba wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa Tabora Mjini Ismail Aden Rage alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta.Picha na Hussein Makame, NEC

No comments: